Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
- Thread starter
-
- #161
Nimeangalia nimemkutaAngalia tena vizuri kikosi
Germany 2-0 Scotland.Utabiri wangu:
Germany 2-1 Scotland
wacha akutene na master Toni kroos ila naona akiwa kwenye national team anacheza juu sana ndio maana anafunga sanaNategemea kumuona Mc Tominay “Kiungo Punda” akipambana sana leo
Sctoland 1-0GermanyGermany 2-0 Scotland.
Germany kanakwamba wao ndio wageni sjui wajerumani miaka hii wamekuaje awana roho Mbaya kabisaNaam.
Kabumbu limeanza..
Wirtz, offside
Hapa nakwambia mapema ushachemkaEuros iliyopita nilitabiri anashinda Italy, ikawa kweli. World cup nikasimama na Argentina, ikawa kweli. This time nasimama na waholanzi. Huyo ndie bingwa mwaka huu!