Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Matapeli wangesema baadhi ya mechi hawataonyesha nimewahi kurudi kazin nakuta ZBC2 wanaonyesha historia ya mtume daaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matapeli wangesema baadhi ya mechi hawataonyesha nimewahi kurudi kazin nakuta ZBC2 wanaonyesha historia ya mtume daaah
icho kitambaa ilibidi avae Carvajal au Nacho au Rodri japo na morata sio mbaya piaLeo hii eti Morata ndio team captain wa Spain
Nacho na Carvajal nadhani hawajatulia sana kiuongozi. Ila Morata nikilinganisha na k8na David Villa naona kama Spain inaishiwa kabisa waxhezaji.icho kitambaa ilibidi avae Carvajal au Nacho au Rodri japo na morata sio mbaya pia
Nje ya NBC PL na CAF CL sijaona cha maana Azam Tv. Ujanja uko DSTV aseeh.Matapeli wangesema baadhi ya mechi hawataonyesha nimewahi kurudi kazin nakuta ZBC2 wanaonyesha historia ya mtume daaah
Nacho na Dani ni copy ya Serigio Ramos kweny masuala ya LeardershipNacho na Carvajal nadhani hawajatulia sana kiuongozi. Ila Morata nikilinganisha na k8na David Villa naona kama Spain inaishiwa kabisa waxhezaji.
DSTV wapo vizuri HD ya uhakikaNje ya NBC PL na CAF CL sijaona cha maana Azam Tv. Ujanja uko DSTV aseeh.
upate Tv ya 4K Hasa Hisense afu u connect na DSTV unaweza ukahisi unaishi kwenye Dunia yako peke akoDSTV wapo vizuri HD ya uhakika
wame toka kumlamba mtu juzi tu apa kwenye Mechi ya kirafiki Goli tano ata sio wakuchukulia poa Shida kubwa ya Spain miaka hii naona wanapata tabu sana kucheza mechi za mtoana ila kweny Group mechi sio wabovu ki ivo kimbembe kinakuja ukianza mtoanoSpain hawa wanatia hofu...
afu mtangazaji ni peter durryKipute kimeanza