Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi kula tano huyu.Croatia akileta mchezo atakula Mvua awa spain kumfunga mtu Goli Tano kwenye mechi moja imekua kitu cha kawaida tu kwao ishu ya wao kufunga magoli mengi sio kazi ngumu kwao
Kote upo!Mimi hapa nashabikia mpira tu.
Spain 3-0 Croatia
Niffer umekosea kuchagua timu. Toka ile fainali ya WC walionesha hawana uwezo hawqBasi, tumeshapoteza game.
Kuna mchezaji anaitwa Embolo anachezea Switzerland anafanana na Guede. 🤣🤣Kote upo!
Timu gani ina mchezaji kafanana na Guede hapo?
Ni timu yangu tokea 2018, nawakubali sana.Niffer umekosea kuchagua timu. Toka ile fainali ya WC walionesha hawana uwezo hawq
Mzunguko wa pili kutapoa.Dah hii Euro ukiingia kizembe unagongwa za kutosha, watu hawana masihara
Subiri nikamgoogleKuna mchezaji anaitwa Embolo anachezea Switzerland anafanana na Guede. 🤣🤣
Hawana uwezo sasaNi timu yangu tokea 2018, nawakubali sana.
Wanaonyesha channel gani?Sema azam wanatunyima utamu wa euro yani kwa siku 2ngalie mech1 daaaa
Jaribu Rwanda tvWanaonyesha channel gani?
ZBC2 nahis wataonesh game ya saa4 mana saa10 na saa1 hawajaoneshaWanaonyesha channel gani?