Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Mkuu huko napenda sana maparachichi ya huko mazuri sanaKaribu sana. Ukimaliza chuo usijiulize mara mbili njoo huku ujizire kwa muda ukirudi mjini wakusalimie kwa heshima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huko napenda sana maparachichi ya huko mazuri sanaKaribu sana. Ukimaliza chuo usijiulize mara mbili njoo huku ujizire kwa muda ukirudi mjini wakusalimie kwa heshima
Kuishia form 4 sio kufeli lifeChuo?
Mimi niliishia form four
Mbona nahisi kama unanidanganya hapa?Chuo?
Mimi niliishia form four
Siwezi kukudanganya! Niliishia form 4 nikaenda Veta sasa hivi nipo napambanaMbona nahisi kama unanidanganya hapa?
Yapo ya kutosha mkuu. Wanasema Parachichi ndio mfalme wa matunda yoteMkuu huko napenda sana maparachichi ya huko mazuri sana
Vyovyote iwavyo bado tunayo nafasi ya kupanda ngazi kutoka tulipokua jana. Muhimu Mungu anabless kwa kutupa pumzi hii tuliyonayoSiwezi kukudanganya! Niliishia form 4 nikaenda Veta sasa hivi nipo napambana
Kabisa..!🤸Vyovyote iwavyo bado tunayo nafasi ya kupanda ngazi kutoka tulipokua jana. Muhimu Mungu anabless kwa kutupa pumzi hii tuliyonayo
Round ya mtoano mbona haipo mbali sana ngoja kwanza maji yajitenge na mafuta.Kaka yoyote aje
Italy ndio chama langu, ila kitendo kushinda ushindi mwembamba dhidi ya timu ya daraja la chini kama Albania kumenitia wasiwasi ikitokea ikicheza na wale vigogo hali itakuaje.Nilisema Toka juzi sisi Italy hili kombe tunabeba mara ya pili
🤣😁Ngoja utaonaRound ya mtoano mbona haipo mbali sana ngoja kwanza maji yajitenge na mafuta.
Kila mechi tuna aina ya kuichezaItaly ndio chama langu, ila kitendo kushinda ushindi mwembamba dhidi ya timu ya daraja la chini kama Albania kumenitia wasiwasi ikitokea ikicheza na wale vigogo hali itakuaje.
Naunga mkono hoja kakaYapo ya kutosha mkuu. Wanasema Parachichi ndio mfalme wa matunda yote
Karibu kanda ya magharibi mkuu mkoa wa tabora wilaya mojawapo inayopakana na mkoa wa shinyanga upande wa kaskazini utakutana na mboga hii na suprize kibaoLigi huchukua muda mrefu.
Muundo pia, kwenye ligi mshindi hutafutwa kwa points. Wakati michuano huwa na group then knock outs.
Huko baridi sana
Kuna kipindi nilienda Njombe nilikula ugali na majani ya maboga yaliyotiwa karanga ule msosi ulikua mtamu naukumbuka hadi leo🤸
Wenzetu mifumo yao inaruhusu watoto kupata kazi wakiwa bado wadogo😣Lamine Yamal akiwa na baba yake baada ya mechiView attachment 3018539
😀😀 ndo ipi hiyoLeo Taifa Stars ya Ulaya inashuka dimbani.
Wenyewe wanakwambia michuano ndio inaanza rasmi leo😆
England🤣😀😀 ndo ipi hiyo
Good question, tatizo nn?Sasa povu la nini tukishabikia wajukuu wa malkia?? Kila mtu ashabikie anachopenda bhana
Ilikua mechi ya kirafiki tu hiyo mkuu, leo ona serbia anavyokula mvua ya magoli?hawawezi kuwa mabingwa hao. sasa wameshindwa kumfunga iceland kweli