Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapo mwanawane ukitumia Tz 11 sii nusu saa tuu au mwenzetu watemebelea matakoz 🤣🤣🤣🤣Ila Dar unaweza kutoka Mwenge kwenda Mwananchi tu hapo, ukatumia muda sawa na alietoka Mlandizi hadi Chalinze.
Lukaku hamna kitu...KDB anapambana kwelKeven De hua ana spirit ya kupambana, namwona wenzake wanavyochezea nafasi anamind ile serious hadi anaruka na kujipiga, hasa huyu lukaku
Acheni uongo hakuna kanuni kama hiyo hapo zinarusiwa timu 3tu. Ya tatu inakua best luza.Yes, kuna uwezekano. Timu ya tatu na nne zikiwa na points 4, zitapita kama best losers
Shida anacheza na baadhi ya vilaza wenye majinaLukaku hamna kitu...KDB anapambana kwel
Hakuna timu iliyopita a pount mbili kakaUkraine ametoka na pointi zake 4 wakati group zingine timu ina point 2 na imepita
Ahsante..nimejiridhishaHakuna timu iliyopita a pount mbili kaka
Halafu linaweza Kunata hilo goliDoh Portugal anapigwa mapema leo
Analalama balaaMzee cr
Hii kichwaGOAL! Slovakia 1-0 Romania (Duda)View attachment 3026961
Anataka hata tuta tu ubao usome🤣Analalama balaa