Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
HAwa wapelekwe front kule ukraineHuyu spalleti kwa kweli ameyataka mwenyewe haya yote...timu inacheza kama inaumwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAwa wapelekwe front kule ukraineHuyu spalleti kwa kweli ameyataka mwenyewe haya yote...timu inacheza kama inaumwa
Omba sanaaaaa.....,.Gg? 😔
Ametoka sasaSwutzeland wamtoe Embolo mmoja apande shakiri akacheze 10 kurudisha kasi ya mchezo kama kipindi cha kwanza
Ila Walivyo na Bahati, Unaweza Shangaa Goli Linarudi na WanashindaWazidishe kupeleka moto.
Italy oya oya sana.
Hawarudi hawa...wakate ticket warudi nyumbani. Kocha kazingua sanaIla Walivyo na Bahati, Unaweza Shangaa Goli Linarudi na Wanashinda
Na ametumika kwa zaidi ya dakika 70.Hua sielewagi mchezaji akipigwa sub alafu anamind, wengine wasicheze? Tena timu ya taifa
Italy wameshaanza kudominate uwanja...Switzeland wanapaswa wacheze kwa akili na kasi....Italy huwa wagumu sana kufaAmetoka sasa
Hii wanakufa mkuuItaly wameshaanza kudominate uwanja...Switzeland wanapaswa wacheze kwa akili na kasi....Italy huwa wagumu sana kufa
Ni ujinga kiwango cha lamiNa ametumika kwa zaidi ya dakika 70.
Huwa ni wabishi sana82'
Hata kama Italy ana roho ngumu kufa kama ya paka.
Hapa hatoboi.
Hizo goli mbili hawezi zipataItaly wameshaanza kudominate uwanja...Switzeland wanapaswa wacheze kwa akili na kasi....Italy huwa wagumu sana kufa
Dominance yao haina madhara makubwa.Italy wameshaanza kudominate uwanja...Switzeland wanapaswa wacheze kwa akili na kasi....Italy huwa wagumu sana kufa
Hawatoki hii ngoma.....Italy wameshaanza kudominate uwanja...Switzeland wanapaswa wacheze kwa akili na kasi....Italy huwa wagumu sana kufa
Alikuwa humo ndani hakukaza tako anatolewa anamind...wachezaji bwanaHua sielewagi mchezaji akipigwa sub alafu anamind, wengine wasicheze? Tena timu ya taifa