Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,502
- 6,049
Anaitwa Camavinga., hutembei mbele yake kizembe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
T upeni kinachojiri hukoo mnaoangaliaNaombeni link au app nzuri ya kuangalia game hii
Anamuongelea Ademora Lookman reject ya Uingereza au,?
Naombeni link au app nzuri ya kuangalia game hii
Dogo yuko PSG huyo ni moja ya wachezaji wao muhimu sana, hawawezi kumuachia hv karibuniHivi huyu namba 23 wa Ureno anacheza timu gani? Anakiwasha sana katikati,Man u wamsajili aisee
Dkk ya 65Anaitwa Camavinga., hutembei mbele yake kizembe
Kama ambavyo dimaria alivyokuwa anajigeuzia tu kule QatariLeao naona anamgeuza tu Kounde kama anavyotaka
Dischamps huwa ni mpuuzi tu muda mwingine, anaweza akamkataa mchezaji kwa sababu zake binafsi tu ila akajitahidi kuficha kwa maneno kama hayo.Deschamps anakwambia hamkubali saliba ana vitu vingi unnecessary
Lkn nikimuangalia saliba namuona bora kulko yule dogo center back wa liverpool anayependwa na kocha
Uyo kocha uwa anapenda wachezaji wanaomtiiDischamps huwa ni mpuuzi tu muda mwingine, anaweza akamkataa mchezaji kwa sababu zake binafsi tu ila akajitahidi kuficha kwa maneno kama hayo.
Mfano kama Karim Benzema na Lacazatte alikuwq hawataki kwa sababu zake binafsi.
Dembele mm huwa naona anacheza soka la mtaani kwenye timu kubwa sina imani km huwa anafuata maelekezo ya kochaDembele anakujaga na mikwara kibao,.
Hata mm nafikir Ronaldo ndio angekuwa wa kutoka maana Hana anachofanya kule mbele hata kukaba kwake ni mtihani.Kocha viazi fenandez huwa hatokagi huyo tena gemu umezidiwa kiungo hivyo. Ngoja tuone