Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa anakaza fuvu lkn wapii .Messi alisema kweli kuwa hawezi kushiriki world cup 2026 kuwa tu anataka kuvunja rekodi kuwa ameshiriki jumla ya world cup 6×. Akijisikia kuwa amechoka hatoweza kushiriki ndio nayaona kwa ronaldo
Unauongelea Fernando Santos?Ila yule Babu mbona alikuwaga anampiga benchi ?
Hamjanielewa, AFCON ilikuwa na vibe zaidi ya hii EURo.Hawa itakuwa zao la mashabiki wa simba na yanga
Wazee hawataki kukubali umri umeendaPepe atakufa aseee[emoji1][emoji1][emoji1]
Joao anaingia.Huyu kocha hajawai wakubali dalot na joao felix sijui shida ni nini?
Amekusikia kwa Joao FelixHuyu kocha hajawai wakubali dalot na joao felix sijui shida ni nini?
Bora kwasababu leao anarukagarukaga tu mshenzi yuleAmekusikia kwa Joao Felix