Eric Banks
Senior Member
- Jun 4, 2015
- 174
- 245
Kama France au??Aah wapi! Hakuna timu hapo!
Hata wapigaji penalty wa kuhesabu ila Swis kipa tu hawana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama France au??Aah wapi! Hakuna timu hapo!
Hata wapigaji penalty wa kuhesabu ila Swis kipa tu hawana.
England all the way to the finalNaichukia England to the extent aisee hawa washenzi wameniharibia siku kweli kweli.
Kama France aiseeeIla England tunashinda ki-mwamposa sana
Hatutofautiani Mkuu!Naichukia England to the extent aisee hawa washenzi wameniharibia siku kweli kweli.
Ule mshuti ata kipa angeufata angeumia mikono tuPenati kama hii ya Trent mara ya mwisho ilipigwa na Zico wa Brazil katika Kombe la Dunia mwaka 1982 pale Spain
Aah wapi! Ikifikia hiyo hatua natoa hela zangu zote Bank nakupa!England all the way to the final
Mlisema hivi hivi.Aah wapi! Ikifikia hiyo hatua natoa hela zangu zote Bank nakupa!
Vipi habari imeisha au niongeze sautiHabar yenu inaisha leo tena ndani ya dk 90 tu
Vipi hajatoboaEngland hatoboi
Southgate ni kocha bora wa england kuliko wote waliopita labda anazidiwa na huyo alietwaa wc enzi za kinjekitile Ngwale.England wanakikosi kizuri ila kocha hawana.
Nina hela ndogo tu million 40Mlisema hivi hivi.
Bank una bei gani? Usije kuwa una buku teni lako alafu unasema hela zote.
Ok. Nitakukumbusha tar 9.Nina hela ndogo tu million 40
Hamna tatizo ndugu!Ok. Nitakukumbusha tar 9.
Umeshinda mkuu tukutne fainali sasa maana mwamposa yuko upande wenuVipi habari imeisha au niongeze sauti