Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu msaada.
Her: Kwanini uyu mwenye manywele (Cucurella) akishika mpira anazomewa?
Hata mimi nimejiuliza…
Hapo aingie le Normand alafu akae Kati, then nacho aende pembeniSijui hakuna mbadala kwanini kocha hamtoi?
Wadau, wapi ninaweza kuangalia live mtandaoni? Natanguliza shukrani.
shootz.yalla-shoot-tv.live
Dembele ameonyesha ni the best kwa first eleven, ila watolewe tuDembele anazingua kinyama
Kaonyesha nn...kila faulo anapiga fyongoDembele ameonyesha ni the best kwa first eleven, ila watolewe tu
UmetishaKwasababu kwenye game iliyopita na Ujerumani aliunawa mpira kwenye eneo la penalty na refa akapeta. Wanaomzomea wengi ni mutual fans wakiongozwa na wajerumani
Ila hii ilikuwa penalty jamani
abdomenMiaka 16 aisee nilikua nasoma Panzi ana sehemu tatu, Head Thorax na Nini sijui
Dah!Kaonyesha nn...kila faulo anapiga fyongo
Wenzetu bwana wanawapa nafasi wazawa wajenge cv...kocha tokka u17 all the way to senior team.Huyu kocha wa Spain mwenye CV yake
Nani wa kumtoa dembele pale?Kaonyesha nn...kila faulo anapiga fyongo