Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijamuelewa kwann Palmer alikuwa anamuweka nje dk zote hizomuda wa kumtukana southgate umewadia
Nashukuru, tumepata mechi nzuri. Na wengi wa walicheza tutakutana nao kwenye fainali zijazo. Football imetenda haki.
MmeshaanzaSijamuelewa kwann Palmer alikuwa anamuweka nje dk zote hizo
Sio Chelsea hiyoSijamuelewa kwann Palmer alikuwa anamuweka nje dk zote hizo
Hakuna Kocha mule. Staili za kina Mgunda tu.Sijamuelewa kwann Palmer alikuwa anamuweka nje dk zote hizo
Kumbuka hii ya leo ni Spain sio slovakiaTukirudishaga tunashinda.
Hii imeenda
Madogo wamekiwasha sio poaIt's coming home 😂
Yamal $ Nico Williams wapimwe umri wale sio watoto 🔥
Mkuu si unajua kuna cha asubuh na usikuSiyo siri. Inauma kinyama cha mwisho mwisho.
Bora tungelala na kile kimoja.
Huyo dogo ni hatari kuliko YamalWilliams kaperform vizuri mno usiku huu.
Kipindi Cha kwanza tu, Ila second half shaw alitepeta na huyu dogo angekua makini zaidi angefunga goli 2Shaw kamkaba vizuri ili william anamsumbua sana walker