Kiplayer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 1,180
- 1,964
Ana nguvu pia, ana uwezo wa kupiga maweHakabiki...ana speed, control halafu mjanja anahama namba sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana nguvu pia, ana uwezo wa kupiga maweHakabiki...ana speed, control halafu mjanja anahama namba sana
Basi hawezi kuwa Mchezaji bora wa mashindano.Mchezaji bora mwenye umri mdogo. Yamal from spain and barcelona
DeservingRodri player of the tournament [emoji91]
Piga kisungura.Roho, mwili, akili zote zimeniuma sana, nimeumia sana. pole England
Nipewe Maua yangu tafadhaliSpain 2 -1 England
Let us meet after Full Time
Vamoz spain🔥
Kuumia kwa kufungwa na Spain? Spain kampiga Croatia, Spain kampiga Italy, spain kampjga Germany, Spain kampiga France na Leo englandSiyo siri. Inauma kinyama cha mwisho mwisho.
Bora tungelala na kile kimoja.
Mkuu uli bet?Nipewe Maua yangu tafadhali
As said earlier, Vamoz Spain 🇪🇸🇪🇸🇪🇸🇪🇸Spain 2 -1 England
Let us meet after Full Time
Vamoz spain🔥
Ameklemisha Kikosi shida ipo hapoKatika timu yenye mashabiki wa ovyo na wakukaririshana ni England, eti bila ya Southgate mungebeba Ubingwa, sasa apewe nani Lampard au Gerrad?
Trent ili acheze inabidi walker akae benchi, na kwa bahati mbaya mechi ya kwanza vs Serbia alicheza kiungo na alikua hovyo sana, Sasa mechi kama hii na mafundi Spain umuweke Kati watakimbiana hao englandWalker kwnz alikuwa majeruhi ht kabla game halijaanza...lkn amejitahidi sana na England nzima hainaga beki kisiki kama ile...nakumbuka wakati France iko vizuri msimu uliopita kina Gary Neville na Bekham walisema hakuna beki wa kumzuia Mbape zaidi ya Walker
Mimi ninacholaumu ni kwnn Mtu kama Alexander Anold anaachwa wakati timu ikishazidiwa sana...hata Eze na Toney walipaswa kuingia dakika ya 80 hivi