UEFA nations league

UEFA nations league

Hii kiti sijaielewa. Luna wa kunielewesha? Ni kombe la namna gani? Mtindo gani watumika? Na kuna bingwa? Anapatikanaje kwa makundi haya? What happens to Europe championship?

Pitia post namba 8, then kama kuna swali zaidi tutaeleweshana mkuu.
 
German vs France, vikosi vimeshiba balaa.

Kama kawaida Giroud ndani.
 
Allianz Arena
 

Attachments

  • FB_IMG_15362622124748274.jpg
    FB_IMG_15362622124748274.jpg
    12.2 KB · Views: 14
Game imenishinda kumaliza hii, naomba Germany ashinde game hii...

Ngoja nipumzike kidogo.
 
Back
Top Bottom