Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
Si ndiyo teammates wake psg neymar kamfundisha tabia mbaya,mbappe ameanza tabia za ki neimari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndiyo teammates wake psg neymar kamfundisha tabia mbaya,mbappe ameanza tabia za ki neimari
Npo natizama ya Italy hapa kwenye mapumziko wakaonesha kule Turkey ndo nikashangaa ule uchafu Wa nini haahaa sikuelewaTurkey wana mbwembwe wapo nyumbani basi uwanja umechafuliwa na madudue yao wameingia uwanjani kwa madoido mpaka sahivi wameshagongwa 2 ngoja tuone watatoboa
Turkey 1vs Russia 2
Mpaka asahiv matokeo ni 1 kwa 1 bado dakika 3 mpira uishePoland 1- 0 Italy
Mpaka asahiv matokeo ni 1 kwa 1 bado dakika 3 mpira uishe
Wana wakati mgumu, na goli lao kufutia machozi lilipatikana kwa njia ya mkwaju Wa penaltyItaly wana wakati mgumu sana kurudi kwenye form. Na hizi game ndo kama kipimo cha qualifying Euro Cup.
Wana wakati mgumu, na goli lao kufutia machozi lilipatikana kwa njia ya mkwaju Wa penalty
England kashakalia 2 kwa 1 hadi asahivNa game ilikuwa wamelala ile, maana mbinu ya magoli haikuwepo kabisa.
Kesho England na Spain.
Mkuu hizi game washindi ndio wanakua wamequalify euro moja kwa moja toka kwenye kila group? Kwa anaye jua naomba kujuzwa please!Italy wana wakati mgumu sana kurudi kwenye form. Na hizi game ndo kama kipimo cha qualifying Euro Cup.
Serie A walianza kutumia VAR tokea msimu uliopita (kabla michezo ya kombe la dunia kuchezwa)[emoji23] [emoji23] [emoji23] VAR Ipo kama kawaida mbona seria A inatumika pia kwa sasa,
Mkuu hizi game washindi ndio wanakua wamequalify euro moja kwa moja toka kwenye kila group? Kwa anaye jua naomba kujuzwa please!
Haahaa kaosha au siyoGiroud katoa gundu leo dhidi ya wadachi.
😀 maana jamaa world cup alitoka kapa.Haahaa kaosha au siyo
Naona hiki kipindi cha pili wadachi wamechangamka tangu wapate goli
😀 maana jamaa world cup alitoka kapa.
italy wanatia huruma kwakweliWana wakati mgumu, na goli lao kufutia machozi lilipatikana kwa njia ya mkwaju Wa penalty
Leo wanakipiga na ureno wana balaa lingineitaly wanatia huruma kwakweli