UEFA nations league

UEFA nations league

sema game haitakua kali

Mkuu hili jina lako linanikumbusha mechi moja kati ya Pamba FC na Yanga, Yanga anapigwa 3 - 1 huku Nteze John akifunga goli la kona iliyoingia bila kuguswa.

Pamba walikuwa na Golden Squad ya kina Fumo Felician, Niko Bambaga, Nteze John, sina uhakika Deo Mkambi.

Nilikuwa siipendi Yanga kama nini.
 
Mkuu hili jina lako linanikumbusha mechi moja kati ya Pamba FC na Yanga, Yanga anapigwa 3 - 1 huku Nteze John akifunga goli la kona iliyoingia bila kuguswa.

Pamba walikuwa na Golden Squad ya kina Fumo Felician, Niko Bambaga, Nteze John, sina uhakika Deo Mkambi.

Nilikuwa siipendi Yanga kama nini.
mi mwenyewe yanga huwa siwapendi kabisa
 
mi mwenyewe yanga huwa siwapendi kabisa

Kipindi hiko tunasikiliza mpira redioni, ila tukisimulia ni kama gemu tumeiona, kina Niko Bambaga, Nteze, Alphonce Modest (nadhani duniani hakujawahi kuwa na namba tatu kama huyu) walikuja Simba, ikawa moto ule ule.
 
Hivi Ronaldo kashastafu timu ya taifa lake? Naona namba 7 imevaliwa na mtu mwengine leo.

Hajastaafu, kaomba kupumzika kwa ajili ya kuendelea kujiweka fit na timu yake mpya ya Juventus.

Game 3 bila kutupia imemchanganya sana.
 
Back
Top Bottom