UEFA Zamani, sasa ni mfano tu.

Kumbe na kwenye soccer upo bibie[emoji2956]
 
Uefa ya mwisho yenye ubora wake iliisha 2012 ambapo Chelsea alikuwa bingwa..
mkuu ungenambia final ya mwisho yenye ubora ni ya at madrid na real madrid ningekuelewa ya 2014 athletico anaongoza goli moja dakika ya 89 Simeone anawainua mashabiki. anatokea ramos anapiga head matata na kuwasawazishia ngoma inaingia extratime madrid wanafanya comeback
 
Uefa ya mwisho yenye ubora wake iliisha 2012 ambapo Chelsea alikuwa bingwa..
mkuu ungenambia final ya mwisho yenye ubora ni ya at madrid na real madrid ningekuelewa ya 2014 athletico anaongoza goli moja dakika ya 89 Simeone anawainua mashabiki. anatokea ramos anapiga head matata na kuwasawazishia ngoma inaingia extratime madrid wanafanya comeback
 
Uefa ya mwisho yenye ubora wake iliisha 2012 ambapo Chelsea alikuwa bingwa..
mkuu ungenambia final ya mwisho yenye ubora ni ya at madrid na real madrid ningekuelewa ya 2014 athletico anaongoza goli moja dakika ya 89 Simeone anawainua mashabiki. anatokea ramos anapiga head matata na kuwasawazishia ngoma inaingia extratime madrid wanafanya comeback
 
Kama alivobanwa ronaldo junior na gatuso ,hadi kadi nyekundu dogo alipewa
 
Namic sana CUF hakuna back kisiki atatokea ukiangalia alves ashaaza potea kidogo kama alitaka awe CUF namba mbili ya ac milano na brazil
 
Una uhakika na unachokisema?

Nafikir haitambui madrid vizur,, madrid wanaitwa galactico ,,,, iker casilas roberto carlos fernando hiero,, Michael salgado thomas gravasen,, guti ronaldo de Lima ivan helguera acha kabisa usitume mtoto dukani
 
Binafsi mpira umenitoka moyoni siku yaan sipati ladha kama ya zamani na haya maswala ya kupanga matokeo na betting hizi zilivyoshamiri na ikaja VAR ndio kabisa nabakiza starehe ile pendwa tu sasa hivi
 
watoto bwana,eti messi na ronaldo!..mnautazamaje mpira?!...gaucho ulimtazama vizuri,de lima unamjua!?
 
Daa kweli aise nikikumbuka mechi ya mtoano mwaka 2003, Manchester United ya akina Rio Ferdinand, Wes brown, David Beckham, Van Nestroooy, nevel brothers, Nick Batt, Fabian Bathez dhidi ya Real Madrid ya kina Claude Makele, Ronald9, Zinedine Zidane, Ruis Figo, Raul Gonzalenz, Roberto Carlos, Ika Casilas, kwa kweli nauona usiku wa Ulaya ukiwa unapoteza radha, Sasa tunaenda kumuangalia Mason Mount badala ya Frank Lampard, Jesse Lingard badala ya Ricardo Kaka, Jordan Henderson badala ya Genarro Gatuso, Michael Ballack Lucas Versques Karim Benzema badala Van Nestroooy, Andre Shevchenko, Didier Drogba, De Lima. Eti Leo Erick Bailly, Fikayo Tomori wanacheza UEFA wakati sisi tulizoea kuwaona Lucio, Ferdinand, Vidic, Soul Camplel, Allesandro Nesta, Jap Stam, John Terry, Ricardo Cavalho e.tc unaweza kuona hapa tulikuwa tunaenda kuangalia vitu viwili, kwanza Mpira wenyewe kwa ujumla, lakini pia Battle ya mtu mmoja na mwingine, yaani Zidane anavotoana jasho na Paul Scholes, au Genarro Gatusso( kaangalie mechi ya Nusu fainali 2003 Juventus anakufa 3-0 Santiago Bernabeu, halafu Madrid anakuja kufa 4-0 pale Turin), Rio Ferdinand anavokabana koo na Ronald9, nyie acheni bana, Sasa hivi unaweza ukawa unaangalia mpira ukajikuta hata hunconcertrate kwa sababu tu ya mbwembwe za Kidukulilo, miaka hiyo mpira unapigwa kika sekunde lazima ukoncerntrate!
 
mkuu soka ni rekodi hivi ronaldinho kamzidi nini messi barca. afu mpira usiwe unaangalia vyenga tu
kumbe unajua kwamba ronaldinho kamzidi vyenga messi!!!...santiago bernabeu ni gaucho ndiye aliyepata standing ovation,messi mwenyewe anamkubali gaucho,kama gaucho hajamzidi chochote messi barcelona sasa messi anamzidi nini mume wa shakira!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…