Kweli kabisa, angalia mifano ya karibuni kabisa, kwa mfano Sc Milani ya miaka ya 2002 kuna juu, Man U ya kipindi hicho, Real Madrid, Arsenal, Juventus, Buyern Munich, Valencia unaona Ni timu zimesheni kweli kweli!Soka la leo kupata first eleven yenye vipaji tupu ni mtihani kwa kweli hata utumie ela vp.....lakini miaka ile ili jambo lilikua la kawaida sana kukuta madrid united ac milan derptivo kuwa na vipaji tupu first eleven zao....
Kweli kabisa, angalia mifano ya karibuni kabisa, kwa mfano Sc Milani ya miaka ya 2002 kuna juu, Man U ya kipindi hicho, Real Madrid, Arsenal, Juventus, Buyern Munich, Valencia unaona Ni timu zimesheni kweli kweli!
Mwambie ivi miaka ile soka lilikua la kukata na shoka kweli kweli mtu unaenda angalia pira hujui nani anashinda ndio maana ilikua ni vigumu mno madrid kuchukua uefa mara tatu mfululizo tofauti na sasa.....unaenda kibanda umiza matokeo unayo mfukoni
Mkuu hiyo Real ingechukuaje mara mbili mfululizo au zaidi wakati timu zilikuwa zimeshegeni vipaji. Niatakupa mfano, Mwaka 2002 Real ilichukua ndoo kwa kuifunga Buyern Liverkusen ya kina Ballack goli moja bila, mwaka 2003 Real hii ikiwa na Iker Casilas, Roberto Carlos, Claude Makele, Zidane, Ronaldo De Lima, Raul Gonzales, Ruis Figo, Fernando Redondo waliitoa Machester United kwa Jumla ya Magoli 6-4, Manchester wakifa 3-0 bila Bernabeu lakini wakashinda 4-3 Old Traford, hii ilikuwa bonge la Mechi hasa ya marudio. Nusu Finally Real akapangwa na Juventus, Juve wakaenda Bernabeu wakala 3-0, Madrid akaenda Pale Turin akachezea 4-0, hapa Casilass hawezi kumsahau Del pierro, Hawa Juventus waliotoka kumchakaza Madrid wanaingia finally na Ac Milan na Milani anachukua ndoo. Ninachotaka kukuonyesha hapa ni namna gani miaka hiyo ikikuwa ngumu kuchukua ndoo ya EUFA back to back kwakuwa timu zilikuwa na wanaume kweli kweli, Mzee Fergie pamoja na umaarufu wake wote pamoja na heshima zake, muulize amechukua EUFA mara ngapi!? Mzee Wenger ndio usiseme! Nenda kaangalie battle za Chelsea na Barcelona miaka hiyo ya 2004-2005, 2005-2006, hadi kuja 2008 uone wanaume walivyokuwa wanatoana jasho, halafu urudi useme kama Huyu Zidanw angeweza kuchukua EUFA back to Back miaka hiyo!Madrid kachukua UEFA triple mara mbili.
Sema hiyo Real madrid yenu ya kina Ronaldo ilikuwa nyanya tu haikutamba Ulaya kama ya kina CR7
Madrid kachukua UEFA triple mara mbili.
Sema hiyo Real madrid yenu ya kina Ronaldo ilikuwa nyanya tu haikutamba Ulaya kama ya kina CR7
Mkuu hiyo Real ingechukuaje mara mbili mfululizo au zaidi wakati timu zilikuwa zimeshegeni vipaji. Niatakupa mfano, Mwaka 2002 Real ilichukua ndoo kwa kuifunga Buyern Liverkusen ya kina Ballack goli moja bila, mwaka 2003 Real hii ikiwa na Iker Casilas, Roberto Carlos, Claude Makele, Zidane, Ronaldo De Lima, Raul Gonzales, Ruis Figo, Fernando Redondo waliitoa Machester United kwa Jumla ya Magoli 6-4, Manchester wakifa 3-0 bila Bernabeu lakini wakashinda 4-3 Old Traford, hii ilikuwa bonge la Mechi hasa ya marudio. Nusu Finally Real akapangwa na Juventus, Juve wakaenda Bernabeu wakala 3-0, Madrid akaenda Pale Turin akachezea 4-0, hapa Casilass hawezi kumsahau Del pierro, Hawa Juventus waliotoka kumchakaza Madrid wanaingia finally na Ac Milan na Milani anachukua ndoo. Ninachotaka kukuonyesha hapa ni namna gani miaka hiyo ikikuwa ngumu kuchukua ndoo ya EUFA back to back kwakuwa timu zilikuwa na wanaume kweli kweli, Mzee Fergie pamoja na umaarufu wake wote pamoja na heshima zake, muulize amechukua EUFA mara ngapi!? Mzee Wenger ndio usiseme! Nenda kaangalie battle za Chelsea na Barcelona miaka hiyo ya 2004-2005, 2005-2006, hadi kuja 2008 uone wanaume walivyokuwa wanatoana jasho, halafu urudi useme kama Huyu Zidanw angeweza kuchukua EUFA back to Back miaka hiyo!
na gaucho kamzidi nini messi?Dunia imemtambua messi baada ya gaucho kuondoka barcelona......
Jiulize swali dogo tu kama gaucho angekuwepo mpaka miaka ya karibuni huyo Messi ungemjulia wapi
During Arsenal’s game against Bournemouth they believed they should have had a penalty for a foul on Pepe. VAR ref on the day Anthony Taylor believed it was a penalty but didn’t want to overrule Martin Atkinson‘s decision..Hata mpira wa sasa ni mtamu ila VAR ndio ina haribu radha.
Acha kabisa leo hii nenda united first eleven vipaji vipo viwili tu pogba na degea [emoji3][emoji3][emoji3] nenda kwa pep hawafiki hata watano ila ana watu wa kazi wengi kama klopp......kwanini ronaldo na messi wasitambe bana wanacheza na timu zenye vipaji vya mpira vya kuhesabika.....nakumbuka miaka ile ronaldo anaminywa na gattuso mpaka unamuonea huruma hahahaha......ndio ujue kabisa huyu ronaldo anaetamba sasa ivi angekuwepo miaka ile mpaka kustaafu kwake angeishia kutamba palepale epl tu.....
Roy Keane alishahojiwa akasema:Kweli kabisa, angalia mifano ya karibuni kabisa, kwa mfano Sc Milani ya miaka ya 2002 kuna juu, Man U ya kipindi hicho, Real Madrid, Arsenal, Juventus, Buyern Munich, Valencia unaona Ni timu zimesheni kweli kweli!
👍Hao hao AC Milan, Liver anapindua matokeo? Au umeamua tu kutukumbusha kua alikuwepo beki anaitwa Gattuso.
Msimu uliopita Messi ndo mchezaji aliyezifunga magoli mengi timu kubwa sita za uingereza japo hachezi uko. Ndo useme hao mabeki wangeweza kumzuia Messi.
Messi na CR 7 ndo wachezaji bora wa dunia wa muda wote, acha kuwafananisha na akina Kaka. Hao jamaa daraja lao ni tofauti kabsa.
Sasa ya kina zidane ndio zamani?Habarini Wanamichezo.
Mimi si mkubwa sana wa Umri lakini Nina kumbukumbu nzuri sana ya soka ya kuanzia mwaka 1997.
Nina kumbukumbu ya tournaments mbalimbali mfano EPL na Champions league ya Ulaya (UEFA)
Nimekuwa nikisema mara kadhaa kuwa kuna aina flan flan ya Wachezaji ama Timu ambazo ni ngumu kuziona, kuzikuta katika miaka hii.
Ule Uzalendo, Useriousness na hata Ukakamavu na zaidi kumaintain kiwango stahiki ni TOFAUTI KABISA.
Kwa mfano, tazama Bayern Munich ya zamani, tazama Real Madrid ya kina Zidane au FC Porto tu ya zamani na sasa, sijui tatizo ni nini.
KWA MFANO, katika picha ifuatayo...ni kikosi cha AC MILAN ya Italia, hivi ni kwa vipi ambavyo hata Barcelona ya leo au Real Madrid angeweza kuifunga timu hii?
Hivi kweli Messi angeweza kumchenga na kumpita Gattuso, Cafu na Maldini akafunge?
Ni rahisi kumkaba na kuwazuia Shevchenko, Seedorf na kaka kufunga?
Naomba Tafakari yenu Wadau...hasa Wakongwe kwenye soka.View attachment 1229377
Zile battle za Chelsea na Barca ni unforgettable mkuu ..beki kama Puyol awezi kabisa kusahau aise...kizazi cha akina Essien, Ob Mikel na wengineo Barca walipata tabu pamoja na ule utatu wao mtakatifu wa Xavi, Iniesta na Messi lakini mbele ya Chelsea walitoka jasho haswa....Mkuu hiyo Real ingechukuaje mara mbili mfululizo au zaidi wakati timu zilikuwa zimeshegeni vipaji. Niatakupa mfano, Mwaka 2002 Real ilichukua ndoo kwa kuifunga Buyern Liverkusen ya kina Ballack goli moja bila, mwaka 2003 Real hii ikiwa na Iker Casilas, Roberto Carlos, Claude Makele, Zidane, Ronaldo De Lima, Raul Gonzales, Ruis Figo, Fernando Redondo waliitoa Machester United kwa Jumla ya Magoli 6-4, Manchester wakifa 3-0 bila Bernabeu lakini wakashinda 4-3 Old Traford, hii ilikuwa bonge la Mechi hasa ya marudio. Nusu Finally Real akapangwa na Juventus, Juve wakaenda Bernabeu wakala 3-0, Madrid akaenda Pale Turin akachezea 4-0, hapa Casilass hawezi kumsahau Del pierro, Hawa Juventus waliotoka kumchakaza Madrid wanaingia finally na Ac Milan na Milani anachukua ndoo. Ninachotaka kukuonyesha hapa ni namna gani miaka hiyo ikikuwa ngumu kuchukua ndoo ya EUFA back to back kwakuwa timu zilikuwa na wanaume kweli kweli, Mzee Fergie pamoja na umaarufu wake wote pamoja na heshima zake, muulize amechukua EUFA mara ngapi!? Mzee Wenger ndio usiseme! Nenda kaangalie battle za Chelsea na Barcelona miaka hiyo ya 2004-2005, 2005-2006, hadi kuja 2008 uone wanaume walivyokuwa wanatoana jasho, halafu urudi useme kama Huyu Zidanw angeweza kuchukua EUFA back to Back miaka hiyo!
Ilikuwa ni hatari mkuu!Zile battle za Chelsea na Barca ni unforgettable mkuu ..beki kama Puyol awezi kabisa kusahau aise...kizazi cha akina Essien, Ob Mikel na wengineo Barca walipata tabu pamoja na ule utatu wao mtakatifu wa Xavi, Iniesta na Messi lakini mbele ya Chelsea walitoka jasho haswa....