UEFA Zamani, sasa ni mfano tu.

UEFA Zamani, sasa ni mfano tu.

Mimi nimemwaona Ronaldinho toka akachipukia (PSG) hadi anastaafu mpira was kimashindano, na Messi pia hivyo hivyo.

Nitafutie matukio kama matatu au manner Ronaldinho amekusanya kijiji hadi akafunga,

Wote wanapiga vyenga ila kila mmoja ana namna yake.. Tatizo kubwa la Ronaldinho alikua anacheza sana na mashabiki, chenga zake nyingi (mbwembwe) zilikua hazina madhara ukilinganisha na Messi
kumbe unajua kwamba ronaldinho kamzidi vyenga messi!!!...santiago bernabeu ni gaucho ndiye aliyepata standing ovation,messi mwenyewe anamkubali gaucho,kama gaucho hajamzidi chochote messi barcelona sasa messi anamzidi nini mume wa shakira!?
 
Mimi nimemwaona Ronaldinho toka akachipukia (PSG) hadi anastaafu mpira was kimashindano, na Messi pia hivyo hivyo.

Nitafutie matukio kama matatu au manner Ronaldinho amekusanya kijiji hadi akafunga,

Wote wanapiga vyenga ila kila mmoja ana namna yake.. Tatizo kubwa la Ronaldinho alikua anacheza sana na mashabiki, chenga zake nyingi (mbwembwe) zilikua hazina madhara ukilinganisha na Messi
we jamaa naona unanichosha tu
 
Zile battle za Chelsea na Barca ni unforgettable mkuu ..beki kama Puyol awezi kabisa kusahau aise...kizazi cha akina Essien, Ob Mikel na wengineo Barca walipata tabu pamoja na ule utatu wao mtakatifu wa Xavi, Iniesta na Messi lakini mbele ya Chelsea walitoka jasho haswa....
wakawa wanaishia kubebwa tu kwa chelsea,wanashika mara kumi kumi penati hakuna,drogba akataka kuua refa,2012 chelsea akiwa pungufu anamkalisha mtu,messi anazurura tu uwanjani kama muuza karanga
 
Mimi nimemwaona Ronaldinho toka akachipukia (PSG) hadi anastaafu mpira was kimashindano, na Messi pia hivyo hivyo.

Nitafutie matukio kama matatu au manner Ronaldinho amekusanya kijiji hadi akafunga,

Wote wanapiga vyenga ila kila mmoja ana namna yake.. Tatizo kubwa la Ronaldinho alikua anacheza sana na mashabiki, chenga zake nyingi (mbwembwe) zilikua hazina madhara ukilinganisha na Messi


Moja kati ya wanaojuwa mpira...salute kwako kamanda...na usisahau kuwa Gaucho kwa mdomo wake kakiri Ronaldinho: "I Knew Lionel Messi Was a Better Player than Me"

G_real
nitarudi
 
Habarini Wanamichezo.

Mimi si mkubwa sana wa Umri lakini Nina kumbukumbu nzuri sana ya soka ya kuanzia mwaka 1997.

Nina kumbukumbu ya tournaments mbalimbali mfano EPL na Champions league ya Ulaya (UEFA)

Nimekuwa nikisema mara kadhaa kuwa kuna aina flan flan ya Wachezaji ama Timu ambazo ni ngumu kuziona, kuzikuta katika miaka hii.

Ule Uzalendo, Useriousness na hata Ukakamavu na zaidi kumaintain kiwango stahiki ni TOFAUTI KABISA.

Kwa mfano, tazama Bayern Munich ya zamani, tazama Real Madrid ya kina Zidane au FC Porto tu ya zamani na sasa, sijui tatizo ni nini.

KWA MFANO, katika picha ifuatayo...ni kikosi cha AC MILAN ya Italia, hivi ni kwa vipi ambavyo hata Barcelona ya leo au Real Madrid angeweza kuifunga timu hii?

Hivi kweli Messi angeweza kumchenga na kumpita Gattuso, Cafu na Maldini akafunge?

Ni rahisi kumkaba na kuwazuia Shevchenko, Seedorf na kaka kufunga?


Naomba Tafakari yenu Wadau...hasa Wakongwe kwenye soka.View attachment 1229377
Rudi kwenye semi final UEFA 2005-6 uone Messi alichowafanya.
 
Hao hao AC Milan, Liver anapindua matokeo? Au umeamua tu kutukumbusha kua alikuwepo beki anaitwa Gattuso.
Msimu uliopita Messi ndo mchezaji aliyezifunga magoli mengi timu kubwa sita za uingereza japo hachezi uko. Ndo useme hao mabeki wangeweza kumzuia Messi.
Messi na CR 7 ndo wachezaji bora wa dunia wa muda wote, acha kuwafananisha na akina Kaka. Hao jamaa daraja lao ni tofauti kabsa.
Kwa kukukumusha tu, "Ronaldinho is the truest and the last prophet of soccer?"
 
Aliwafunga smicer instanbul hafu ashindwe messi watu baba.baada ya miaka kumi mtaanzakusema kulikuwa na Maguire beki kisiki na zouma sahizi mtasema wabaya
Habarini Wanamichezo.

Mimi si mkubwa sana wa Umri lakini Nina kumbukumbu nzuri sana ya soka ya kuanzia mwaka 1997.

Nina kumbukumbu ya tournaments mbalimbali mfano EPL na Champions league ya Ulaya (UEFA)

Nimekuwa nikisema mara kadhaa kuwa kuna aina flan flan ya Wachezaji ama Timu ambazo ni ngumu kuziona, kuzikuta katika miaka hii.

Ule Uzalendo, Useriousness na hata Ukakamavu na zaidi kumaintain kiwango stahiki ni TOFAUTI KABISA.

Kwa mfano, tazama Bayern Munich ya zamani, tazama Real Madrid ya kina Zidane au FC Porto tu ya zamani na sasa, sijui tatizo ni nini.

KWA MFANO, katika picha ifuatayo...ni kikosi cha AC MILAN ya Italia, hivi ni kwa vipi ambavyo hata Barcelona ya leo au Real Madrid angeweza kuifunga timu hii?

Hivi kweli Messi angeweza kumchenga na kumpita Gattuso, Cafu na Maldini akafunge?

Ni rahisi kumkaba na kuwazuia Shevchenko, Seedorf na kaka kufunga?


Naomba Tafakari yenu Wadau...hasa Wakongwe kwenye soka.View attachment 1229377
 
Moja kati ya wanaojuwa mpira...salute kwako kamanda...na usisahau kuwa Gaucho kwa mdomo wake kakiri Ronaldinho: "I Knew Lionel Messi Was a Better Player than Me"

G_real
nitarudi
kauli za kisiasa hizo,messi alikua anamfuata gaucho club,barcelona wakaona atamuharibu,wakamuuza..yaani messi alikua anakoshwa na mnyama mpaka anamfuatafuata kama mkia
 
Duh Sasa hiyo picha uliyoiweka unadhani AC Milan alikuwa anacheza na Nani???
picha gani nimeweka?..maana nakumbuka 2005-6 final uefa ni barcelona v arsenal,akachezesha refa ambae mchana alikua amevaa jezi ya barcelona,sikumbuki kumuona messi siku ile,au aliumia
 
Back
Top Bottom