- Thread starter
- #41
Ndo
Nini sasa!Aaaaah maqumer
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini sasa!Aaaaah maqumer
Ni jambo zuri kubadili kaziNimejifunza kupitia uzoefu wangu binafsi na bodaboda wenzangu kijiweni. Tuna mpango wa kuiacha hii kazi tukipata mtaji wa kueleweka!
Si ndo maana wanaishia kwa vitoto vidogo vya shulee, wakubwa hawaweziii.Kumbe boda boda wengi ni hawana nguvu kabisa?
Sasa kwa nini wanaharibu watoto wa shule hovyo hovyo?
Kwa nini?hii nadharia yako ungeifanyia utafiti usukumani kuliko baiskeli nyingi, ungeifuta kabisa
jibu la hiyo kwa nini utalipata ukienda hukoKwa nini?
Si tumeshaelewana kuzaa hakuna uhusiano na nguvu za kiume?
Na kwamba kuna tofauti ya kuwa na upungufu wa nguvu za kiume na ukosefu wa nguvu za kiume?!
Tusichanganye mambo tafadhali!
Kwanza hata hao wasukuma wengi uliowaongelea, wangapi wanaojali hisia za wake zao kama wamefikishwa kileleni au hawajafikishwa?!
Chukulia pia kwamba asilimia zaidi ya 60 ya wanawake, hawajawahi kufikishwa kileleni na Waume zao!
Kweli, watoto ambao hawana uzoefu na hayo mambo.Si ndo maana wanaishia kwa vitoto vidogo vya shulee, wakubwa hawaweziii.
Mwenyewe ninatokea huko.jibu la hiyo kwa nini utalipata ukienda huko
wewe umeingia mjini, chipsi zimekumaliza basi unadhani hata waliobaki huko wameshaharibikiwa kama wewe.Mwenyewe ninatokea huko.
Nawafahamu vzr ndugu zangu kuliko wewe unavyowafahamu
Hakika ila shetani ni mwana wa uongo, hajawah kua na kwel ndan yake!!Ukweli utabaki kuwa ukweli haijalishi umesemwa na malaika au shetani
Ndo maana hata mimi nimeshauri watu tuwe na mazoea ya kufanya tafiti hata hizi ndogo ndogo. Kaulize kwa marafiki zako wa karibu 5 tu ambao kazi yao ni hii na wewe wameifanya kwa muda wa zaidi ya miezi 6. Peleleza, halafu njoo ku-share na sisi kile ulichokigundua kutokana na utafiti wako.Akili na ufahamu ndio vinavyompa mwanadamu utashi wa kufanya maamuzi juu ya maisha yake na dhidi ya mazingira yaliyokuzunguka..... matumizi sahihi ya akili na ufahamu vitayaboresha maisha yako dhidi ya mazingira yaliyokuzunguka na matumizi mabaya ya akili na ufahamu vitaya angamiza maisha yako.......
Katika nyakati hizi za ulimwengu wa taarifa kiganjani ndizo nyakati ambazo unatakiwa kutumia sana akili na ufahamu wako maana kila mtu ni mtaalam wa kila kitu na anaweza kusema chochote kinachoijaza nafsi yake........
Hizi sio nyakati za kuzifanyia kazi kila taarifa unayoiona au kuisikia bali unatakiwa kutanguliza akili na maarifa ili uweze kupembua kati ya mchele na chuya taarifa zilizokufikia......
AMBAYE HAIKUMFAA AKILI YAKE BASI UTAMDHURU UJINGA WAKE........
Si ninao mashemeji zangu ambao waume zao kazi ni hiyo ya kuendesha baiskeli?!wewe umeingia mjini, chipsi zimekumaliza basi unadhani hata waliobaki huko wameshaharibikiwa kama wewe.
Tena sana!
Japo kwa nje huonekana boda boda wengi ni malaya, lakini ukiwafuatilia, wengi wao wanasumbuliwa na matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.
So sad!
Kama unaongelea zile za kufanyia mazoezi kwa dakika 30 hadi lisaa tu kwa siku ni sahihi.Baiskeli haipunguzi nguvu, baiskeli ni zaidi ya mazoezi unapoendesha
Hili la kwamba bodaboda(majority) wana upungufu wa nguvu za kiume limeshasikika sana lakini tatizo si kwao tu bali hata waendesha tractors au wanaolima kwa tractors kwa muda mrefu nao wana similar problems pamoja na truckdrivers waliofanya kazi hiyo kwa muda mrefu, ila wale wa bodaboda tatizo lao ni kubwa zaidi na hulipata ndani ya muda mfupi mpaka ile position lilipo tank la petrol huwa inadhaniwa kwamba ndiyo sababu. Hili jambo linahitaji research ya kina ili kufahamu chanzo cha tatizo ni kipi, labda ni kule kudundadunda huku wakizibalasa balls(pumbu) ndiyo chanzo cha matatizo. Itafutwe namna ya kuwasaidia hawa vijana.UENDESHAJI WA BODA BODA NA BAISKELI KWA MUDA MREFU UNAPUNGUZA NGUVU ZA KIUME; WAENDESHA BODA BODA KUWENI MAKINI.
Leo naenda kwenye mada moja kwa moja, maana hili ni suala nyeti sana.
Karibuni sana.
Sioni faida ya kukudanganya sio maanaSina uhakika na hiki ulichokiandika