Uendeshaji wa boda boda na baiskeli kwa muda mrefu unapunguza nguvu za kiume; waendesha boda boda kuweni makini

Uendeshaji wa boda boda na baiskeli kwa muda mrefu unapunguza nguvu za kiume; waendesha boda boda kuweni makini

hii nadharia yako ungeifanyia utafiti usukumani kuliko baiskeli nyingi, ungeifuta kabisa
Kwa nini?
Si tumeshaelewana kuzaa hakuna uhusiano na nguvu za kiume?
Na kwamba kuna tofauti ya kuwa na upungufu wa nguvu za kiume na ukosefu wa nguvu za kiume?!
Tusichanganye mambo tafadhali!
Kwanza hata hao wasukuma wengi uliowaongelea, wangapi wanaojali hisia za wake zao kama wamefikishwa kileleni au hawajafikishwa?!
Chukulia pia kwamba asilimia zaidi ya 60 ya wanawake, hawajawahi kufikishwa kileleni na Waume zao!
 
Kwa nini?
Si tumeshaelewana kuzaa hakuna uhusiano na nguvu za kiume?
Na kwamba kuna tofauti ya kuwa na upungufu wa nguvu za kiume na ukosefu wa nguvu za kiume?!
Tusichanganye mambo tafadhali!
Kwanza hata hao wasukuma wengi uliowaongelea, wangapi wanaojali hisia za wake zao kama wamefikishwa kileleni au hawajafikishwa?!
Chukulia pia kwamba asilimia zaidi ya 60 ya wanawake, hawajawahi kufikishwa kileleni na Waume zao!
jibu la hiyo kwa nini utalipata ukienda huko
 
Akili na ufahamu ndio vinavyompa mwanadamu utashi wa kufanya maamuzi juu ya maisha yake na dhidi ya mazingira yaliyokuzunguka..... matumizi sahihi ya akili na ufahamu vitayaboresha maisha yako dhidi ya mazingira yaliyokuzunguka na matumizi mabaya ya akili na ufahamu vitaya angamiza maisha yako.......

Katika nyakati hizi za ulimwengu wa taarifa kiganjani ndizo nyakati ambazo unatakiwa kutumia sana akili na ufahamu wako maana kila mtu ni mtaalam wa kila kitu na anaweza kusema chochote kinachoijaza nafsi yake........

Hizi sio nyakati za kuzifanyia kazi kila taarifa unayoiona au kuisikia bali unatakiwa kutanguliza akili na maarifa ili uweze kupembua kati ya mchele na chuya taarifa zilizokufikia......

AMBAYE HAIKUMFAA AKILI YAKE BASI UTAMDHURU UJINGA WAKE........
 
Mwenyewe ninatokea huko.
Nawafahamu vzr ndugu zangu kuliko wewe unavyowafahamu
wewe umeingia mjini, chipsi zimekumaliza basi unadhani hata waliobaki huko wameshaharibikiwa kama wewe.
 
Akili na ufahamu ndio vinavyompa mwanadamu utashi wa kufanya maamuzi juu ya maisha yake na dhidi ya mazingira yaliyokuzunguka..... matumizi sahihi ya akili na ufahamu vitayaboresha maisha yako dhidi ya mazingira yaliyokuzunguka na matumizi mabaya ya akili na ufahamu vitaya angamiza maisha yako.......

Katika nyakati hizi za ulimwengu wa taarifa kiganjani ndizo nyakati ambazo unatakiwa kutumia sana akili na ufahamu wako maana kila mtu ni mtaalam wa kila kitu na anaweza kusema chochote kinachoijaza nafsi yake........

Hizi sio nyakati za kuzifanyia kazi kila taarifa unayoiona au kuisikia bali unatakiwa kutanguliza akili na maarifa ili uweze kupembua kati ya mchele na chuya taarifa zilizokufikia......

AMBAYE HAIKUMFAA AKILI YAKE BASI UTAMDHURU UJINGA WAKE........
Ndo maana hata mimi nimeshauri watu tuwe na mazoea ya kufanya tafiti hata hizi ndogo ndogo. Kaulize kwa marafiki zako wa karibu 5 tu ambao kazi yao ni hii na wewe wameifanya kwa muda wa zaidi ya miezi 6. Peleleza, halafu njoo ku-share na sisi kile ulichokigundua kutokana na utafiti wako.
Au kanunue baiskeli au bodaboda, endesha kila siku kwa huo muda, halafu tuletee matokeo.
Just simple.
Ova.
 
wewe umeingia mjini, chipsi zimekumaliza basi unadhani hata waliobaki huko wameshaharibikiwa kama wewe.
Si ninao mashemeji zangu ambao waume zao kazi ni hiyo ya kuendesha baiskeli?!
Naomba ieleweke kwamba sijakurupuka kuuleta huu uzi hapa jamvini.
Ni uzi ambao nimeumefanyia utafiti kwa muda wa miaka 7!
 
Watu wanachanganya, nguvu za kiume sio kukaa JUU ya kinena cha mwanamke kwa masaa mengi.
Kuwa na uume unao simama imara usio lege lege na kuweza kufanya tendo kwa ufasaha ni nguvu Tosha za kiume sio mpaka tufanye siku nzima ad mnachubuana kama.

Dk moja tuu inatosha kumtoshereza mke wako ikiwa Uta chukua Muda vema kumuandaa kumtengenezea mazingira rahisi ya kumfikisha atakako,

Kama maishine Ina simama maishine inakomboa hakuna tatizo Bali mnajipa stress na kupeleka kuwa na uwezo mdogo WA kusasambua mbususu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena sana!
Japo kwa nje huonekana boda boda wengi ni malaya, lakini ukiwafuatilia, wengi wao wanasumbuliwa na matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.
So sad!
 
UENDESHAJI WA BODA BODA NA BAISKELI KWA MUDA MREFU UNAPUNGUZA NGUVU ZA KIUME; WAENDESHA BODA BODA KUWENI MAKINI.

Leo naenda kwenye mada moja kwa moja, maana hili ni suala nyeti sana.

Karibuni sana.
Hili la kwamba bodaboda(majority) wana upungufu wa nguvu za kiume limeshasikika sana lakini tatizo si kwao tu bali hata waendesha tractors au wanaolima kwa tractors kwa muda mrefu nao wana similar problems pamoja na truckdrivers waliofanya kazi hiyo kwa muda mrefu, ila wale wa bodaboda tatizo lao ni kubwa zaidi na hulipata ndani ya muda mfupi mpaka ile position lilipo tank la petrol huwa inadhaniwa kwamba ndiyo sababu. Hili jambo linahitaji research ya kina ili kufahamu chanzo cha tatizo ni kipi, labda ni kule kudundadunda huku wakizibalasa balls(pumbu) ndiyo chanzo cha matatizo. Itafutwe namna ya kuwasaidia hawa vijana.
 
Sina uhakika na hiki ulichokiandika
Sioni faida ya kukudanganya sio maana

Nguvu za kiume kuna kitu wengi hawajui sio kweli wanaume skuiz hawana nguvu, hapana
Nguvu wanazo shida ni hisia

Hisia hazina mashiko kwa sababu wanawake kuwapata saiv easy
Unatongoza leo anakupa leo leo
Hujateseka hajakusumbua kuzukumalizia viatu hela yako haijaitesa
Unakosa sababu ya kukamia unapiga kimoja unasepa afu unamdharau kwanza

Ni nguvu kwenda kwa kahaba ukapiga bao moja muda mrefu sababu pale mapenzi hakuna ni kupiga umwage usepe


Zaman tulisifiwa sana kuwa nguvu
Kwanza kuona paja la mwanamke ilikuwa kazi sana na bahati nasibu

Saiv sehemu za siri ziko wa wazi za wazi zimekuwa siri
Anavaa wigi kichwani afu chini anakuachia nusu



Pili zaman tulisifiwa sana sababu
Unamfukuzuia mwanamke miezi miaka mpaka anakuja kukukubali
Siku anakutunuku shekhe wangu lazma umshone haswa haswa haswa haswa
Akitoka hapo story ni wewe tu akimuona baba ake sura inakuja ya kwako mtoto wa watu anachanganyikiwa kabisa


Tufanye kazi
Saiv kigumu kupata ni condom tu ila sio penzi
Vitumbua vinapatikana kirahis sana mitaani mwetu
Ni ulafi wako tu na havina gharama
Mpaka kukopa ipo saiv

Tusizipe kesi baiskeli wala pikipiki wengine pia hulamu magari
Hapana hapana hapana


Mwisho niseme wanawake saiv wengi hawamudu mishindo ya mwanume
Hasa wa pili ila tatizo kwao halisemwi kabisa
Wengi hukimbia
Asubuhi njema
Walikumpwisa mayoe kainyokaleeele
 
Back
Top Bottom