Uendeshaji wa boda boda na baiskeli kwa muda mrefu unapunguza nguvu za kiume; waendesha boda boda kuweni makini

Uendeshaji wa boda boda na baiskeli kwa muda mrefu unapunguza nguvu za kiume; waendesha boda boda kuweni makini

Hapa utasikilizwa kwa makini.
Yeah, maana ni janga kwa bodaboda wengi..
Natamani bodaboda wenzangu waje kuthibitisha au kukanusha hiki nilichokileta jamvini.
Tuachane na propagandists ambao ajira yao ni hiyo; kufanya uongo uwe ukweli na ukweli uwe uongo.
Lazima tuseme ukweli hata kama unauma, halafu tutafute namna ya kusaidiana.
Ova.
 
Kama inaongelea zile za kufanyia mazoezi kwa dakika 30 hadi lisaa tu kwa siku ni sahihi.
Hata za matumizi ya kawaida majumbani Ifakara,Kyela,Tanga mjini,Pangani,Kilosa,Shinyanga,Tabora na Mwanza watu wanatumia baiskeli zaidi ya miaka 20 kuendesha umbali mrefu na hizo nguvu si tatizo.
 
Sioni faida ya kukudanganya sio maana

Nguvu za kiume kuna kitu wengi hawajui sio kweli wanaume skuiz hawana nguvu, hapana
Nguvu wanazo shida ni hisia

Hisia hazina mashiko kwa sababu wanawake kuwapata saiv easy
Unatongoza leo anakupa leo leo
Hujateseka hajakusumbua kuzukumalizia viatu hela yako haijaitesa
Unakosa sababu ya kukamia unapiga kimoja unasepa afu unamdharau kwanza

Ni nguvu kwenda kwa kahaba ukapiga bao moja muda mrefu sababu pale mapenzi hakuna ni kupiga umwage usepe


Zaman tulisifiwa sana kuwa nguvu
Kwanza kuona paja la mwanamke ilikuwa kazi sana na bahati nasibu

Saiv sehemu za siri ziko wa wazi za wazi zimekuwa siri
Anavaa wigi kichwani afu chini anakuachia nusu



Pili zaman tulisifiwa sana sababu
Unamfukuzuia mwanamke miezi miaka mpaka anakuja kukukubali
Siku anakutunuku shekhe wangu lazma umshone haswa haswa haswa haswa
Akitoka hapo story ni wewe tu akimuona baba ake sura inakuja ya kwako mtoto wa watu anachanganyikiwa kabisa


Tufanye kazi
Saiv kigumu kupata ni condom tu ila sio penzi
Vitumbua vinapatikana kirahis sana mitaani mwetu
Ni ulafi wako tu na havina gharama
Mpaka kukopa ipo saiv

Tusizipe kesi baiskeli wala pikipiki wengine pia hulamu magari
Hapana hapana hapana


Mwisho niseme wanawake saiv wengi hawamudu mishindo ya mwanume
Hasa wa pili ila tatizo kwao halisemwi kabisa
Wengi hukimbia
Asubuhi njema
Walikumpwisa mayoe kainyokaleeele
😁😁😁😁😁😁
 
Inawezekana mtoa mada ulizaliwa kipindi cha jakaya enzi zetu unapanda baiskeli tegeta mpaka bagamoyo na kurudi na bado nyumbani mama anawatoto wa kutosha tatizo kaka ni mabinti wa siku izi wanatumia tango ugoro wanaweka ukeni wanatumia uume wa mdori kingine wake zetu zamani walikua wanahifadhi miili yao kuona upaja ufanye kazi sasa angalia leo wanashindana kutembea uchi wanachoma sindano za uzazi wa mpango mwanamke hana joto tena ni wa baridi sasa kutwa nzima tunaona uchi wa mabinti ham tena inatoka wapi wacheni boda wewe kama unashindwa kwa mkeo tafuta wazee wakusaidie tatizo lako
 
Mwaka 2016 nilikuwa natokanna baiskel bagamoyo mjini to kelege nenda rudi kila siku

Na sijawah pata tatzo
Hilo
Mwaka 2018

Nimezunguka vijiji vyote vya mkoa wa rukwa na katavi kwa pikipiki na sijawahi pata hilo shida

Vijiji vyote ndani ya miez miwili
Hakuna nilipo acha rukwa katavi
Na maisha yangu tu kawaida
Sina gari hivyo pikipiki kwangu ndo usafir

Mwaka huu nataka nichukue xr cc 400 nataka nianze safiri nalo mkoa to mkoa dar katav dar mbeya
Nilikua na utaratibu wa kuendesha baiskeli toka Muze hadi Zimba,aisee kuna siku nimefika Mtowisa,nikasema ngoja nilale pale,mdada mmoja ni mwanafunzi wa shule moja ya sekondari pale Mtowisa inaitwa Vuma,alijichanganya,nilimkanyaga,yaani bao la kwanza lilichukua siyo chini ya saa moja,ile namaliza,miguu yake hadi ikawa inatetemeka,mnara ukasoma tena ndani ya dakika mbili nikamuomba nipige raundi ya pili,aligoma kabisa,akasema kachoka.Toka siku hiyo sijawahi kupiga raundi ndefu ya bao la kwanza kama lile,ila nachani iliyoniboost ni uendeshaji wa baiskeli,leo namsoma huyu mtafiti,sijui lakini.
 
Hata za matumizi ya kawaida majumbani Ifakara,Kyela,Tanga mjini,Pangani,Kilosa,Shinyanga,Tabora na Mwanza watu wanatumia baiskeli zaidi ya miaka 20 kuendesha umbali mrefu na hizo nguvu si tatizo.
Bila shaka hujanielewa vzr ndugu yangu.
Kuna utofauti wa upungufu na ukosefu wa nguvu za kiume!
 
Na wewe unaposema upungufu unamaanisha nini? Kwani mtu mwenye nguvu za kiume ni mtu wa aina gani?

Kwangu mimi mwanaume mwenye uwezo wa kusimamisha, na kusababisha ujauzito; huyo ana nguvu za kiume. Hayo mambo mengine sijui ya kutumia vumbi la Kongo, viagra, kwenda raundi nyingi, kutumia dakika nyingi, nk. Ni mbwembwe tu.
Wewe utakuwa kati ya wanaume wabinafsi ambao wakati wa tendo wanajiangalia wao tu bila kuwafikilia wenza wao!
Just imagine unamsumbua mwanamke wa watu, anakukubalia, halafu ile umefika tu ndani ya dakika moja tayari umeshamaliza na huwezi tena kurudia!
It is so disappointing
 
Hakika ila shetani ni mwana wa uongo, hajawah kua na kwel ndan yake!!
Shida yake huwa anachanganya ukweli na uongo. Ninachomaanisha huo ukweli wa kabla ya kuchanganywa na uongo, utabaki kuwa ukweli!
 
Nilikua na utaratibu wa kuendesha baiskeli toka Muze hadi Zimba,aisee kuna siku nimefika Mtowisa,nikasema ngoja nilale pale,mdada mmoja ni mwanafunzi wa shule moja ya sekondari pale Mtowisa inaitwa Vuma,alijichanganya,nilimkanyaga,yaani bao la kwanza lilichukua siyo chini ya saa moja,ile namaliza,miguu yake hadi ikawa inatetemeka,mnara ukasoma tena ndani ya dakika mbili nikamuomba nipige raundi ya pili,aligoma kabisa,akasema kachoka.Toka siku hiyo sijawahi kupiga raundi ndefu ya bao la kwanza kama lile,ila nachani iliyoniboost ni uendeshaji wa baiskeli,leo namsoma huyu mtafiti,sijui lakini.
Muze karibu na kasansa huko kutokea mamba aiseee
 
Watu wanachanganya, nguvu za kiume sio kukaa JUU ya kinena cha mwanamke kwa masaa mengi.
Kuwa na uume unao simama imara usio lege lege na kuweza kufanya tendo kwa ufasaha ni nguvu Tosha za kiume sio mpaka tufanye siku nzima ad mnachubuana kama.

Dk moja tuu inatosha kumtoshereza mke wako ikiwa Uta chukua Muda vema kumuandaa kumtengenezea mazingira rahisi ya kumfikisha atakako,

Kama maishine Ina simama maishine inakomboa hakuna tatizo Bali mnajipa stress na kupeleka kuwa na uwezo mdogo WA kusasambua mbususu
Kwa hiyo Mkuu kiasi cha muda wa kusuguana dakika moja tu inatosha?
Are you serious?
1 minute kama kuku?!
Hapana,
You are not serious!
 
Hili la kwamba bodaboda(majority) wana upungufu wa nguvu za kiume limeshasikika sana lakini tatizo si kwao tu bali hata waendesha tractors au wanaolima kwa tractors kwa muda mrefu nao wana similar problems pamoja na truckdrivers waliofanya kazi hiyo kwa muda mrefu, ila wale wa bodaboda tatizo lao ni kubwa zaidi na hulipata ndani ya muda mfupi mpaka ile position lilipo tank la petrol huwa inadhaniwa kwamba ndiyo sababu. Hili jambo linahitaji research ya kina ili kufahamu chanzo cha tatizo ni kipi, labda ni kule kudundadunda huku wakizibalasa balls(pumbu) ndiyo chanzo cha matatizo. Itafutwe namna ya kuwasaidia hawa vijana.
You hit the right target Mkuu.
Umeongea vzr sana.
Kiasi kwamba yote niliyotaka wana jamvi wayaelewe, umeyafupisha kwa mhutasari mzuri sana!
Nashukuru sana kwa hitimisho lako pia.
Kwamba kuna umuhimu wa kufanya utafiti kwa lengo la kuwasaidia hawa ndugu zetu.
Matokeo ya huo utafiti yatakuja na njia mbadala au maboresho kwa ajili ya manufaa ya bodaboda wetu.
Ahsante sana.
 
Hivi, kati ya hawa nani mwenye Tatizo la nguvu za kiume?
1. Asiyeweza kumpa mwanamke Mimba.
2. Asiyeweza kusimamisha uume wake.
3. Anaye wahi kufika kileleni ndani ya dk 3.

Isije ikawa tunalitumia vibaya hili neno "upungu wa nguvu za kiume"
 
UENDESHAJI WA BODA BODA NA BAISKELI KWA MUDA MREFU UNAPUNGUZA NGUVU ZA KIUME; WAENDESHA BODA BODA KUWENI MAKINI.

Leo naenda kwenye mada moja kwa moja, maana hili ni suala nyeti sana.
Babu yangu alikuwa akiniusia mara kwa mara, sifa ya mwanaume licha ya kuitunza vyema familia yake, lakini la muhimu pia kuruka kwa umahiri mreji.

Libido ikiwa ni shida ndipo sasa tunashudia agenda ya rangi za upinde wa mvua ikipata nguvu nyakati hizi. Vijana wanakuwa "wimpy" hata katika "matrimonial bed" zao kwa kutotaka kushauriwa. Nabii Lema ameshawaambia kuwa hiyo siyo ajira bali ni laana wakampuuzia.

Haya bana, shauri zao.
 
Back
Top Bottom