- Thread starter
- #81
Hao bodaboda ndo tunatafuta namna gani ya kuwasaidia, hakafu wewe Mzee wangu unasema tuwaache ili waendelee kuumbuka na kuathirika kisaikolojia?Inawezekana mtoa mada ulizaliwa kipindi cha jakaya enzi zetu unapanda baiskeli tegeta mpaka bagamoyo na kurudi na bado nyumbani mama anawatoto wa kutosha tatizo kaka ni mabinti wa siku izi wanatumia tango ugoro wanaweka ukeni wanatumia uume wa mdori kingine wake zetu zamani walikua wanahifadhi miili yao kuona upaja ufanye kazi sasa angalia leo wanashindana kutembea uchi wanachoma sindano za uzazi wa mpango mwanamke hana joto tena ni wa baridi sasa kutwa nzima tunaona uchi wa mabinti ham tena inatoka wapi wacheni boda wewe kama unashindwa kwa mkeo tafuta wazee wakusaidie tatizo lako