Nchi zenye sera hii zimejikuta zikikuza ile tabia ya watu kujitambulisha kwa majimbo yao na hivyo utaifa unakuwa shakani.
Ni rahisi sana watu kupata sababu za kuchukiana kuliko zile za kutaka kuwa kitu kimoja.
Mnapokubaliana kwamba udhaifu wa kila mmoja wenu unamezwa na umoja wenu maana yale ni rahisi hata huo udhaifu kupatiwa suluhisho ndani ya kuamini kwenu kwamba mpo salama mnapokuwa ni wamoja.
Hivi USA huwa unawatambuaje kwa majimbo yao, je ujerumani je Zambia au unaongea bila kufanya utafiti