Mwami Ntale
JF-Expert Member
- May 26, 2018
- 855
- 2,264
Huu ndio ukweli ambao srikalu haijakiri. Inabaki tuu kutumia maneno kama sustainability ya mfuko na mengine ja kufichaficha lakini hawasemi chochote juu ya ubadhirifu, mikopo ya hovyo na uwekezaji usioleta tija kwa mifukoKikotoo kimeletwa kuficha aibu ya serikali Kwa matumizi mabaya ya fedha za mifuko kwenye miradi isiyozalisha kama ujenzi wa majumba bila utaratibu ambayo yamefeli kuleta faida!!
Sasa wanakosa mamilioni ya kuwalipa wastaafu Kwa kikotoo Cha zamani ndio maana wastaafu wanateseka TU Kwa miaka mingi!!
Hizo formula ni blah blah tu!
Mzee kama huna Uwezo wa kujibu Hoja usicopy na kupaste ulichokijibu nyuma na nikakupa jibh hiloKuna makundi makuu mawili kwa sasa hapa nchini
1.Kuna watumishi (Wastaafu watarajiwa)
2.Kuna wastaafu waliokwishalipwa Mkupuo na sasa wanapokea monthly pension
Tafuteni makundi yote mawili mtaona hoja zao ni tofauti.
Kundi la Kwanza linataka mkupuo mkubwa.
Kundi la pili ambalo walipokea mkupuo mkubwa wanalalamika kuhusu udogo wa monthly pension.
Kila siku wanasema walau pensheni ya kila mwezi iongezeke.
Ukiamua kwa hisia,utajikuta unatengeneza kundi kubwa la ombaomba siku za baadaye!
Safi🤝🏿Bosi nchi hii ina wajinga wengi sana. Badala ya kutafuta ufumbuzi kwenye kuhakikisha watanzania wanapata elimu ya fedha na uwekezaji mapema minitu unakuta ina midevu inasema kikokotoo kibaya. Ukiuliza ubaya wake nini eti apewe hela zote, ukiuliza ukipewa eti nikifa niwe nimechukua hela yako, ukiukiliza je kwani ukiwa unapata kila mwezi ukifa hela yako si watapewa warithi yanasema oh mi nataka hela yangu yaani ni full ujinga mno.
Tafuta waliolipwa 50 kwa 50.Mzee kama huna Uwezo wa kujibu Hoja usicopy na kupaste ulichokijibu nyuma na nikakupa jibh hilo
Monthly pension ndio maisha.. Wengi wanao waza wapewe pesa zao zote, akili zao ni kuwa wakistaafu tu watakufa.. Wanaona walipwe 100% ili wafe nazo.Mie huwa nashangaa watu wanachanganya mada. Baada ya kukusoma unachozungumzia ni umuhimu wa ama kulipwa fedha zote au kubakiza upewe pension.
Kwa uelewa wangu mifuko ya jamii iko kwenye kundi la bima. Unawekeza ili baadaye upate mpaka hapo maisha yatakapokuchukua.
Najiuliza, kama mtu amefanya kazi miaka 30 hakuje nga, hana shamba, hana biashara. Anawezaje kupewa fedha za mkupuo ndio aanzishe mambo hayo akiwa hana ujuzi wowote? Nadhani ni ngumu. Watu wanapewa fedha wanakuwa wehu (sio wehu wa kurukwa na akili). Wakishtuka zimeisha. Au wanaazisha tu miradi ambayo haidumu maana matumizi yanabaki yaleyale na hana usimamizi bora. Hakuna mradi watakaoanzisha utakaopata faida zaidi ya pensheni ya kila mwezi.
Ni heri pensheni wangepigania pensheni kuongezwa kuliko kulipwa fedha zote ili zikiisha wasibaki na kitu.
Jamani, nayaona nina miaka 5 baada ya kustaafu. Pensheni nzuri jamani.
Nalipongeza andiko lako.
sio nitafute Nimekuambia ninao wengi sana na wanafurahi kulipwa hivyo..Tafuta waliolipwa 50 kwa 50.
Then waulize wangerudi kwenye utumishi wangetamani kulipwa vipi?
Mimi nadhani changamoto tumeshindwa kubalance story,kati ya Watumishi na wastaafu waliokwishalipwa.
Wapo wastaafu wanatamani hata wasingelipwa mkupuo, pesa yote iende kwenye montly pensheni na iwe kubwa.
Sisi tumeamua kuwa kwenye kelele za Watumishi na wanasiasa.
Tumeamua kuweka taaluma pembeni, sijui na sitaki kuamini wakati tunasoma principles za Hifadhi ya jamii kuna mtu aliwahi kupingana na kile tulichokuwa tunafundishwa.
Leo hii tumeanza kupingana nacho either kwa sababu njia zetu hazijafunguka kuiona na fani yetu kuwa na msaada kwetu direct.
Kuna nchi hata mkupuo hazina kabisa,mtu akistaafu anaunganisha na pensheni ya kila mwezi.
Kuna nchi ukistaafu wanakupa pesa yako yote lakini wao kiuchumi wako vizuri walishakufanyia kila kitu.
Wazee wakishapewa wananunua Annuity ili kila Mwaka walipwe pesa nzuri.
Mnaosema wastaafu wapewe pesa zao zote naombeni leteni mifano ya waliolipwa na wakawekeza na kuwa vizuri kifedha hadi sasa.
Hata watatu tu!
Vipi kuhusu Wabunge wao hawakupenda Kupewa Hio ya kila mwezi??Monthly pension ndio maisha.. Wengi wanao waza wapewe pesa zao zote, akili zao ni kuwa wakistaafu tu watakufa.. Wanaona walipwe 100% ili wafe nazo.
Hakika ni upuuziKulichoandikwa Mpaka Mwisho ni Upuuzi tu na wala sijasoma mpaka mwisho nimeishia katikati tu
Akikujibu naomba uniarifuVipi kuhusu Wabunge wao hawakupenda Kupewa Hio ya kila mwezi??
kwani kiongozi iyo ela ni ya kwenu au wan
Ni asilimia 19% ya watumishi ndio walikuwa wanalipwa hicho kikokotoo unacho semea niwa PSPF na LAPF.. unawajua walio kuwepo PPF, NSSF na GEPF walitumia kikokotoo kipi...!?sio nitafute Nimekuambia ninao wengi sana na wanafurahi kulipwa hivyo..
By the way kuna rafiki zangu mwaka 2020 mpaka 2022 kabla kikokotoo hakijaanza kufanya kazi waliomba kustaafu haraka kabla hakjjaanza..
Kiukweli hakuna Mtumishi narudia Tena hakuna Mtumishi anayefurahia Hiki kikokotooo..
SIo polisi sio Afya,Sio elimu wala sio Kada yoyote..
Nilikuwa miongoni mwa waliokusanya maoni na tuliyapeleka TuCTA ili yawasilishwe Bungeni na Pia Kwa Rais na mengine mtayasikia SIKU YA Mei mosi..
Nimezunguka Mikoa 20 nikiwa mwenyekiti wa Chama fulani cha wafanyakazi kwa Mkoa Fulani na yote hiyo asilimia 99 hawataki Kikokotoo..
Nyie hao mliowauliza mliwauliza wapi..
Report Ya kuzunguka huko Ipo kwa Rais wa TUCTA
kwani kiongozi iyo ela ni ya kwenu au wan
Ni asilimia 19% ya watumishi ndio walikuwa wanalipwa hicho kikokotoo unacho semea niwa PSPF na LAPF.. unawajua walio kuwepo PPF, NSSF na GEPF walitumia kikokotoo kipi...sio nitafute Nimekuambia ninao wengi sana na wanafurahi kulipwa hivyo..
By the way kuna rafiki zangu mwaka 2020 mpaka 2022 kabla kikokotoo hakijaanza kufanya kazi waliomba kustaafu haraka kabla hakjjaanza..
Kiukweli hakuna Mtumishi narudia Tena hakuna Mtumishi anayefurahia Hiki kikokotooo..
SIo polisi sio Afya,Sio elimu wala sio Kada yoyote..
Nilikuwa miongoni mwa waliokusanya maoni na tuliyapeleka TuCTA ili yawasilishwe Bungeni na Pia Kwa Rais na mengine mtayasikia SIKU YA Mei mosi..
Nimezunguka Mikoa 20 nikiwa mwenyekiti wa Chama fulani cha wafanyakazi kwa Mkoa Fulani na yote hiyo asilimia 99 hawataki Kikokotoo..
Nyie hao mliowauliza mliwauliza wapi..
Report Ya kuzunguka huko Ipo kwa Rais wa TUCTA
Kwanza utambue wabunge, RAS, DAS hawalipwi na PSSSF wala NSSF wana mfumo wao wa ulipaji na sio wanachama wa NSSF wala PSSSF.Vipi kuhusu Wabunge wao hawakupenda Kupewa Hio ya kila mwezi??
Ubunge ni kazi ya mkataba wa miaka 5. Hawakatwi fedha za mifuko ya pensheni. Kwa hiyo kisheria hahusiki na mifuko hiyo. Hata hiyo kupata pensheni mpaka uwe umechangia miaka 15.Vipi kuhusu Wabunge wao hawakupenda Kupewa Hio ya kila mwezi??
lakini mbona mimi nafanya kazi kwa mkataba 5 years kampuni X na nakatwa NSSF na PayeUbunge ni kazi ya mkataba wa miaka 5. Hawakatwi fedha za mifuko ya pensheni. Kwa hiyo kisheria hahusiki na mifuko hiyo. Hata hiyo kupata pensheni mpaka uwe umechangia miaka 15.
Kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii, kinacho fuatwa ni sheria na misingi ya hifafhi ya jamii.. Sio kauli za Mbunge au DAS.umeeleza mno kwa kujaribu kutetea!!
ila huwa najiuliza Wabunge wetu ni wapuuzi kiasi gani
wanatengeneza tatizo wenyewe halafu baadae wanapigia kelele kitu fulani si sawa wakati wao wenyewe walipitisha kwa sauti kubwa NDIOOOOOO
kitu nnachotamani nchi hii ya watanganyika tungalikuwa na uwezo wa kupiga kura kuwatoa (wabunge,wakurugenzi,DAS) pale ambapo hawaendi kama tunavyohitaji
nadhani utendaji unetukuka kidogo kwenye hizi nafasi za kisiasa
hii ndo kauli ambayo huwa inanifikirisha sanaKwenye mifuko ya hifadhi ya jamii, kinacho fuatwa ni sheria na misingi ya hifafhi ya jamii.. Sio kauli za Mbunge au DAS.
PPF na GEPF zilikuwa na wanachama Wachache sana Kulinganisha na PSPF na LAPF japp LAPF ilikuwa na wanachama wengi kuliko Hivyo vyote..Ni asilimia 19% ya watumishi ndio walikuwa wanalipwa hicho kikokotoo unacho semea niwa PSPF na LAPF.. unawajua walio kuwepo PPF, NSSF na GEPF walitumia kikokotoo kipi...!?
Nyamaza hujui kitu. Mipoyoyo ka wewe ndiyo mnaopotoshakwani kiongozi iyo ela ni ya kwenu au ya wanachama wenu?
Siasa ipo kila kona, hili sijapinga.hii ndo kauli ambayo huwa inanifikirisha sana
ukweli ni kwamba siasa inaendesha maisha yetu ya kila siku
leo unaambiwa unchukua hela zako
kesho unaambiwa mara unalipwa asilimia ya mshahara wako kwa miezi sita
ukisema tunaendeshwa na sheria za hifadhi ya jamii pekee bila siasa si kweli