Tena yakiwa kwenye gari dogo la abiria watano, inafikirisha, anyway tumwache Mungu aamue ugomviHao WALIO shambuliwa walikuwa wanakimbiza magendo yaliyotokea wapi mpaka yafike Tegeta?tegeta Kuna namdari
Wenye mamlaka wako wapi? Wanafanya nini? Vyombo vya usalama vipo vina kila kitu vimeshindwa nini kudhibiti hizo bandari? Kwanini wasiseme wazi kuwa hizo ndiyo back offices zao?Kutoka kunduchi pwani hadi bagamoyo kuna bandari babu nyingi sana. Pale kunduchi ni kama makao makuu. Madumu ya mafuta, sukari nk vinapitishwa hadi kwa magendo hadi aibu. Tena aibu kubwa kabisa. Polisi wanajua, TRA wanajua na hata huyo waziri anajua na mgao unamfikia.
Anaudhi ujue! Huyo TlaatlaahHujuo lolote wewe endelea na uchawa wako ili uweze kuishi. Hayo maeneo nayajua kuliko wewe unavyojua kushabikia wizi wa KURA!
Uzushi upo wapi! Unataka tuwataje hadi wahusika hapa?
Hicho kiinglish kikugeukiesasa ukitaja inasaidia nini badala kuchukua hatua kizalendo?
don't exposed your nonsense gentleman π
Hujitambuikwani wewe unavyokuaga unamendea wake za watu huwa unakwenda kwa kunyapia nyapia au unaenda kichwa kichwa? ukinyakwa unasema umetekwa right?
kusema haisaidii chochote you must take actions in comparations with specified authorities, na huo ndio uzalendo, na sio kumbwelambwela humu kinafiki, alaaaa π
Unauhakika huyo unayebishana nae hayupo kwenye mfumo wa payroll wa hao waingiza magendo???Hujuo lolote wewe endelea na uchawa wako ili uweze kuishi. Hayo maeneo nayajua kuliko wewe unavyojua kushabikia wizi wa KURA!
Uzushi upo wapi! Unataka tuwataje hadi wahusika hapa?
Swali la msingi ni lipi ulilouliza wakati umepuyanga? Umeambiwa walipiga pin gari hata kama walikuwa watekaji hawakuwa wamefukuzia madumu ya mafuta!Watekaji yeah.
Kama hawakuwa watekaji jibu swali la msingi
JItathimini unadhalilisha fani!Akili zako hazina vuzi
Tufuatilie jambo, ukiona yule marehemu na wafanyakazi wale wamelipwa mafao ya kuumia kazini basi huenda walitumwa, ila ukiona wanapgwa danadana ujue kuna taratibu za uondokaji kwenda doria zina walakiniHao WALIO shambuliwa walikuwa wanakimbiza magendo yaliyotokea wapi mpaka yafike Tegeta?tegeta Kuna namdari?
Wale ni watekaji sio MAAFISA wa Tra
Taifa linalowaza Uchaguzi tu jua limedumaa sana..maeneo yote uliyoyataja hali ya kiusalama ni shwari, hakuna uhalifu wala ukiukaji wa sheria eneo hilo, na kwahiyo hakuna haja ya yeyote kwenda sijui kufanya nini.
Kama taifa tumemaliza uchaguzi wa serikali za mitaa salama, na maandalizi ya uchaguzi mkuu 2025 yameanza.
Kwa Neema na Baraka za Mungu nao utafanyika kwa amani π
Swali la msingiSwali la msingi ni lipi ulilouliza wakati umepuyanga? Umeambiwa walipiga pin gari hata kama walikuwa watekaji hawakuwa wamefukuzia madumu ya mafuta!
π€£ π€£ π€£Bandari yetu Kunduchi iacheni wazee sisi tunaishi kupitia pale wazee acheni kabisa
Saa 9 za usiku tunapakua mizigo yetu ya sukari ya njano na dumu za mafuta. Tunapata hela sana paleKila mbuzi ale urefu wa kamba tafadhali bandari yetu ya kunduchi iacheni inatusaidia kupata mkate wa watoto kwani hao Tiss na Jwtz hapo hawalioni hilo?
Achana na hiyo habari
Nafikiri unaanza kuwa mwenda wazimu swali liko wapi?rudia kusoma bandiko lako na hiki ulichoandika hapa!Swali la msingi
Watekaji walijitambulisha kama wafanyakazi wa TRA, je wakati wanaigiza kumkamata target wao walionesha hati ya mahakama kuruhusu wafanye hivyo?
Je waliambatana na polisi mwenye sare?
Mmeanza kupunguzwa na sasa mmepaniki. Na bado mkisogeza pua zenu tutadeal nanyi kibingwa hadi muishe
kugeuza fumanizi kua utekaji ni drama πTaifa linalowaza Uchaguzi tu jua limedumaa sana..
sawa kasongo yeye mobali na ngai πHujitambui
ni kusonga mbele, kugeuka nyuma ni ushirikiana na ufirauni.Hicho kiinglish kikugeukie