Ufafanuzi kwanini Yanga akimfunga Mc Alger anaweza kuingia top 5 kwenye CAF 5 years ranking

Ufafanuzi kwanini Yanga akimfunga Mc Alger anaweza kuingia top 5 kwenye CAF 5 years ranking

🤣 🤣 🤣 🤣 Wewe unajadili akili umezificha mfukoni, Mahaba umeyaweka kichwani.
Quater Final Simba anaongeza 2, wewe Unaongeza 3. Kabla ya Group Stage Simba alikuwa na Point 39 wewe ulikuwa na point 31.

Mahaba yakizidi akili, ni wenda wazimu​

Hakika walimu wapewe pongezi kwa kazi wanayoifanya ukikutana na kichwa kama hiki aseeh. Mkuu mbona hivi vitu rahisi sana sijui ni nini kinakushinda kuelewa hapo? Nakuomba usipanic chukua hizi data zote unazoleta humu unganisha na kilicho andikwa naamini taratibu utaelewa.

Walimu wapewe maua yao aseeh
 
Hakika walimu wapewe pongezi kwa kazi wanayoifanya ukikutana na kichwa kama hiki aseeh. Mkuu mbona hivi vitu rahisi sana sijui ni nini kinakushinda kuelewa hapo? Nakuomba usipanic chukua hizi data zote unazoleta humu unganisha na kilicho andikwa naamini taratibu utaelewa.

Walimu wapewe maua yao aseeh
Utopolo bhana!!! Maisha siyo mrahisi hivyo 😀 😀
 
Yaani wewe hesabu zako zinawezekana tu kama points za Simba zitakua haziongezeki, kitu ambacho si kweli kwan Simba nayo imeshavuzu kuingia robo
Mbona una unaji dhaliliaha hivyo.... Simba kuingia robo tayari point zake ameshajumlishiwa.... Labda aende nusu ndio zitaongezeka hapo alipoingia robo tayari keshapewa point zake hana anachodai ...
 
🤣 🤣 🤣 🤣 Wewe unajadili akili umezificha mfukoni, Mahaba umeyaweka kichwani.
Quater Final Simba anaongeza 2, wewe Unaongeza 3. Kabla ya Group Stage Simba alikuwa na Point 39 wewe ulikuwa na point 31.

Mahaba yakizidi akili, ni wenda wazimu​

Daah ...na una kaza fuvu kabisaaaa ...na formula unayo .!?? Rage apewe sifa na utukufu Kwa kuwaita mbumbumbu.. .
 
Hii ni maajabu....hivi hata kabla haujapost haujaona hiyo ni ranking ya miaka mi5 ya 2019/20 - 2023/24!? Sasa hesabu za miaka mitano zinaanzia 2020/21 - 20024/25..... Mbona mnapenda kufanya Rage aonekane nabii Kwa kuwaita mbumbumbu.
Naendelea kusema. Utopolo wenye akili ni wawili tu. Kwikwikwikwi.
hata kwa macho yako huoni nilichopost? Unajitoa ufahamu eeh!!
 
Daah ...na una kaza fuvu kabisaaaa ...na formula unayo .!?? Rage apewe sifa na utukufu Kwa kuwaita mbumbumbu.. .
Nafasi ya 5 utakaa kwa muda tu coz berkane,zamalek,simba,usm alger wakifika nusu tu we ukaishia robo unarudi kuwa wa 10 kumbuka berkane na zamalek fainali lazima wafike na kombe lazima wachukue.
 
Nimeona mtu mtandaoni kapost kitu halafu watu wamemchapa maswali kisha kashindwa kujitetea.

Post yake ni

Rekodi muhimu Yanga akishinda 18.01

• Kuingia top 5 ya vilabu bora Afrika
• Timu ya kwanza kufika 5 bora kutoka Tanzania
• Kufikisha alama 39 za CAF
• Ramovich kuwa kocha wa kwanza kuifikisha Yanga 5 bora CAF
• Timu ya kwanza kukusanya alama nying za CAF kutoka Tanzania

swali kubwa ambalo ameulizwa au kitu ambacho walichomkosoa ni kwamba wa juu yake nao wataongeza point kama ambavyo Yanga ameongeza point hivyo wataendelea kuwa juu ya Yanga.

Ufafanuzi kuhusu hili;

Kwasasa Yanga inashika nafasi ya 10 ikiwa na point 34 kwa kushika nafasi ya 3 kwenye kundi lake hivyo wameambulia point 2. Timu ambazo zipo juu ya Yanga ni ( nafasi ya 5 hadi ya 9) ni
5) Wydad point 39 hashiriki mashindano
6)Simba point 38 baada ya kufuzu robo fainali
7) USMA point 37 baada ya kufuzu robo fainali
8) Berkane point 37 baada ya kufuzu robo fainali
9) Belouizdad point 36 kaishatolewa mashindanoni

Kwenye matokeo ya mchezo wa raundi ya mwisho katika mashindano yote ya CAFCC na CAFCL katika timu zote 10, ni Yanga pekee ndiye anayeweza kuongeza point 5 kama ikitokea wameshinda mchezo wao, hizo timu 9 zilizobakia timu 7 tayari zimeshafuzu hivyo point zao zime include hadi michezo ya mzunguko wa mwisho. Wydad wao hawako katika mashindano hivyo hakuna atakachoongeza na Belouizdad wameshatolewa mashindanoni.
 
Kiko wapi
IMG-20250118-WA0023.jpg
IMG-20250118-WA0023.jpg
 
Zinashuka kwasababu kuna msimu mmoja nyuma umefutwa na msimu mmoja mbele umeongezeka na huo msimu uliongezeka Simba imejikuta wapo kwenye mashindano ya akina mama
Teh teh 😃 😃 ongeza sauti hawajakusikia....
 
Back
Top Bottom