UFAFANUZI: Mtume Mohamad amewahi kutenda muujiza gani?

Kwamba huoni miujiza yake kuandika Quran, kuwa mtu wakwanza kuanzsha uislam,?
 
kwa bahati mbaya ndugu mhaya, hajawahi kuwa na uwezo huo wala mungu wake hana uwezo kama Mungu wa Israel. angejitahidi walau kidogo angefanya kama ile ya Misri ya kutengeneza nyoka wanamezwa na nyoka ya Musa, nadhani ndio maana aliamini majini ni viumbe muhimu na wazuri kwasababu alihitaji msaada toka kwao. na hata wafuasi wake, ukimsema kidogo tu wanapata hasira wanataka wakuchinje kwasababu yeye mwenyewe hana nguvu ya kujitetea, anatewa na wanadamu.
 
umeulizw amuujiza, unaleta kitabu. huo ndio muujiza?
 
Amezidiwa hata na Askofu Gwajima yaani Gwajiboy[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwa kutenda ile miujiza ya yetu pendwa.
 
Wewe wacha UONGO. Utasemaje Mohammad alifanya miujiza wakati Quran Ayat 17:59 ALLAH anasema aliacha kuleta miujiza kwa sababu kila alipowatuma mitume wake wa zamani kufanya hiyo miujiza wanadamu hawakuiamini? Na kwamba miujiza wa mwisho ilikuwa pale alipowaletea A SHE CAMEL. Ukija kusoma Ayat 7:73-75 unaona miujiza huu wa she camel uliletwa na nabii Salih
Lakini ukisoma Sahih Muslim Hadith 5835 Mtume Mohammad anasema baada ya Yesu hapajawahi tokea prophet mwingine yeyote, mpaka alipotokea Mtume Mohammad. Hivyo prophet Salih alikuwepo kabla ya Yesu. Na swali jingine unajiuliza hivi Mtume Mohammad alikuwa na akili kweli? Kwani kwa maneno haya itamaanisha pia Yesu hakufanya miujiza 🙃🙃
 
Labda muujiza huu aliosaidiwa kutafsiriwa na Zakir Naik
 
Muujiza wake mkuu ni hiyo qur,aan kama uamini jikusanyeni muandike inayo fanana hii iliopo pia iaminiwe na watu kama wanavyo iamini pia watu hao wawe na ibada 1 dunia kote inayo fwanana
 
Faiza kitabu hakiwezi kuwa muujiza... Muujiza ni Tukio linaloshuhudiwa na wengi na lisilo la kawaida. Mfano Musa alivyogawa Bahari...

Nataka tukio lililoshuhudiwa na watu likitendewa na Mtume Mohamad (SAW)
Qur,an kama sio muujiza nawe andika kama hii iliopo tuione
 

Soga za mzawa hizi
 

Chai
 
Pengine muujiza ni pale alipokunywa maji machafu ya kisima cha Al Badw na hakuugua kuhara
,kisima hicho inadaiwa kilikuwa kina.mizoga muujiza mwingine ni kukaoa kabinti ka STD 3 B
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…