UFAFANUZI: Mtume Mohamad amewahi kutenda muujiza gani?

Faiza hadi mtume anakufa hakukuwa na Quran kama unavyoiona leo.
Hao watu aliwaonesha nini?
Qur'an ilikuwepo, nani alikudanganya haikuwepo?

Labda useme kulikua hakuna makaratasi na machapisho kama ya hii leo.
 
Qur'an ilikuwepo, nani alikudanganya haikuwepo?

Labda useme kulikua hakuna makaratasi na machapisho kama ya hii leo.
Duuu hauna kina cha kuto surprises; kama ni hivyo hata leo basi hiyo kitabu yenu ya sh*tn basi si muiweke tu mioyoni mwenu? Kuna haja gani ya makaratasi? Tena mungetupunguzia shida maana kila leo wanakichoma
 
Duuu hauna kina cha kuto surprises; kama ni hivyo hata leo basi hiyo kitabu yenu ya sh*tn basi si muiweke tu mioyoni mwenu? Kuna haja gani ya makaratasi? Tena mungetupunguzia shida maana kila leo wanakichoma
Sasa hivi kipo kwenye moyo wa mtandao siyo mioyoni mwetu tu.

Hulijuwi hilo?
 
miujiza ni Quraan maneno hayajabadilishwa na yanawasumbua wakristo sana
 
Labda useme kulikua hakuna makaratasi na machapisho kama ya hii leo.
Kulikuwa na nini kama hakukuwa na makaratasi?

Kumbe huwa mnasema urongo mtupu mnasema Quran ilishushwa nzima nzima toka peponi kwa Allah (SW)
 
Alipepeta katoto cha miaka 10 bila huruma yoyote
 
Miujiza ni nini?
 
Aliishusha ikiwa katika Lugha gani. Je Lugha nyingine imeumbwa na nani?
 
Kumshawishi IBILISI mpaka akasilimu.....!!!!!
 
We
Sasa Bi. Faiza kwa upande wenu waislamu huwa mnajuaje kama huyu ni mpigaji?.
We huwa unajuaje kama mchungaji ji Tapeli.... Jibu lako ndio jibu la faiza mbweha🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…