UFAFANUZI: Mtume Mohamad amewahi kutenda muujiza gani?

UFAFANUZI: Mtume Mohamad amewahi kutenda muujiza gani?

Manabii na Mitume wengi walikuwa ni watu wa Kutenda miujiza mikuu ya kudhihirisha uwepo wa MUNGU mkuu.
Mfano;
1. Musa: Alitenganisha Bahari kuwaokoa wanaisraeli.

2. Eliya: Alifufua mtu aliyekufa

3. Elisha: Alifufua mtu aliyekufa na kuponya waliugua

4. Yesu: Huyu alifanya makuu mengi sana, mnayafahamu

5. Nuhu: alitengeneza Safina kuokoa viumbe dhidi ya gharika

6. Paulo: aliponya walougua

7. Daniel: alitupwa kwenye banda la Simba wenye njaa na kutoka hai.

8. Shadrack, Meshaki, na Abednego: walitupwa kwenye tanulu la moto mkali kiasi kwamba hata walinzi walioenda kuwatupa walifariki kwa joto la moto ule, lakini cha kushangaza hao jamaa hawakuungua wala kupata jeraha la moto. Mfalme Nebukadineza akaduwaa na kuamini kweli Mungu yupo.

9. Yona: alimgomea mwenyezi Mungu baada ya kuambiwa aende akahubiri, lakini yeye akaamua kutoroka na kupanda jahazi ambalo badae lilipigwa na dhoruba ikabidi wenzake wamtupe Yona kwenye maji hili dhoruba litulie, na kweli lilitulia, Yona akamezwa na Samaki mkubwa na akaishi tumboni mwa samaki na siku kadhaa akaenda kutapikwa na samaki huyo nchi kavu. Badae akatii kwenda kuhubiri.

10: Lutu: MUNGU alitenda muujiza wa kuunguza miji ya Sodoma na Gomorrah baada ya Ushoga, mapenzi ya jinsia moja na dhambi za kila aina kukithiri katika miji hiyo, ambapo Lutu aliwapokea Malaika ambao walitumwa kwa kazi maalumu ya kuokoa familia ya lutu.

Hao ni wachache baina ya yaliyomengi yaliyotendwa au kukumbwa na watumishi wa Mungu.

Katika mapokeo ya Kiislamu, Mtume Muhammad kwa ujumla hahusiani na kufanya miujiza kama vile manabii wengine, kama vile Musa au Yesu, wanavyoelezewa katika Biblia. Badala yake, Waislamu wanaamini kwamba Quran, kitabu kitakatifu cha Uislamu, kinachukuliwa kuwa muujiza wake mkuu. Quran inaaminika kuwa neno halisi la Mwenyezi Mungu kama ilivyoteremshwa kwa Mtume Muhammad kwa kipindi cha miaka 23. Sifa zake za kiisimu na kifasihi, pamoja na mwongozo unaoutoa, huonwa kuwa wa miujiza na Waislamu.

Kuna baadhi ya matukio na matukio yaliyoripotiwa katika Hadith za Kiislamu ambayo yanachukuliwa kuwa ni miujiza, kama vile Isra na Miraj, ambayo ni Safari ya Usiku na Kupaa kwa Mtume, ambapo inasemekana alisafiri kutoka Makka kwenda Yerusalemu na. akapanda mbinguni. Hata hivyo, haya kwa kawaida hayasisitizwi kama kipengele kikuu cha utume wake kwa jinsi miujiza inavyosisitizwa katika hadithi za manabii wengine katika baadhi ya mapokeo mengine ya kidini.

Je Mohamad alifanya muujiza upi wa kuonekana au alikumbwa na muujiza hupi kuzihirisha ukuu wa MUNGU?
Alimzalisha mtoto wa miaka minne kabla hajavunja ungo
 
Huu Ukristo wa mwendokasi ndio unaotuharibia kufanya imani yetu ionekane ya kikanjanja.

Miujiza si muhuri wa kumfanya mtu aonekane ndio mtumishi wa kweli wa Mungu! Miujiza Mungu huruhusu kwa sababu maalum sio matakwa ya mtumishi wake.

Sasa kwa taarifa yako, Yesu ambaye ni Mungu anatuambia HAKUNA aliye mkuu au atayekuja kuwa mkuu katika binadamu kuliko Yohane Mbatizaji! Nitajie muujiza mmoja wa Yohana mbatizaji?

Kibinadamu tunamuona Yohana Mbatizaji wa kawaida ndio maana hata kwenye list yako hujamtaja ila kwa jicho la Mungu huyo ndio mkuu kuliko wote!

Tusipende kukosoa imani za wengine tusizozifahamu vizuri. Tukomae na imani yetu maana bado tu wachanga tu!
 
Ni tofauti kabisa na hivyo vitabu ulivyovitaja:

Lakini Qur'an si kitabu cha sayansi, bali ni kitabu cha ishara. Ukweli mwingi wa kisayansi ambao unaonyeshwa kwa njia fupi sana na ya kina katika mistari yake umegunduliwa tu na teknolojia ya karne ya 20. Ukweli huu haungeweza kujulikana wakati wa ufunuo wa Qur'an, na hii bado ni uthibitisho zaidi kwamba Qur'an ni neno la Mungu.

Ili kuelewa muujiza wa kisayansi wa Qur'an, ni lazima kwanza tuangalie kiwango cha sayansi wakati ambapo kitabu hiki kitakatifu kilifunuliwa.

Katika karne ya 7, wakati Qur'an ilipofunuliwa, jamii ya Waarabu ilikuwa na imani nyingi za kishirikina na zisizo na msingi ambapo masuala ya kisayansi yalikuwa yanahusika. Kukosa teknolojia ya kuchunguza ulimwengu na asili, Waarabu hawa wa mapema waliamini katika hadithi zilizorithiwa kutoka vizazi vilivyopita. Walidhani, kwa mfano, kwamba milima iliunga mkono anga hapo juu. Waliamini kwamba dunia ilikuwa tambarare na kwamba kulikuwa na milima mirefu katika ncha zake zote mbili. Ilifikiriwa kwamba milima hii ilikuwa nguzo ambazo ziliweka kuba ya mbinguni juu.

Hata hivyo, imani hizi zote za kishirikina za jamii ya Kiarabu ziliondolewa na Qur'an. Katika Sura ya 2, aya ya 38, ilisemwa: "Mungu ndiye aliyeziinua mbingu bila msaada wowote..." (Quran, 2:<>). Aya hii ilibatilisha imani kwamba mbingu inabaki juu kwa sababu ya milima. Katika masomo mengine mengi, ukweli muhimu ulifunuliwa wakati ambapo hakuna mtu angeweza kuzijua. Qur'an ambayo iliteremshwa katika wakati ambapo watu walijua kidogo sana kuhusu unajimu, fizikia, au biolojia, ina ukweli muhimu juu ya mambo mbalimbali kama vile uumbaji wa ulimwengu, uumbaji wa mwanadamu, muundo wa anga, na mizani maridadi ambayo hufanya maisha duniani yawezekane.

Sasa, hebu tuangalie baadhi ya miujiza hii ya kisayansi iliyofunuliwa katika Qur'an pamoja.​

  • Hali ya hewa ya dunia
  • Quran juu ya Maendeleo ya Embryonic ya Binadamu
  • Quran juu ya milima
  • Quran juu ya Asili ya Ulimwengu
  • Quran juu ya Cerebrum
  • Qur'an juu ya bahari na mito
  • Quran juu ya bahari ya kina na mawimbi ya ndani
  • Qur'an juu ya mawingu
  • Maoni ya wanasayansi juu ya miujiza ya kisayansi katika Quran Tukufu
  • Muujiza wa Iron
  • Quran juu ya Ulimwengu wa Kupanua na Nadharia ya Big Bang
  • Ushindi wa Warumi na hatua ya chini kabisa duniani
  • Saba ya Dunia
Asante sana Faiza kwa ufafanuzi... Kwa maana hiyo Mtume Mohammad (SAW) hakutenda muujiza wowote bali alileta kitabu chenye kuielezea Dunia na vilivyomo, hayo nimenukuu kulingana na maelezo yako hapo juu.

Pili kama Quran imeelezea Sayansi na Jiografia na Biolojia... Mbona bado sayansi inatuambia watu kama kina Galileo Galilei ndio waliogindua Dunia ni Duara na mambo mengine mengi, kina Newton kuhusu Gravitational Force, kina Gregor Mendel aliyekuwa wanabaiolojia na aligundua kuhusu urithishwaji wa Vinasaba (DNA inheritence) na mambo kadha wa kadha...

Kwa nini hawakutumia Quran kutatua nadharia hizi za kisayansi....

Mwisho hata Biblia pia imeelezea kuhusu, namna binadamu anavyopaswa kuishi na mazingira yake, mbingu anga, maji na kadharika.

Na nimekuuliza Mbona hiyo hiyo Quran ina maandiko ya kwenye Biblia, imeshushwa kiaje wakati maandiko yake mengi ni kutoa kwenye injili, Torati, Zaburi ambavyo ni vitabu vilikuwepo toka Mwanzo.... Yani ni sawa useme umeshushiwa kitu wakati tayari kilikuwepo
 
Manabii na Mitume wengi walikuwa ni watu wa Kutenda miujiza mikuu ya kudhihirisha uwepo wa MUNGU mkuu.
Mfano;
1. Musa: Alitenganisha Bahari kuwaokoa wanaisraeli.

2. Eliya: Alifufua mtu aliyekufa

3. Elisha: Alifufua mtu aliyekufa na kuponya waliugua

4. Yesu: Huyu alifanya makuu mengi sana, mnayafahamu

5. Nuhu: alitengeneza Safina kuokoa viumbe dhidi ya gharika

6. Paulo: aliponya walougua

7. Daniel: alitupwa kwenye banda la Simba wenye njaa na kutoka hai.

8. Shadrack, Meshaki, na Abednego: walitupwa kwenye tanulu la moto mkali kiasi kwamba hata walinzi walioenda kuwatupa walifariki kwa joto la moto ule, lakini cha kushangaza hao jamaa hawakuungua wala kupata jeraha la moto. Mfalme Nebukadineza akaduwaa na kuamini kweli Mungu yupo.

9. Yona: alimgomea mwenyezi Mungu baada ya kuambiwa aende akahubiri, lakini yeye akaamua kutoroka na kupanda jahazi ambalo badae lilipigwa na dhoruba ikabidi wenzake wamtupe Yona kwenye maji hili dhoruba litulie, na kweli lilitulia, Yona akamezwa na Samaki mkubwa na akaishi tumboni mwa samaki na siku kadhaa akaenda kutapikwa na samaki huyo nchi kavu. Badae akatii kwenda kuhubiri.

10: Lutu: MUNGU alitenda muujiza wa kuunguza miji ya Sodoma na Gomorrah baada ya Ushoga, mapenzi ya jinsia moja na dhambi za kila aina kukithiri katika miji hiyo, ambapo Lutu aliwapokea Malaika ambao walitumwa kwa kazi maalumu ya kuokoa familia ya lutu.

Hao ni wachache baina ya yaliyomengi yaliyotendwa au kukumbwa na watumishi wa Mungu.

Katika mapokeo ya Kiislamu, Mtume Muhammad kwa ujumla hahusiani na kufanya miujiza kama vile manabii wengine, kama vile Musa au Yesu, wanavyoelezewa katika Biblia. Badala yake, Waislamu wanaamini kwamba Quran, kitabu kitakatifu cha Uislamu, kinachukuliwa kuwa muujiza wake mkuu. Quran inaaminika kuwa neno halisi la Mwenyezi Mungu kama ilivyoteremshwa kwa Mtume Muhammad kwa kipindi cha miaka 23. Sifa zake za kiisimu na kifasihi, pamoja na mwongozo unaoutoa, huonwa kuwa wa miujiza na Waislamu.

Kuna baadhi ya matukio na matukio yaliyoripotiwa katika Hadith za Kiislamu ambayo yanachukuliwa kuwa ni miujiza, kama vile Isra na Miraj, ambayo ni Safari ya Usiku na Kupaa kwa Mtume, ambapo inasemekana alisafiri kutoka Makka kwenda Yerusalemu na. akapanda mbinguni. Hata hivyo, haya kwa kawaida hayasisitizwi kama kipengele kikuu cha utume wake kwa jinsi miujiza inavyosisitizwa katika hadithi za manabii wengine katika baadhi ya mapokeo mengine ya kidini.

Je Mohamad alifanya muujiza upi wa kuonekana au alikumbwa na muujiza hupi kuzihirisha ukuu wa MUNGU?
Ohooo
Usimseme mtume ws mnyaaz pls pls🤣
 
Nachoelewa, kuna watu wanatibu kupitia Quran na kuna masheikh baadhi wanapiga ramli au wanaponya kupitia majini.

Sasa hapa ndipo huwa najitahidi kutofautisha kati ya uislamu na matendo ya muislamu, japo nilisikia msimamo wa waislamu dhidi ya majini ni tofauti na sisi tunaoamini kuwa yote ni mabaya
Asante sana Kaka, umenifafanulia vyema... Sikujua kama majini ni mabaya kwa waisilamu, nilijua majini ni sehemu ya Dini ya kiislamu kwa sababu utakuta mpaka mtu wa Dini hiyo ukizinguana naye anasema anakutupia jini au kukusomea alibadili ambayo wengi tuliamini ni kutupiwa jini likumalize.... Pia wengi wetu bado unaona na kuamini kuwa asilimia kubwa ya Waganga ni waislamu kwa sababu nimewahi kuona familia moja ya kiislamu mjini mwanza, baba yao akiwa mganga wa Jadi, pia tunaona kwenye TV watu kama Sheikh Majini akielezea majini na mambo mengine mpaka unasema kimoyo moyo huu si ni ushetani.

Maana kwenye Dini ya kikristo tunaambiwa malaika waliohasi walitupwa Duniani, ndio hawa majini
 
Huu Ukristo wa mwendokasi ndio unaotuharibia kufanya imani yetu ionekane ya kikanjanja.

Miujiza si muhuri wa kumfanya mtu aonekane ndio mtumishi wa kweli wa Mungu! Miujiza Mungu huruhusu kwa sababu maalum sio matakwa ya mtumishi wake.

Sasa kwa taarifa yako, Yesu ambaye ni Mungu anatuambia HAKUNA aliye mkuu au atayekuja kuwa mkuu katika binadamu kuliko Yohane Mbatizaji! Nitajie muujiza mmoja wa Yohana mbatizaji?

Kibinadamu tunamuona Yohana Mbatizaji wa kawaida ndio maana hata kwenye list yako hujamtaja ila kwa jicho la Mungu huyo ndio mkuu kuliko wote!

Tusipende kukosoa imani za wengine tusizozifahamu vizuri. Tukomae na imani yetu maana bado tu wachanga tu!
Hapa nazungumzia muujiza uliotendwa watu wa Mungu ulioambatana na kudhihirisha ukuu wa MUNGU... Ukizungumzia watu wa Mungu ambao hawakutenda Miujiza sio Yohana mbatizaji pekee, wapo wengi ambao kuanzia Abrahamu mwenyewe, na hiyo list nimeweka wacheche tu, sasa wewe unataka niweke kila mtu? Wapo ambao walichaguliwa na Mungu kutenda miujiza na wapo ambao hawakuchaguliwa kutenda miujiza.... Lakini kwa namna ambavyo Mtume Mohammad anavyotajwa basi nikataka kujua katenda muujiza hupi kudhihirisha ukuu wa Mungu
 
Watu wanaforce rizki
hao na wauza snake oil makanisani ni fungu Moja.
Usihukumu dini Kwa matendo ya waumini
Hapo nimekumanya vyema.... Haya turudi kwenye swali letu "Je Mohamad alitenda miujiza gani ukilinganisha na predecessors wake kama Musa"
 
Manabii na Mitume wengi walikuwa ni watu wa Kutenda miujiza mikuu ya kudhihirisha uwepo wa MUNGU mkuu.
Mfano;
1. Musa: Alitenganisha Bahari kuwaokoa wanaisraeli.

2. Eliya: Alifufua mtu aliyekufa

3. Elisha: Alifufua mtu aliyekufa na kuponya waliugua

4. Yesu: Huyu alifanya makuu mengi sana, mnayafahamu

5. Nuhu: alitengeneza Safina kuokoa viumbe dhidi ya gharika

6. Paulo: aliponya walougua

7. Daniel: alitupwa kwenye banda la Simba wenye njaa na kutoka hai.

8. Shadrack, Meshaki, na Abednego: walitupwa kwenye tanulu la moto mkali kiasi kwamba hata walinzi walioenda kuwatupa walifariki kwa joto la moto ule, lakini cha kushangaza hao jamaa hawakuungua wala kupata jeraha la moto. Mfalme Nebukadineza akaduwaa na kuamini kweli Mungu yupo.

9. Yona: alimgomea mwenyezi Mungu baada ya kuambiwa aende akahubiri, lakini yeye akaamua kutoroka na kupanda jahazi ambalo badae lilipigwa na dhoruba ikabidi wenzake wamtupe Yona kwenye maji hili dhoruba litulie, na kweli lilitulia, Yona akamezwa na Samaki mkubwa na akaishi tumboni mwa samaki na siku kadhaa akaenda kutapikwa na samaki huyo nchi kavu. Badae akatii kwenda kuhubiri.

10: Lutu: MUNGU alitenda muujiza wa kuunguza miji ya Sodoma na Gomorrah baada ya Ushoga, mapenzi ya jinsia moja na dhambi za kila aina kukithiri katika miji hiyo, ambapo Lutu aliwapokea Malaika ambao walitumwa kwa kazi maalumu ya kuokoa familia ya lutu.

Hao ni wachache baina ya yaliyomengi yaliyotendwa au kukumbwa na watumishi wa Mungu.

Katika mapokeo ya Kiislamu, Mtume Muhammad kwa ujumla hahusiani na kufanya miujiza kama vile manabii wengine, kama vile Musa au Yesu, wanavyoelezewa katika Biblia. Badala yake, Waislamu wanaamini kwamba Quran, kitabu kitakatifu cha Uislamu, kinachukuliwa kuwa muujiza wake mkuu. Quran inaaminika kuwa neno halisi la Mwenyezi Mungu kama ilivyoteremshwa kwa Mtume Muhammad kwa kipindi cha miaka 23. Sifa zake za kiisimu na kifasihi, pamoja na mwongozo unaoutoa, huonwa kuwa wa miujiza na Waislamu.

Kuna baadhi ya matukio na matukio yaliyoripotiwa katika Hadith za Kiislamu ambayo yanachukuliwa kuwa ni miujiza, kama vile Isra na Miraj, ambayo ni Safari ya Usiku na Kupaa kwa Mtume, ambapo inasemekana alisafiri kutoka Makka kwenda Yerusalemu na. akapanda mbinguni. Hata hivyo, haya kwa kawaida hayasisitizwi kama kipengele kikuu cha utume wake kwa jinsi miujiza inavyosisitizwa katika hadithi za manabii wengine katika baadhi ya mapokeo mengine ya kidini.

Je Mohamad alifanya muujiza upi wa kuonekana au alikumbwa na muujiza hupi kuzihirisha ukuu wa MUNGU?
Hatujui hataa alifanyaga nini,tunasali tu
 
Hivi wewe huwa huna bwana? Kutwa nzima uko humu kuandika upuuzi tu na kubishana na wanaume
Hii kauli sio sawa... Kuwa na bwana akumzuii mwanamke kujibu hoja, wapo wanawake wenye mawazo na Akili kuliko wanaume wengi... Tusiwanyike uhuru wanawake kisa tu eti kubishana na wanaume, mbona mama Samia umwambii hivyo

FaizaFoxy huyo jamaa asikutishe
 
Soma Surat Al-Qamar utaona muujiza wa kugawanyika kwa mwezi
Mwezi uligawanyika na dunia ikaendelea kutulia, bahari ikaendelea kutulia? Weather na climate zikabaki kawaida bila extreme changes 😁😄?
 
Hapa nazungumzia muujiza uliotendwa watu wa Mungu ulioambatana na kudhihirisha ukuu wa MUNGU... Ukizungumzia watu wa Mungu ambao hawakutenda Miujiza sio Yohana mbatizaji pekee, wapo wengi ambao kuanzia Abrahamu mwenyewe, na hiyo list nimeweka wacheche tu, sasa wewe unataka niweke kila mtu? Wapo ambao walichaguliwa na Mungu kutenda miujiza na wapo ambao hawakuchaguliwa kutenda miujiza.... Lakini kwa namna ambavyo Mtume Mohammad anavyotajwa basi nikataka kujua katenda muujiza hupi kudhihirisha ukuu wa Mungu
Mungu hadhihirishwi kwa kutenda miujiza tu! Lengo lako udhibitishe nini?
 
Mwezi uligawanyika na dunia ikaendelea kutulia, bahari ikaendelea kutulia? Weather na climate zikabaki kawaida bila extreme changes 😁😄?
Ndiyo
Eehe unasemaje?
 
And We have certainly made the Qur'an easy for remembrance, so is there any who will remember?
(Qur'an 54:17).

Achana na hiyo miujiza mingine ya kuhadithiwa ambayo hata babu yako hajayashuhudia. Hii Qur'an ni muujiza tosha ambao hata mtoto mdogo ambaye kiarabu sio lugha yake hadi chini ya miaka 7 anahifadhi.
Ukisikia ile balagha yake ilivyopangiliwa tena imeshushwa kwa maneno bila kuandikwa ndani ya miaka 23 sio mchezo.
Qur'an ambayo tunaona hadi vipofu wanahifadhi kichwani. Hiyo miujiza mingine ulishuhudia wapi zaidi ya kuambiwa kwenye biblia zilizochakachuliwa.


View: https://youtu.be/T9B38w0zrSg?si=0iz5TTcGDDZ4qdOS

Kiarabu ni lugha tu ambayo mtu yeyote anaweza kufundishwa na akameza maandiko.... Mbona watoto wanafundishwa kwa kiingereza wanaelewa, ata wakristo wangekuwa wanafundisha watoto biblia kwa kiebrania na kigiriki bado na wao wadingeshindwa.... Kwa muktadha huo kusoma biblia ya kiarabu sio muujiza, kusoma na kuelewa lugha tangu lini ikawa ni muujiza?

Biblia yenyewe Vipofu wanaiweka kichwani... Kipofu anafundishwa kwa kusikia na kugusa nukta nundu, hivyo huo sio muujiza
 
Imekaa hivi.
Unaamini Nyerere alipata degree Makerere.?
Wapi imeandikwa ?😆
Si kupitia vyeti alivyopewa, na chuo chenyewe kinadhihirisha hilo na ndugu zake na yeye Nyerere mwenyewe kwa kina chake amewahi kusema
 
Mungu hadhihirishwi kwa kutenda miujiza tu! Lengo lako udhibitishe nini?
Mitume wengi wenye majina makuu kwenye vitabu vya Dini walitenda miujiza, Elewa neno majina makuu, inakuwaje waislamu wanasema Mohammad ana jina kuu na hakuna ukuu wa Mungu aliodhihirishwa kupitia yeye ukiachia mbali kushushiwa Quran
 
Kiarabu ni lugha tu ambayo mtu yeyote anaweza kufundishwa na akameza maandiko.... Mbona watoto wanafundishwa kwa kiingereza wanaelewa, ata wakristo wangekuwa wanafundisha watoto biblia kwa kiebrania na kigiriki bado na wao wadingeshindwa.... Kwa muktadha huo kusoma biblia ya kiarabu sio muujiza, kusoma na kuelewa lugha tangu lini ikawa ni muujiza?

Biblia yenyewe Vipofu wanaiweka kichwani... Kipofu anafundishwa kwa kusikia na kugusa nukta nundu, hivyo huo sio muujiza
Weka ushahidi hatutaki maneno matupu. Masuala ya kuropoka hatutaki hapa. We hauoni yale mashindano ya Qur'an nchi tofauti tofauti. Hicho kiswahili kuweza kuweka kichwani kurasa 600 ikawa kazi ila Qur'an ikawa rahisi.
Masuala ya maneno matupu hatutaki. Na wala miujiza ya story ambayo hatujaona hatutaki. Sie tunazungumzia kusoma Qur'an dunia nzima. Niwekee ushahidi hapa. Masuala ya kuropoka hatutaki kama upo bar.
 
Mwezi uligawanyika na dunia ikaendelea kutulia, bahari ikaendelea kutulia? Weather na climate zikabaki kawaida bila extreme changes 😁😄?
Yes uko sawa kabisa... Mwezi unachangia kwa asilimia kubwa climate na Weather ya Dunia ukijumuisha Tides za bahari... Sasa huyu anasema mwezi ulipasuka bila kutokea madhara kidunia au hajui Dunia na Mwezi kuna utegemeano
 
Back
Top Bottom