UFAFANUZI: Mtume Mohamad amewahi kutenda muujiza gani?

UFAFANUZI: Mtume Mohamad amewahi kutenda muujiza gani?

Manabii na Mitume wengi walikuwa ni watu wa Kutenda miujiza mikuu ya kudhihirisha uwepo wa MUNGU mkuu.
Mfano;
1. Musa: Alitenganisha Bahari kuwaokoa wanaisraeli.

2. Eliya: Alifufua mtu aliyekufa

3. Elisha: Alifufua mtu aliyekufa na kuponya waliugua

4. Yesu: Huyu alifanya makuu mengi sana, mnayafahamu

5. Nuhu: alitengeneza Safina kuokoa viumbe dhidi ya gharika

6. Paulo: aliponya walougua

7. Daniel: alitupwa kwenye banda la Simba wenye njaa na kutoka hai.

8. Shadrack, Meshaki, na Abednego: walitupwa kwenye tanulu la moto mkali kiasi kwamba hata walinzi walioenda kuwatupa walifariki kwa joto la moto ule, lakini cha kushangaza hao jamaa hawakuungua wala kupata jeraha la moto. Mfalme Nebukadineza akaduwaa na kuamini kweli Mungu yupo.

9. Yona: alimgomea mwenyezi Mungu baada ya kuambiwa aende akahubiri, lakini yeye akaamua kutoroka na kupanda jahazi ambalo badae lilipigwa na dhoruba ikabidi wenzake wamtupe Yona kwenye maji hili dhoruba litulie, na kweli lilitulia, Yona akamezwa na Samaki mkubwa na akaishi tumboni mwa samaki na siku kadhaa akaenda kutapikwa na samaki huyo nchi kavu. Badae akatii kwenda kuhubiri.

10: Lutu: MUNGU alitenda muujiza wa kuunguza miji ya Sodoma na Gomorrah baada ya Ushoga, mapenzi ya jinsia moja na dhambi za kila aina kukithiri katika miji hiyo, ambapo Lutu aliwapokea Malaika ambao walitumwa kwa kazi maalumu ya kuokoa familia ya lutu.

Hao ni wachache baina ya yaliyomengi yaliyotendwa au kukumbwa na watumishi wa Mungu.

Katika mapokeo ya Kiislamu, Mtume Muhammad kwa ujumla hahusiani na kufanya miujiza kama vile manabii wengine, kama vile Musa au Yesu, wanavyoelezewa katika Biblia. Badala yake, Waislamu wanaamini kwamba Quran, kitabu kitakatifu cha Uislamu, kinachukuliwa kuwa muujiza wake mkuu. Quran inaaminika kuwa neno halisi la Mwenyezi Mungu kama ilivyoteremshwa kwa Mtume Muhammad kwa kipindi cha miaka 23. Sifa zake za kiisimu na kifasihi, pamoja na mwongozo unaoutoa, huonwa kuwa wa miujiza na Waislamu.

Kuna baadhi ya matukio na matukio yaliyoripotiwa katika Hadith za Kiislamu ambayo yanachukuliwa kuwa ni miujiza, kama vile Isra na Miraj, ambayo ni Safari ya Usiku na Kupaa kwa Mtume, ambapo inasemekana alisafiri kutoka Makka kwenda Yerusalemu na. akapanda mbinguni. Hata hivyo, haya kwa kawaida hayasisitizwi kama kipengele kikuu cha utume wake kwa jinsi miujiza inavyosisitizwa katika hadithi za manabii wengine katika baadhi ya mapokeo mengine ya kidini.

Je Mohamad alifanya muujiza upi wa kuonekana au alikumbwa na muujiza hupi kuzihirisha ukuu wa MUNGU?
Alioa kibinti (kitoto) cha miaka 9
 
Hata kama hakutenda hili swali inapaswa ajibu nani? Mungu, mtume mwenyewe au wafuasi?
Wahusika wenyewe wamesema Quran ina kila kitu nataka kujua kama kweli yeye na miongoni mwa mitume wakuu wakuu mbona mwenyezi akujidhiirisha kupitia chochote cha muujiza ukiachilia mbali kushushiwa Quran ambapo hakuna shahidi aliyekuwepo
 
Wahusika wenyewe wamesema Quran ina kila kitu nataka kujua kama kweli yeye na miongoni mwa mitume wakuu wakuu mbona mwenyezi akujidhiirisha kupitia chochote cha muujiza ukiachilia mbali kushushiwa Quran ambapo hakuna shahidi aliyekuwepo
Hili swali ajibu Mungu hapa hakuna namna
 
Ndio tunataka uthibitisho kutoka kwenye Quran, haya gani zinazotaja miujiza hiyo?

Neno la Mungu lazima liende kwa evidence, na nyie uwa mnasema Quran haitakiwi kuchakachukiliwa, kwamba kila kitu kimo kama kilivyo toka mwanzo
Quran ilikuja mudi akiwepo
Haiwezi kuongelea mambo aliyofanya mudi

Baada ya mudi kuondoka nadhani vipo vitabu vilivyoongelea habari za mudi na matendo yake kwa ujumla

Biblia ya kale kama ilimuongelea yesu basi ni kwa kutabiri ujio wake ila baada ya yesu kuondoka iliandikwa biblia baada ya yesu ndiyo maana unazipata habari zake
Kwani kuna Quran agano jipya?
 
Quran ilikuja mudi akiwepo
Haiwezi kuongelea mambo aliyofanya mudi

Baada ya mudi kuondoka nadhani vipo vitabu vilivyoongelea habari za mudi na matendo yake kwa ujumla

Biblia ya kale kama ilimuongelea yesu basi ni kwa kutabiri ujio wake ila baada ya yesu kuondoka iliandikwa biblia baada ya yesu ndiyo maana unazipata habari zake
Kwani kuna Quran agano jipya?
Well said mkuu
 
Manabii na Mitume wengi walikuwa ni watu wa Kutenda miujiza mikuu ya kudhihirisha uwepo wa MUNGU mkuu.
Mfano;
1. Musa: Alitenganisha Bahari kuwaokoa wanaisraeli.

2. Eliya: Alifufua mtu aliyekufa

3. Elisha: Alifufua mtu aliyekufa na kuponya waliugua

4. Yesu: Huyu alifanya makuu mengi sana, mnayafahamu

5. Nuhu: alitengeneza Safina kuokoa viumbe dhidi ya gharika

6. Paulo: aliponya walougua

7. Daniel: alitupwa kwenye banda la Simba wenye njaa na kutoka hai.

8. Shadrack, Meshaki, na Abednego: walitupwa kwenye tanulu la moto mkali kiasi kwamba hata walinzi walioenda kuwatupa walifariki kwa joto la moto ule, lakini cha kushangaza hao jamaa hawakuungua wala kupata jeraha la moto. Mfalme Nebukadineza akaduwaa na kuamini kweli Mungu yupo.

9. Yona: alimgomea mwenyezi Mungu baada ya kuambiwa aende akahubiri, lakini yeye akaamua kutoroka na kupanda jahazi ambalo badae lilipigwa na dhoruba ikabidi wenzake wamtupe Yona kwenye maji hili dhoruba litulie, na kweli lilitulia, Yona akamezwa na Samaki mkubwa na akaishi tumboni mwa samaki na siku kadhaa akaenda kutapikwa na samaki huyo nchi kavu. Badae akatii kwenda kuhubiri.

10: Lutu: MUNGU alitenda muujiza wa kuunguza miji ya Sodoma na Gomorrah baada ya Ushoga, mapenzi ya jinsia moja na dhambi za kila aina kukithiri katika miji hiyo, ambapo Lutu aliwapokea Malaika ambao walitumwa kwa kazi maalumu ya kuokoa familia ya lutu.

Hao ni wachache baina ya yaliyomengi yaliyotendwa au kukumbwa na watumishi wa Mungu.

Katika mapokeo ya Kiislamu, Mtume Muhammad kwa ujumla hahusiani na kufanya miujiza kama vile manabii wengine, kama vile Musa au Yesu, wanavyoelezewa katika Biblia. Badala yake, Waislamu wanaamini kwamba Quran, kitabu kitakatifu cha Uislamu, kinachukuliwa kuwa muujiza wake mkuu. Quran inaaminika kuwa neno halisi la Mwenyezi Mungu kama ilivyoteremshwa kwa Mtume Muhammad kwa kipindi cha miaka 23. Sifa zake za kiisimu na kifasihi, pamoja na mwongozo unaoutoa, huonwa kuwa wa miujiza na Waislamu.

Kuna baadhi ya matukio na matukio yaliyoripotiwa katika Hadith za Kiislamu ambayo yanachukuliwa kuwa ni miujiza, kama vile Isra na Miraj, ambayo ni Safari ya Usiku na Kupaa kwa Mtume, ambapo inasemekana alisafiri kutoka Makka kwenda Yerusalemu na. akapanda mbinguni. Hata hivyo, haya kwa kawaida hayasisitizwi kama kipengele kikuu cha utume wake kwa jinsi miujiza inavyosisitizwa katika hadithi za manabii wengine katika baadhi ya mapokeo mengine ya kidini.

Je Mohamad alifanya muujiza upi wa kuonekana au alikumbwa na muujiza hupi kuzihirisha ukuu wa MUNGU?

mtume alianzisha Jihad
 
NASHAURI WALETA MADA ZA NAMNA HII KUONESHA WAZI UDINI AU KUPONDA NA KUKANDAMIZA IMANI AU DINI ZA WENGINE WASIWE WANAJIBIWA WABAKI NA NYUZI ZAO BILA WACHANGIAJI.

MTU ANAYEKAZANA NA UKABILA NA UDINI NI MTU HATARI SANA KWENYE JAMII YOYOTE! ANATAKIWA ATAZAMWE KWA JICHO LA PEKEE NA WATU WAWE MAKINI NAE.

AHSANTE!
 
Manabii na Mitume wengi walikuwa ni watu wa Kutenda miujiza mikuu ya kudhihirisha uwepo wa MUNGU mkuu.
Mfano;
1. Musa: Alitenganisha Bahari kuwaokoa wanaisraeli.

2. Eliya: Alifufua mtu aliyekufa

3. Elisha: Alifufua mtu aliyekufa na kuponya waliugua

4. Yesu: Huyu alifanya makuu mengi sana, mnayafahamu

5. Nuhu: alitengeneza Safina kuokoa viumbe dhidi ya gharika

6. Paulo: aliponya walougua

7. Daniel: alitupwa kwenye banda la Simba wenye njaa na kutoka hai.

8. Shadrack, Meshaki, na Abednego: walitupwa kwenye tanulu la moto mkali kiasi kwamba hata walinzi walioenda kuwatupa walifariki kwa joto la moto ule, lakini cha kushangaza hao jamaa hawakuungua wala kupata jeraha la moto. Mfalme Nebukadineza akaduwaa na kuamini kweli Mungu yupo.

9. Yona: alimgomea mwenyezi Mungu baada ya kuambiwa aende akahubiri, lakini yeye akaamua kutoroka na kupanda jahazi ambalo badae lilipigwa na dhoruba ikabidi wenzake wamtupe Yona kwenye maji hili dhoruba litulie, na kweli lilitulia, Yona akamezwa na Samaki mkubwa na akaishi tumboni mwa samaki na siku kadhaa akaenda kutapikwa na samaki huyo nchi kavu. Badae akatii kwenda kuhubiri.

10: Lutu: MUNGU alitenda muujiza wa kuunguza miji ya Sodoma na Gomorrah baada ya Ushoga, mapenzi ya jinsia moja na dhambi za kila aina kukithiri katika miji hiyo, ambapo Lutu aliwapokea Malaika ambao walitumwa kwa kazi maalumu ya kuokoa familia ya lutu.

Hao ni wachache baina ya yaliyomengi yaliyotendwa au kukumbwa na watumishi wa Mungu.

Katika mapokeo ya Kiislamu, Mtume Muhammad kwa ujumla hahusiani na kufanya miujiza kama vile manabii wengine, kama vile Musa au Yesu, wanavyoelezewa katika Biblia. Badala yake, Waislamu wanaamini kwamba Quran, kitabu kitakatifu cha Uislamu, kinachukuliwa kuwa muujiza wake mkuu. Quran inaaminika kuwa neno halisi la Mwenyezi Mungu kama ilivyoteremshwa kwa Mtume Muhammad kwa kipindi cha miaka 23. Sifa zake za kiisimu na kifasihi, pamoja na mwongozo unaoutoa, huonwa kuwa wa miujiza na Waislamu.

Kuna baadhi ya matukio na matukio yaliyoripotiwa katika Hadith za Kiislamu ambayo yanachukuliwa kuwa ni miujiza, kama vile Isra na Miraj, ambayo ni Safari ya Usiku na Kupaa kwa Mtume, ambapo inasemekana alisafiri kutoka Makka kwenda Yerusalemu na. akapanda mbinguni. Hata hivyo, haya kwa kawaida hayasisitizwi kama kipengele kikuu cha utume wake kwa jinsi miujiza inavyosisitizwa katika hadithi za manabii wengine katika baadhi ya mapokeo mengine ya kidini.

Je Mohamad alifanya muujiza upi wa kuonekana au alikumbwa na muujiza hupi kuzihirisha ukuu wa MUNGU?
Ko tuseme mwezi alivyougawa ndo ikawa ishara kubwa kwake yeye kuabudiwa,,, kiujumla mm sijaona miujiza mikubwa aliyoifany mohamed
 
Ko tuseme mwezi alivyougawa ndo ikawa ishara kubwa kwake yeye kuabudiwa,,, kiujumla mm sijaona miujiza mikubwa aliyoifany mohamed
Mimi naomba kujua tu je ni kweli alitembea na mtoto wa miaka tisa?! Au ni uzushi
 
Yani leo ndio nimegundua watu wanajua tu kufika misikitini na makanisani ila kuhusu dini bado safari ni ndefu.Hivi nani aliwambia kuna mtume alitenda muujiza au ni mtume yupi alisema nimekutendea muujiza?

Miujiza yote anayeweza kufanya ni mwenyezi Mungu tu hao wajumbe wake hutumiwa kuonyesha mamlaka ya Mungu au kufikisha ujumbe katika namna rafiki kwa wenye mioyo migumu.Acheni utoto sijui huyu alishusha kitabu mara huyu katenganisha bahari hizo nguvu walizitoa wapi? kwamba walisema ni kazi zao? au nyie kwenye dini mpo daraja lipi?
Mbona hoja iko very clear na mleta mada katoa hadi mifano? Labda swali liulizwe kwa namna unayotaka wewe;

Je, ni miujiza upi ambao Mungu ambaye habari zake zilifunuliwa kwetu na mtumishi wake Mudi ulitendwa na Mungu huyo kupitia mtumishi wake?

Simple!
 
Sasa kama Quran ililetwa toka juu, mbona maandiko yake mengi kama Injili, Zaburi, Torati, Ufunuo yapo kwenye Biblia na kihistoria biblia ilikuwepo hata kabla ya uislamu kuanzishwa.

Pili, Faiza mimi nimetaka unipe miujiza aliyoifanya Muhammad kudhihirisha ukuu wa Mungu mbele ya umati,
Waislam wanachanganya. Quran haikushushwa kama kitabu. Mohamad alikua anadai kwenda miliman anaambiwa maneno then anaenda kuwatangazia umma wake. Mind you, Mohamad alikua hajui kusoma wala kuandika inadaiwa alikua anakariri mfumo ambao mpk sasa unaendelea wa kukaririshwa. Hayo ya kushushwa hayana ukweli wowote
 
Hi mambo ya imani waachiwe wenye imani zao tusilazimishane kukubli au kuzikataa,
Wenye kuziamini waache waziamini ili waweze kuamini ndani ya mioyo yo wapate kusaidika kwa imani zao
Hata mwanamalundi litenda miujiza yake labda alikuwa mchawi au alikuwa mtume
Inwezekana wapo wengine uko mshariki ya mbali nao walitenda miujiza pia ila wanaaminiwa katika imani zao uko uchinani na india
Je zumaridi tumweke ktk kundi gani? Kwanini nae asiaminiwe? Au kwa kuwa tuko nae na tunaishi nae ni mpaka afe ndipo watu wamtolee ushuuda kwa kuwa walikuwa wafuasi wake?
Zumaridi lituambia alienda mbiguni akakutana na mitume kadhaa na wengine walimpenda na wengine wlimsemesha mpaka kisukuma[emoji3][emoji3][emoji848]acha tu nicheke
Ila nae anayo yake je tunamweka kundi gani?
Hizi imani hizi tuwaache wanaoziamini mweza wa kila jambo ni mungu,
 
Hii kauli sio sawa... Kuwa na bwana akumzuii mwanamke kujibu hoja, wapo wanawake wenye mawazo na Akili kuliko wanaume wengi... Tusiwanyike uhuru wanawake kisa tu eti kubishana na wanaume, mbona mama Samia umwambii hivyo

FaizaFoxy huyo jamaa asikutishe
Stop being effeminate and a simp
 
Huu Ukristo wa mwendokasi ndio unaotuharibia kufanya imani yetu ionekane ya kikanjanja.

Miujiza si muhuri wa kumfanya mtu aonekane ndio mtumishi wa kweli wa Mungu! Miujiza Mungu huruhusu kwa sababu maalum sio matakwa ya mtumishi wake.

Sasa kwa taarifa yako, Yesu ambaye ni Mungu anatuambia HAKUNA aliye mkuu au atayekuja kuwa mkuu katika binadamu kuliko Yohane Mbatizaji! Nitajie muujiza mmoja wa Yohana mbatizaji?

Kibinadamu tunamuona Yohana Mbatizaji wa kawaida ndio maana hata kwenye list yako hujamtaja ila kwa jicho la Mungu huyo ndio mkuu kuliko wote!

Tusipende kukosoa imani za wengine tusizozifahamu vizuri. Tukomae na imani yetu maana bado tu wachanga tu!
Yohana Mbatizaji nitaje mambo machache kumhusu! Kutungwa kwake mimba kulikuwa kwa miujiza.

Mimba yake ilipokutana na mimba ya Yesu muujiza ulitokea! Alirukaruka tumboni kwa furaha kuu!

Ni kupitia kazi ya Yohana Mbatizaji uwepo wa the Holy Trinity unajifunua wazi wazi!

Hiyo yote ni miujiza ambayo ilitendeka kupitia uwepo wa Yohana Mbatizaji!
 
Ndio tunataka uthibitisho kutoka kwenye Quran, haya gani zinazotaja miujiza hiyo?

Neno la Mungu lazima liende kwa evidence, na nyie uwa mnasema Quran haitakiwi kuchakachukiliwa, kwamba kila kitu kimo kama kilivyo toka mwanzo
Ndugu mhaya Kiukweli kabisa Mimi niliachaga zamani hizi chuki na Dini baada ya kugundua zkte ni kitu kimoja..

lakini hii sio mada ya leo..Leo umeuliza na kuomba kupewa Hiyo miujizaaliyofnya Mtume..
Ok nitakujibu..

mathayo 12:38-39.
Hapo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema, Mwalimu, twataka kuona ishara kwako.
Akajibu, akawaambia, Kizazi kibaya na cha zinaa chatafuta ishara, wala hakitapewa ishara, ila ishara ya nabii Yona


na kwenye Quran pia..
Surat al-Ankabut, aya ya 50. Aya hiyo inasema:
"Na wanasema, 'Kwa nini hakumteremshia Ishara kutoka kwa Mola wake?' Sema, 'Ishara ziko kwa Mwenyezi Mungu. Mimi ni hapa tu kuonya waziwazi.'"

sasa niende moja kwa moja kwenye Miujiza aliyofanya Mtume wa Waislamu Muhammad (S.A.W)

1.KUTOA MAJI KWENYE KIGANJA NA KUNDI LA WATU WAKANYWA...

Hadithi hii iko katika Kitabu cha "Tafsir" (ufafanuzi wa Quran) cha Sahih al-Bukhari, katika sehemu ya Tafsir ya Surat al-Mumtahanah.
Hapa ni nukuu ya hadithi kutoka Sahih al-Bukhari:

"Abu Huraira alisema: 'Siku moja tulikuwa pamoja na Mtume wa Mwenyezi Mungu (S.A.W). Tukawa na kiu kali. Mtume akasema, 'Je, kuna yeyote miongoni mwenu anayeniletea chombo cha maji?' Abu Huraira akasema, 'Nikamletea chombo cha maji na kumkabidhi. Mtume wa Mwenyezi Mungu (S.A.W) akakichukua, kisha akalifungua na kisha akaweka kiganjani mwake. Kisha maji yakatoka kutoka kiganjani mwake, na watu wote wakanywa hadi wakashiba, na mimi nikakunywa hadi nilipopata kutosheka.'"

2.KUMPONYA MTU JICHO..

katika Sahih al-Bukhari. Hapa ni nukuu ya hadithi hiyo:
Imepokelewa kutoka kwa Ibn Abbas (R.A) kwamba mtu mmoja kutoka Ansari alikuwa amepoteza jicho lake wakati wa vita vya Uhud, na alikuwa na kiu ya kunywa maji. Akaenda kwa Mtume Muhammad (S.A.W) na akasema, "Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, ninakuomba kunywa maji." Mtume akamwambia, "Enda kwenye bonde hilo na kunywa maji." Kisha Mtume akamwambia, "Ondoka, Ewe Mtumwa wa Mwenyezi Mungu." Na kisha jicho lake likarejea mahali pake na akapona.

3.CHAKULA KUTOKA MBINGUNI..

"Hadithi ya At'amah" au "Hadithi ya kula chakula cha Mbinguni," ni moja ya hadithi maarufu katika Sunna ya Mtume Muhammad (S.A.W).
Nukuu ya hadithi hii inapatikana katika vitabu vingi vya Hadith, ikiwa ni pamoja na Sahih al-Bukhari na Sahih Muslim. Hapa ni nukuu kutoka Sahih al-Bukhari:

Imepokelewa kutoka kwa Anas bin Malik (R.A) kwamba Mtume Muhammad (S.A.W) alikuwa na watu elfu tano wakati wa kula, na chakula kikaja kutoka mbinguni. Alikuwa akiwauliza, "Kaa chini, katika nafasi zenu, na usilete mshtuko wala mshangao, na kula chakula chenu."


4.HADITHI YA KIPOFU KUPATA KUONA TENA:

"Kulikuwa na kipofu mmoja aliyemjia Mtume Muhammad (S.A.W) na akamuomba kumpa shifaa. Mtume alimwambia aoge na kisha akamuomba Mwenyezi Mungu ampe shifaa. Kipofu huyo alifanya kama alivyoambiwa, na baada ya kuoga na kuomba dua, alipata kuona tena." (Sunan Abi Dawood)


ZIKO NYINGI SANA ILA HIZI NI CHACHE zipo.kama safari ya isra na miraji,Kuna Quran yenyewe ....
 
Back
Top Bottom