UFAFANUZI: Mtume Mohamad amewahi kutenda muujiza gani?

UFAFANUZI: Mtume Mohamad amewahi kutenda muujiza gani?

Mimi naomba kujua tu je ni kweli alitembea na mtoto wa miaka tisa?! Au ni uzushi
Category zote jamaa alitafuna; kuanzia mishangazi overage hadi vigoli size ya vitukuu hakubakiza kitu mzee! Size za kati ndio alitapanya hasa akijidai anawasaidia ambao waume zao waliuliwa vitani!
 
Yaani Mnamzungumzia Moody na dini yake ya Mnyeeezi mungu!!!! Huyo chenga tupu full pichapicha fikiria mtu anabaka vibinti huyo ni nabii kweli????

Huyo jamaa bila shaka alikuwa mvuta jani la arusha.
 
Qur'an wewe huishuhudii leo hii?

MIUJIZA YA QURAN​


Karne kumi na nne zilizopita, Mungu aliteremsha Qur'ani kwa wanadamu kama kitabu cha mwongozo. Aliwataka watu waongozwe kwenye ukweli kwa kufuata kitabu hiki. Kutoka siku ya ufunuo wake hadi siku ya hukumu, kitabu hiki cha mwisho cha Mungu kitabaki kuwa mwongozo pekee kwa wanadamu.

Hekima ya Qur'an na Qur'an ni ushahidi wa wazi kwamba ni neno la Mwenyezi Mungu. Kwa kuongezea, Qur'an ina sifa nyingi za miujiza zinazothibitisha kwamba ni ufunuo kutoka kwa Mungu. Moja ya sifa hizi ni ukweli kwamba ukweli kadhaa wa kisayansi ambao tumeweza kuufunua kwa teknolojia ya karne ya 20 ulielezwa katika Qur'an miaka 1,400 iliyopita.


-
wanasayansi wakina Socrates,Plato, walikuwepo kabla ya mudi na walishasema nadharia nyingi na mudi alizikuta watu wakifundishwa.
 
Mbona hoja iko very clear na mleta mada katoa hadi mifano? Labda swali liulizwe kwa namna unayotaka wewe;

Je, ni miujiza upi ambao Mungu ambaye habari zake zilifunuliwa kwetu na mtumishi wake Mudi ulitendwa na Mungu huyo kupitia mtumishi wake?

Simple!
Najua.Hiko hivi sio kila mtume lazima apewe muujiza.Na hiyo miujiza inayosemwa kwa Moses na wengine haikuwa ata miujiza ila ilikuwa tu Mungu anaonyesha alivyo mkuu kwa walio na mioyo migumu.

Mwenyezi Mungu hana sababu ya kumtendea mwanadamu miujiza ikiwa imani yake ni nzuri bali ulazimika kufanya hivyo kwa wasioamini uwepo wake na ukuu wake.Mtume Muhammad(S.A.W) peace be upon him anaweza kuwa hana hiyo miujiza(sina uhakika, wenye kujua watasaidia) lakini hiyo haiwezi kuondoa utume wake.Mwenye kutoa utume kwa mtu ni mwenyezi Mungu bila kujali atampa nguvu hipi au kipi nasio wanadamu
 
Msibishane mambo ya dini ziacheni kama zilivyo mnatafuta dhambi wazee
 
Najua.Hiko hivi sio kila mtume lazima apewe muujiza.Na hiyo miujiza inayosemwa kwa Moses na wengine haikuwa ata miujiza ila ilikuwa tu Mungu anaonyesha alivyo mkuu kwa walio na mioyo migumu.

Mwenyezi Mungu hana sababu ya kumtendea mwanadamu miujiza ikiwa imani yake ni nzuri bali ulazimika kufanya hivyo kwa wasioamini uwepo wake na ukuu wake.Mtume Muhammad(S.A.W) peace be upon him anaweza kuwa hana hiyo miujiza(sina uhakika, wenye kujua watasaidia) lakini hiyo haiwezi kuondoa utume wake.Mwenye kutoa utume kwa mtu ni mwenyezi Mungu bila kujali atampa nguvu hipi au kipi nasio wanadamu
Of course hoja ya mleta mada ni kuoneshwa japo kamuujuza kamoja tu alikotenda au kalikodhihirika kupitia au kwa uwepo wa Mudi. Naona hii hoja ni as if inakosa majibu ya maana.
 
Of course hoja ya mleta mada ni kuoneshwa japo kamuujuza kamoja tu alikotenda au kalikodhihirika kupitia au kwa uwepo wa Mudi. Naona hii hoja ni as if inakosa majibu ya maana.
Naeleweka kaka.Ndio maana nkasema hivi kuwa mtume sio lazima uwe ni miujiza.Nikasema pia hayo yaliyotendeka kwa mitume waliotangulia haikuwa ata miujiza bali Mungu alikuwa anaonyesha tu alivyo na mamlaka juu ya kila kitu.

Kama kuwa na miujiza ndio utume hao manabii na mitume mbona hawakuchagua waifanye wapi na lini(except Jesus ndio alikuwa anaweza kuamua kufanya jambo bila ya kuwa ameambiwa na Mungu fanya hivi.Lakini na yeye had to pray to God before he did everything and he called it faith and not miracles coz he knew only God can do miracles)
 
Ndio tunataka uthibitisho kutoka kwenye Quran, haya gani zinazotaja miujiza hiyo?

Neno la Mungu lazima liende kwa evidence, na nyie uwa mnasema Quran haitakiwi kuchakachukiliwa, kwamba kila kitu kimo kama kilivyo toka mwanzo
Kwenye Quran hakuna, na kwenye Quran imeandikwa yeye ni binadamu wa kawaida na ni muonyaji tu.
 
Sio kila Nabii au Mtume wa Mwenyezi Mungu atende miujiza Kwa wakati aliokuwepo,wengine maneno na matendo yao ndiyo tunayotumia leo kuishi Kwa ustaarabu na kuwa na hofu ya Mungu.
Tukifuatilia kwa makini na utulivu wa nafsi,pasina shaka kwamba Mtume Mohammed S.W alikuwa ni genius aliyeshushiwa masuala mazito ya kiroho ambayo hadi leo ni wachache sana wenye Elimu ya kuyang'amua.
Dunia ya leo inahitaji tiba za kifikra na kiroho kuliko kimwili.
Hata hivyo ni yeye aliyesema ya kuwa jambo muhimu katika ulimwengu ni Elimu na ndiyo ambayo ukiipata tiba zote za kimwili zitatulika.
 
Yaani Mnamzungumzia Moody na dini yake ya Mnyeeezi mungu!!!! Huyo chenga tupu full pichapicha fikiria mtu anabaka vibinti huyo ni nabii kweli????

Huyo jamaa bila shaka alikuwa mvuta jani la arusha.
Mkuu unasahau Musa na Kina haruni kwenye Bible walijichagulia Vigoli waliowateka vitani
 
Naeleweka kaka.Ndio maana nkasema hivi kuwa mtume sio lazima uwe ni miujiza.Nikasema pia hayo yaliyotendeka kwa mitume waliotangulia haikuwa ata miujiza bali Mungu alikuwa anaonyesha tu alivyo na mamlaka juu ya kila kitu.

Kama kuwa na miujiza ndio utume hao manabii na mitume mbona hawakuchagua waifanye wapi na lini(except Jesus ndio alikuwa anaweza kuamua kufanya jambo bila ya kuwa ameambiwa na Mungu fanya hivi.Lakini na yeye had to pray to God before he did everything and he called it faith and not miracles coz he knew only God can do miracles)
Kama nimekuelewa unamaanisha Mungu hakuchagua kutenda miujiza kupitia Mtume wake Mudi; Yes/No?
 
M
Naeleweka kaka.Ndio maana nkasema hivi kuwa mtume sio lazima uwe ni miujiza.Nikasema pia hayo yaliyotendeka kwa mitume waliotangulia haikuwa ata miujiza bali Mungu alikuwa anaonyesha tu alivyo na mamlaka juu ya kila kitu.

Kama kuwa na miujiza ndio utume hao manabii na mitume mbona hawakuchagua waifanye wapi na lini(except Jesus ndio alikuwa anaweza kuamua kufanya jambo bila ya kuwa ameambiwa na Mungu fanya hivi.Lakini na yeye had to pray to God before he did everything and he called it faith and not miracles coz he knew only God can do miracles)
Miujiza yofmte imeonueshwa na nimeona mingi pia
 
Of course hoja ya mleta mada ni kuoneshwa japo kamuujuza kamoja tu alikotenda au kalikodhihirika kupitia au kwa uwepo wa Mudi. Naona hii hoja ni as if inakosa majibu ya maana.
Na tayar majibu yameshatolewa mkuu labda ubishi au ulitaka jibu jingine au umekuwa proggramed kukataa majibu na kuamini majibu yako ulonayo ndo bora zaidi
 
1.alioa katoto ka miaka 9
2.aligundua jua linazama kwenye matope
3.alikopi vitabu vya wayahudi na wakristo
watu wa enzi hzo walikuwa wakubwa kwer kwer, unakuta mtu mrefu zaid ya fut 12, inawezekana kalikuwa katoto kiumri ila kiumbo kalikuwa kanafaa kwa matumizi.
 
Back
Top Bottom