Alipoulizwa yeye mwenyewe, aliionesha Qur'an.Mwenzako amesema tukasome Suna na Hadithi ili tuone miujiza ya Quran kwa sababu Quran haijaandika miujiza.
Kumbe Quran kuna vitu imeacha inabidi tukafungue vitabu vingine ili kusoma!!
Huwa mnachekeshaga sana
Kitabu ambacho hata yeye mwenyewe hajawahi kukiona kinakuwaje Muujiza?Alipoulizwa yeye mwenyewe, aliionesha Qur'an.
Qur'an ni muujiza unaoishi. Siyo wa kuhadithiwa tu kama mingine yote.
Kuzaliwa kwake tu kulikuwa kwa miujiza.baba yake alifumbwa macho au kipofu mpk alipozaliwa yahane ndo akaanza kuona tenaHuu Ukristo wa mwendokasi ndio unaotuharibia kufanya imani yetu ionekane ya kikanjanja.
Miujiza si muhuri wa kumfanya mtu aonekane ndio mtumishi wa kweli wa Mungu! Miujiza Mungu huruhusu kwa sababu maalum sio matakwa ya mtumishi wake.
Sasa kwa taarifa yako, Yesu ambaye ni Mungu anatuambia HAKUNA aliye mkuu au atayekuja kuwa mkuu katika binadamu kuliko Yohane Mbatizaji! Nitajie muujiza mmoja wa Yohana mbatizaji?
Kibinadamu tunamuona Yohana Mbatizaji wa kawaida ndio maana hata kwenye list yako hujamtaja ila kwa jicho la Mungu huyo ndio mkuu kuliko wote!
Tusipende kukosoa imani za wengine tusizozifahamu vizuri. Tukomae na imani yetu maana bado tu wachanga tu!
TujiteteeMujitetee au mutetee kitabu chake? Ambacho yeye mwenyewe ameshindwa kukitetea.
Shida inakuja unafananisha Quran na Biblia. Kwenye Biblia kuna historia ya Yesu iliyoandikwa na wakina Mark na wengineo. Kinda of masimulizi.Kupitia Quran... Tuoneshe haya au mistari inayoonesha haya maneno yako kwenye kila muujiza
Usikimbie. Twende taratibu.Nilichokujibu na unachouliza inaonekana Hujui kujenga hoja bado huna maarifa hata maswali unayouliza hujui unauliza kwa lengo gani zaid ya kubishana bila hoja
Kwa hiyo Quran haina miujiza ya Mohamad?Shida inakuja unafananisha Quran na Biblia. Kwenye Biblia kuna historia ya Yesu iliyoandikwa na wakina Mark na wengineo. Kinda of masimulizi.
Quran haina masimulizi ya maisha ya Muhammad. Hata kuzaliwa kwake hakupo.
Itoshe kusema hayo aliyoyataja hayapo kwenye Quran.
Sasa Quran ikichomwa mnajitetea na nini? Kwani ni nyie mmechomwa?Tujitetee
Quran haina life story ya Muhammad.Kwa hiyo Quran haina miujiza ya Mohamad?
Nimekuuliza kuhusu Miujiza, sijauliza kuhusu life story.Quran haina life story ya Muhammad.
Tafuta vitabu vya sira.Nimekuuliza kuhusu Miujiza, sijauliza kuhusu life story.
Nikitaka kusoma miujiza ya Mohamad, inabidi nisome kutoka kwenye kitabu gani?
🚮Sasa Quran ikichomwa mnajitetea na nini? Kwani ni nyie mmechomwa?
Wachoma Quran wamewahi kuwashambulia na kuwadhuru nyie ili sasa mjitetee?
Hoja kwa hoja.... hapo ndipo mnapopwaya.[emoji706]
Kwa hiyo Quran haijitoshelezi mpaka nitafute vitabu vya Sira ili kuona miujiza ya mtume wa Alah?Tafuta vitabu vya sira.