FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Alipoulizwa yeye mwenyewe, aliionesha Qur'an.Mwenzako amesema tukasome Suna na Hadithi ili tuone miujiza ya Quran kwa sababu Quran haijaandika miujiza.
Kumbe Quran kuna vitu imeacha inabidi tukafungue vitabu vingine ili kusoma!!
Huwa mnachekeshaga sana
Qur'an ni muujiza unaoishi. Siyo wa kuhadithiwa tu kama mingine yote.