Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Na hata kama hana atatumia mbinu yeyote tu hata kutoa mbunye ili atimiziwe hitaji hilo.
Mwanamke anafanya shopping pale atakapoona kitu kunachomvutia cha muhimu ni yeye kuwa na hela tu. Tofauti na wanaume hata kama ni viatu ni lazima uweke bajeti ya shopping.