Ufafanuzi: Nafuu ya kodi unapoagiza/kununua gari za Afrika Kusini

Nitaomba nikutafuta nikuombe mawazo kwenye hilo jambo
 
Nitaomba nikutafuta nikuombe mawazo kwenye hilo jambo
Nimefungua Kampuni ya utalii Arusha muda mwingi ntakua Arusha, Tanzania mwezi wa December ntakuwepo free hapo karibu kwa lolote magari nayafahamu maana mengine tunatengeneza kuanzia kuunga Chassis na likija Tanzania utakataa maana SA kila bati sijui fender na takataka zingine zipo madukani ni vitu vipya havibondwi kunyoosha...
 
Nirushie namba inbox tuyajenge kaka
 
Isanga family msamaha wa Kodi ni kiasi gani kwa magari mapya toka SA?
Kipindi cha nyuma ilikua VAT 50% off miaka ya nyuma sema sijafatilia hivi karibuni ingawaje pana dogo alinunua hapo hapo Toyota alidai haikua na VAT % kabisa ingawaje sijafatilia kuhusu hilo maana ukinunua SA ukiendesha mpaka hapo naona Zakayo anaweza akagoma kuwa sio jipya nikamshauri aagize hapo hapo Toyota...
 
Mleta uzi ana uzoefu kutoka kwenye Story za Vijiwe vya kahawa🤣
 
Website gani naweza browse kupata hizo used cars for SA?
Angalia tuu zipo nyingi ila Wasenegal wameingilia kati mifumo ya malipo imekua risk nina documents karibu mbili vijana walinunua tractor kwa kuwalipa hao jamaa nimeenda Interpol wapi Polisi wanasema tukio limefanyika Tanzania sio SA maana crime imefanyika mlipaji akiwa Tanzania na jamaa hao wezi wanaendelea kutangaza matrekta yao...SA ukienda trip moja ukapata taarifa za bank kutoka kwao zingine zote unaweza usiende au mtu alieko SA anauliza switf code za hiyo kampuni na akaunti yao basi...mimi huwa sipendi kurusha hizo site maana zimeingiliwa na wahuni wengi...
 
Point Mkuu. Ford Ranger nimeitumia South miaka 2 kufika Tunduma Kodi 32m
 
Tunachopaswa kuelewa
1. Je tofauti ya bei ya gari used japan na S.A zinarange kiasi gani (FOB)
2. Usafiri inakuwaje hadi linafika tunduma
3. Risk yake ipoje
4. Forodha na vibari vya interpol gharama zake zipoje

Hii yote tunafanya ili tulinganishe unafuu wa kuagiza S.A vs Japan
Mfano kwa sasa usafiri kutoka japan kuja huku upo juu sana je ukiagiza hilo gari utasave kiasi gani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…