Ufafanuzi: Nafuu ya kodi unapoagiza/kununua gari za Afrika Kusini

South Africa unafuu unakuja endapo gari ilizalishwa palepale. S.A ni member mwenzetu kwenye jumuiya ya SADC na kwenye hii jumuiya kuna makubaliano kwa ajili ya kukuza biashara kati ya nchi wanachama ambapo kodi ya bidhaa wanazozalisha wanachama hazitozi bei kubwa ili kupunguza importation ya nje.

Kwenye TRA used vehicle calculator baadhi ya gari za South Africa zimewekwa kama Fortuner na Ford Ranger. Ili upate unafuu wa kodi lazima ukienda TRA uambatanishe na certificate of origin au wao wakijua ilipozalishwa lazima kodi iwe tofauti na za Japan
 
Soma makubaliano ya SADC kwenye certificate of origin. Unafuu wa kodi uko kwa kitu ambacho ni brand new tu sio used.
 
Asante sana
 
Usiache kuwaeleza kuwa hizo gari za kutoka Riyaadh ni lefthand
Naomba ufafanuzi chief....ina maana hizo gari zina punguzo la ushuru kutokana na kua ni left handed au ni sababu zinatoka Riyadh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…