Still tryna find answers from people such as yourself here...Is the government / tax payers of Tanzania paying Peter Greenberg?
..how was the conclusion that tourist numbers in Peru, Mexico, and Jamaica, increased by 10% after filming Royal Tour arrived at?
..do you know the organization that did the study and its credibility?
Mimi si hasidi wala mpiga nduru wa Rais Samia, Babluu. Natamani kuona Tanzania tukipiga hatua, na kila hatua tunayojaribu kupiga napenda iwe sahihi yenye manufaa kwetu sote. Kwa taarifa uliyokusanya wewe binafsi kuhusu The Royal Tour, unadhani ni vipi Rais Samia atafanikiwa kukuza utalii kwenye nchi hii tajiri kwa vivutio vya asili?Binafsi napenda MHESHIMIWA RAIS SSH anavyofanya hivyo Kwanza anaitangaza nchi nje ya Tanzania, siongei kisiasa naeleza kiuhalisia. Wazungu husema NO MAN IS AN ISLAND. Hatuwezi kujitenga na Dunia miaka kumi na Tano ilopita Kuna mtu alikuwa Uholanzi kule hawajui hata nchi inayoitwa Tanzania. Tumpe muda Kiongozi wetu ili afanye KAZI.
Still tryna find answers from stakeholders such as yourself here.
10% increase in Peru, Mexico, and Jamaica mighta been claims of same governments - who knows? Too difficult to verify ‘cause numbers may have been cooked.
I’m neither on Peter’s nor our own government’s side. Just wanna know what’s what on this matter.
Just meant to provide little enlightenment that build a fire under in-depth discussion on the issue at hand
Sure. Nadhani bado tuna wasaa wa kuamua kwamba tunakubaliana ama la. Muda utaongea...lets hope for the best.
..tatizo liko ktk nchi ambako watalii wanatokea.
..covid imewaathiri sana kiuchumi na kimapato ni vigumu kwao kupanga safari ndefu kuja Afrika.
..lets hope for the best.
..tatizo liko ktk nchi ambako watalii wanatokea.
..covid imewaathiri sana kiuchumi na kimapato ni vigumu kwao kupanga safari ndefu kuja Afrika.
Give it time..... it is just a year since ascending the presidencyPamoja na ufafanuzi huo, bado kuna walakini mkubwa sana juu ya hicho mnachoita utalii wa kifalme, kwa kawaida huyo muandaaji wake lazima atakuwa na historia ya eneo na mlengwa au muhusika kulingana na tukio.
Hapa kwetu bimkubwa ndo hata mwaka hana kwenye cheo leo ghafla anatakiwa kufanya shooting kwa kigezo gani?
Marais waliofanya production huko nyuma tunaona hakuna aliyekaa madarakani kwa mwaka ni zaidi ya miaka ndiyo walifanyiwa coverage, hapa kwetu kuna nini huko?
Mimi binafsi nawaza anayeendesha hii nchi kwa upande wa pili huyo ndiye anaweza kuwa Royal Tour kwa kutengeneza deals akiwa ni mmoja wa ten per, although sisi nchi yetu inajitangaza yenyewe bila nguvu.
Kama jana nimeulizwa na mwafrika mwezangu kutoka Namibia; nyie (watanzania) mna mlima gani mrefu kuliko ule wa Kenya? Wakimaanisha Kilimanjaro!
Hapo ndipo naona kuna tatizo kwa hiyo VIP Tour na something hiden!
Here we are talking about the RT issue and silence deals that we cannot see with our real eyes.Give it time..... it is just a year since ascending the presidency
Here we are talking about the RT issue and silence deals that we cannot see with our real eyes.
Nyuki kayeyuka sijui tutavunaje asali.
Ni Nani huyo mkuu.Polepole mnaanza kumjua Big Boss wa Tanzania anaye command kila kitu, umafia wote unapitia hapo!
Hoja zimeisha mkuu; wametukana, wameponda, wamesingizia na kuzusha kwa kila namna lakini mama anasonga tu....kivyake. Kutokea kwa hoja-viroja km hiv ni ishara ya kuchanganyikiwa kwao; yaani chuki na dua mbaya vinawarudia watoaji badala ya mlengwa baada ya kupanguliwa na Muumba!Sasa hoja yako ya msingi ni ipi hapa. Unabeza kilichofanyika au unakosoa. Tengeneza mada inayoweza kueleweka na watu wakachangia maoni