Ufafanuzi wa Diamond kuhusu kilichotokea jana uwanja wa ndege Mwanza

Ufafanuzi wa Diamond kuhusu kilichotokea jana uwanja wa ndege Mwanza

Madimba jr

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2017
Posts
1,577
Reaction score
3,146
Jana kulizuka sintofahamu kutokana na Clip iliyomuonyesha afisa wa uwanja wa ndege mwanza kuwazuia Diamond na crew yake kuingia uwanjani hapo kwa madai kuwa wamechelewa na tiketi zao kuuzwa,clip hiyo ilirekodiwa na Mond mwenyewe huku sauti yake ikiskika kutoa maneno yaliyochukuliwa kama.ni tuhuma kwa ATCL,kufuatia sakata hilo wadau walitoa maoni yao huku baadhi wakisema Mond yuko sahihi huku wengine wakisema kakosea....huu hapa ufafanuzi rasmi wa Msanii huyo
1545051070679.jpg
 
Lack of education , lack of integrity . Diamond Platnum has to be more prudent concerning mambo ya serikali, I have been watching lately , amekua akijifanya mdomo mdomo simply because of his tittle . He has to watch out , he is too young n soft to battle with Jmagufuli

Even though he has encountered such problem at the airport , he was supposed to send the complaints kwa wahusika by writing emails , wangempuuza ndo angekua na haki ya kuongea in public , hyo management yake fucken stupid .
 
Lack of education , lack of integrity . Diamond Platnum has to be more prudent concerning mambo ya serikali, I have been watching lately , amekua akijifanya mdomo mdomo simply because of his tittle . He has to watch out , he is too young n soft to battle with Jmagufuli

Even though he has encountered such problem at the airport , he was supposed to send the complaints kwa wahusika by writing emails , wangempuuza ndo angekua na haki ya kuongea in public , hyo management yake fucken stupid .

In the country where the level of smartness and civilization among public workers is “less”, you don’t have to be too nice and soft....use another alternative to make things move. What he did is massive and changes will come in this company....kama umewahi kutumia Airports za bongo na kuona wanavyofanya kazi compared na nchi zingine it’s obvious these guys are less serious
 
Lack of education , lack of integrity . Diamond Platnum has to be more prudent concerning mambo ya serikali, I have been watching lately , amekua akijifanya mdomo mdomo simply because of his tittle . He has to watch out , he is too young n soft to battle with Jmagufuli

Even though he has encountered such problem at the airport , he was supposed to send the complaints kwa wahusika by writing emails , wangempuuza ndo angekua na haki ya kuongea in public , hyo management yake fucken stupid .
Utaolewa mjini hapa
 
Afrika hakuna changes za maana zitakazotokea,fastjet imedondoka watu wanachekelea bila kufahamu madhara yake makubwa,upigaji wa tiketi utakua kiwango cha juu. All in all dai alikosea,kwenye ukweli aambiwe
In the country where the level of smartness and civilization among public workers is “less”, you don’t have to be too nice and soft....use another alternative to make things move. What he did is massive and changes will come in this company....kama umewahi kutumia Airports za bongo na kuona wanavyofanya kazi compared na nchi zingine it’s obvious these guys are less serious
 
Lack of education , lack of integrity . Diamond Platnum has to be more prudent concerning mambo ya serikali, I have been watching lately , amekua akijifanya mdomo mdomo simply because of his tittle . He has to watch out , he is too young n soft to battle with Jmagufuli

Even though he has encountered such problem at the airport , he was supposed to send the complaints kwa wahusika by writing emails , wangempuuza ndo angekua na haki ya kuongea in public , hyo management yake fucken stupid .

Hata Magufuli anakuona mpumbavu kwa uharo kama huu. Jinga jinga.
 
Air Tanzania nahisi kweli wamekosea, maanake walisema saa 7 mchana wangelitolea ufafanuzi, lkn mpaka sasa hivi saa 10 hamna statement yoyote iliyotolewa. Hapo ndio utajua taasisi nyingi za serikali, upande wa customer share wapo shallow, hii ulaya mteja akienda mahakamani, shirika linakulipa hela ndefu.
 
Kijana sikio linataka kuzidi kichwa. Nimesoma hiyo article yake anahaki ya kulalamika ila nafikiri angeenda mbali kwa kufikiri zaidi namna gani au utaratibu unaofaa, isipokuwa yeye amefanya personal attack"... next time itaweza kusababisha vurugu... watch out mdogo wangu
 
Sifa zikizidi mambo yanaharibika. Sababu alizotoa hazina mashiko. Wahusika wametoa tamko lao.

Dai ajiweke kistaa zaidi na busara badala jazba,jeuri etc. Mlezi wa WCB utawala wake unaishia dar tu
Mwanaume si mond tu ata kingwendu waweza mpata
 
Tamko wameshatoa,na kusema mond alichelewa
Air Tanzania nahisi kweli wamekosea, maanake walisema saa 7 mchana wangelitolea ufafanuzi, lkn mpaka sasa hivi saa 10 hamna statement yoyote iliyotolewa. Hapo ndio utajua taasisi nyingi za serikali, upande wa customer share wapo shallow, hii ulaya mteja akienda mahakamani, shirika linakulipa hela ndefu.
 
Back
Top Bottom