Ufafanuzi wa Diamond kuhusu kilichotokea jana uwanja wa ndege Mwanza

Ufafanuzi wa Diamond kuhusu kilichotokea jana uwanja wa ndege Mwanza

Sababu umeshaitaja hapo juu si ya bi mkubwa na umeme wa tanesco ee. Mond ana hela juzi tu kadisplay mabunda(mkaanza mlinganisha na bondia tajiri) si angekodi chopa kuondoa usumbufu jamani

Meneja hawajatimiza wajibu wao la sivyo jamaa asingelia lia mitandaoni
Hivi wewe na Mange mlichukuliana bwana na Domo?
 
Hata maelezo ya dai yamejichanganya mara tiketi wanazo, mara kuna watu wameuziwa wakiwepo wasafi (hapa wana tiketi halafu wakaenda kununua nyingine aiseee)mara kuna nafasi za watu wawili. Soma hapo kwa dai utaelewa tatizo alizoea watu kumpa nafuu kisa ustaa. Staa mkubwa hakumbwi na kadhia hii,hio kazi ya mameneja anao zunguka nao kila kona. Kuna tatizo kwenye menejimenti ya dai.

All in all hii sio sakata la kwanza kwa wasafi hata harmo ilishamtokea hii sema ikapotezewa(hakurekodi),alichelewa mwenyewe
Taasisi zetu hazina ufanisi kwenye kazi zao sijui nini tatizo
 
Kwani unateseka?
Sababu umeshaitaja hapo juu si ya bi mkubwa na umeme wa tanesco ee. Mond ana hela juzi tu kadisplay mabunda(mkaanza mlinganisha na bondia tajiri) si angekodi chopa kuondoa usumbufu jamani

Meneja hawajatimiza wajibu wao la sivyo jamaa asingelia lia mitandaoni
 
Kijana sikio linataka kuzidi kichwa. Nimesoma hiyo article yake anahaki ya kulalamika ila nafikiri angeenda mbali kwa kufikiri zaidi namna gani au utaratibu unaofaa, isipokuwa yeye amefanya personal attack"... next time itaweza kusababisha vurugu... watch out mdogo wangu
we ndo mpuuzi sana,unajua alikua na crew ya watu wangapi? unajua gharama ya kuwalaza hotel na chakula? unajua ameharibiwa ratiba yake kiasi gani? ndio maana kaandika na kusisitoliza "akiwa na akili timamu" this dude ana exposure ya mambo ya ndege kuliko wewe na ukoo wako wote ye sio.mjinga mpk areact kias kile coz anajua jinsi gan angeingia hasara kwa kusitishiwa ratiba yake ya safari....WTF you boy talking....!!!
 
Maelezo ya Diamond yapo straight forward na kayapangilia katika mtiririko, labda kama wewe hutaki kuelewa huwezi sema Diamond kachelewa na dirisha limefungwa, alafu baadaye Kuna staff anamfuata Diamond anamwambia Kuna nafasi mbili, sasa hapo Diamond kachelewa wapi? Sawa dirisha limefungwa hizo tickets kama angenunua wange ziprocess vipi.
Achana nae huyo atakupotezea muda na nguvu,she is a piece of garbage...
 
Mshambuliaji Mbwana Samatta na klabu yake ya Genk wapangwa na Slavia Prague wakati Arsenal akipewa BATE Borisov na Chelsea ikitupwa kwa Malmo katika hatua ya 32 bora ya Europa Ligi.

Samatta aliiongoza Genk kumaliza wakiwa vinara wa kundi lake hivyo mechi hiyo ya mtoano wataanzia ugenini kati ya Februari 14-21, 2019.

Katika msimu huu Samatta amecheza mechi 23 za mashindano yote na kufunga mabao 15, kati hayo magoli matatu amefunga katika Europa Ligi.
Kwani unateseka?
 
Arsenal watakuwa wageni wa BATE Borisov kama itakavyokuwa kwa Chelsea wakuwa Sweden kuivaa Malmo.

Celtic inakibarua kizito zaidi baada ya kupagwa na Valencia ambayo imetolewa katika Ligi ya Mabingwa na Manchester United.

Mechi nyingine za kuvutia katika ratiba hiyo ya Februari mwakani ni Lazio ya Italia itakapowavaa mabingwa mara tano Sevilla.
Achana nae huyo atakupotezea muda na nguvu,she is a piece of garbage...
 
Galatasaray itawakaribisha Benfica wakati Inter Milan itakuwa na kibarua na Rapid Vienna, huku Napoli itaonyeshana kazi na Zurich.
we ndo mpuuzi sana,unajua alikua na crew ya watu wangapi? unajua gharama ya kuwalaza hotel na chakula? unajua ameharibiwa ratiba yake kiasi gani? ndio maana kaandika na kusisitoliza "akiwa na akili timamu" this dude ana exposure ya mambo ya ndege kuliko wewe na ukoo wako wote ye sio.mjinga mpk areact kias kile coz anajua jinsi gan angeingia hasara kwa kusitishiwa ratiba yake ya safari....WTF you boy talking....!!!
 
RATIBA KAMILI

Slavia Prague vs Genk

BATE Borisov vs Arsenal

Malmo vs Chelsea

Viktoria Plzen vs Dinamo Zagreb

Brugge vs Salzburg

Rapid Vienna vs Inter Milan

Krasnodar vs Bayer Leverkusen

Zurich vs Napoli

Shakhtar Donetsk vs Eintracht Frankfurt

Celtic vs Valencia

Rennes vs Real Betis

Olympiacos vs Dinamo Kiev

Lazio vs Sevilla

Fenerbahce vs Zenit St Petersburg

Sporting Lisbon vs Villarreal

Galatasaray vs Benfica
Wewe mdadangaji wa jf panda ndege kwanza ndio uje kuchonga mdomo wako mchafu kama mnduku wako.
 
Lack of education , lack of integrity . Diamond Platnum has to be more prudent concerning mambo ya serikali, I have been watching lately , amekua akijifanya mdomo mdomo simply because of his tittle . He has to watch out , he is too young n soft to battle with Jmagufuli

Even though he has encountered such problem at the airport , he was supposed to send the complaints kwa wahusika by writing emails , wangempuuza ndo angekua na haki ya kuongea in public , hyo management yake fucken stupid .
Kwani Diamond hana private jet?
 
In the country where the level of smartness and civilization among public workers is “less”, you don’t have to be too nice and soft....use another alternative to make things move. What he did is massive and changes will come in this company....kama umewahi kutumia Airports za bongo na kuona wanavyofanya kazi compared na nchi zingine it’s obvious these guys are less serious

He should address the issue kwa wahusika, kuja kwenye mitandao and start public shaming kampuni kubwa na changa kama ile , it's an insult kwa government, before opening his dirty mouth , inatakiwa aangalie who is he and the impact he has on society .

Do you know kwa kiasi gan amechafua image ya kampuni? , mi nataka tu aseme sehemu kuwa alishatuma complaints but wakampuuza ndo akaamua ku publicize his complaints .


No matter how much you have , if you are intellectually dumb , I rate you 0%, diamond is one of those stupid ass nigga , he is trying to battle with government while his emotionally intelligence is fucked up

Aangalie wenzie akina joh makin hoja zao wanavyojielezea, akina fid Q to mention the few . Sio yeye akili hana
 
Back
Top Bottom