Ufahamu kuhusu nyota za angani

Ufahamu kuhusu nyota za angani

Huku ukimsubiri labda nieleze Chombo kikaribia kwenye anga za chini kwa vile kinakutana gravity na air resistance basi kinachemka sana kuna mawe special wanayaweka ndani ya hicho chombo ambapo yana heat na kuwa kama mekundu but apo apo unaweza kulishika na lisikuunguze

shemkunde
Mkuu Bonesmen amekujibu vizuri sana. Zamani walikuwa wanatumia shuttle ambayo pia ilikuwa inatumia haya mawe (tiles).
 
nakumbumbuka nlisomaga haya mambo olevel,..
majibu ya swali lako la2,..sijaelewa
hivi tunavutwa na hiyo kani sijui kuelekea centre ya dunia minaona kama fix/kamba,.
mbona ndege zinaruka angani lakini haziendi moja kwa moja kwenye space inayoonekana pembeni ya dunia
alaf huwa kama bonde/shimo kubwaaaa sana mbna ndege huwa hazipotei,...

Ndege inaelea angani kutokana na maumbile ya mabawa yake (aerodynamics) na kasi yake. Ndege nyingi zikipoteza huu uwezo zinadondoka. Ili ndege iweze kuchoropoka kwenye mvuto wa dunia lazima iende juu kwa kasi ya ile escape-velocity niliyoielezea awali.
 
Ndege inaelea angani kutokana na maumbile ya mabawa yake (aerodynamics) na kasi yake. Ndege nyingi zikipoteza huu uwezo zinadondoka. Ili ndege iweze kuchoropoka kwenye mvuto wa dunia lazima iende juu kwa kasi ya ile escape-velocity niliyoielezea awali.
ohh mkuu,..
sawa swali lingine,..
lile/ile space ya pembeni ya dunia imeenda mpaka wapi hivi???
huwa nawaza sana hili
 
kwahiyo sisi tupo ndani ya nyota dunia??????
hapa sayansi imeongopa
mbna jua lipo mbali kabisa mkuuuuuuu
Jua ni nyota yetu na ndio chanzo cha energy katika sayari jua halipo mbali na sisi ivo ndo mana unaona mwangaza wake na miale yake katika hilo jua kuna sayari tisa ikiwemo dunia Jua muda wote linawaka
 
Iv kwann waliokoo kwenye ISS hawahisi ile spidi kbs kwa mfano ISS inatembea 7km/sec lakn sidhan kama wanahis io spid
 
kwahiyo sisi tupo ndani ya nyota dunia??????
hapa sayansi imeongopa
mbna jua lipo mbali kabisa mkuuuuuuu
uploadfromtaptalk1453585302560.jpg

Tazama hii sketch apa hizo ni sayari ambazo kila moja ina mzunguko wake binafsi na kila moja inazunguka jua kwa muda wake tofauti, Mchana na usiku ni matokeo ya dunia kuzunguka katika muhimili wake na mwaka ni dunia kuzunguka jua
 
View attachment 318903Tazama hii sketch apa hizo ni sayari ambazo kila moja ina mzunguko wake binafsi na kila moja inazunguka jua kwa muda wake tofauti, Mchana na usiku ni matokeo ya dunia kuzunguka katika muhimili wake na mwaka ni dunia kuzunguka jua
sasa mkuu ok,..
nisaidie nahili
hivi hiyo inayobaki(dark place)imeenda mpaka wapi?????//
 
Back
Top Bottom