Huku ukimsubiri labda nieleze Chombo kikaribia kwenye anga za chini kwa vile kinakutana gravity na air resistance basi kinachemka sana kuna mawe special wanayaweka ndani ya hicho chombo ambapo yana heat na kuwa kama mekundu but apo apo unaweza kulishika na lisikuunguze
shemkunde
Mkuu Bonesmen amekujibu vizuri sana. Zamani walikuwa wanatumia shuttle ambayo pia ilikuwa inatumia haya mawe (tiles).