thesym
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 3,843
- 4,796
Wapi nilipopingana na maandiko. Usichanganye mambo ya imani na sayansi.Theism unapingana na maandiko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi nilipopingana na maandiko. Usichanganye mambo ya imani na sayansi.Theism unapingana na maandiko
Kimaandiko inajulikana kuwa jua ndilo linalozunguka dunia.Wapi nilipopingana na maandiko. Usichanganye mambo ya imani na sayansi.
Acha kuchanganya dini na sayansi. Halafu ndo unasema mungu hayupo.Kimaandiko inajulikana kuwa jua ndilo linalozunguka dunia.
Hah ha ha ha mimi nimeshangaa unavyosemaga yupo wakati hapa naona ukimpinga kwa sayansi [emoji12]Acha kuchanganya dini na sayansi. Halafu ndo unasema mungu hayupo.
Wakina newton, releigh walikuwa wanasayansi wakubwa na waliamini mungu yupo nakushungaa ww unajipa upofu wa kudai mungu hayupo. Unajua Charles Darwin aliamini mungu pamoja na uwongo wake ambao nyinyi mmeujalili Kama chanzo cha maisha.Hah ha ha ha mimi nimeshangaa unavyosemaga yupo wakati hapa naona ukimpinga kwa sayansi [emoji12]
Kwani kuamini kwake kunanihusuje mimi?Wakina newton, releigh walikuwa wanasayansi wakubwa na waliamini mungu yupo nakushungaa ww unajipa upofu wa kudai mungu hayupo. Unajua Charles Darwin aliamini mungu pamoja na uwongo wake ambao nyinyi mmeujalili Kama chanzo cha maisha.
Mi nimekumpa mfano kukuonyesha tu kwamba huwezi kuja na conclusion ya kusema mungu hayupo kisa tu maswala ya sayansi. Usichanganye dini na sayansi. Kuna vitu vingi bado havifahamiki.Kwani kuamini kwake kunanihusuje mimi?
Kuamini tu! Waweza kuamini hata kikombe ni mungu wako.
sasa si ufanye utafiti na kutafuta hivo vitu vinavyotumika kupima mwendokasi wa mwanga ili usiendelee na wewe kuwalilisha wanafunzi wako mwalimu vp?duuu?... haya mambo mazito, mwenzenu shule niliyosoma haikuwa na kifaa chochote cha kupima umbali wa jua,nyota wala kasi ya mwanga kusafiri, zaidizaidi niliyasoma tu kwenye abort na lumbert, na hata mwalimu wangu alisema yeye mwenyewe hajawahi kujihakikishia kuhusu hizi takwimu kama ni za kweli ila nae aliambiwa vivyohivyo na mwalimu wake... hata mimi sasa ni mwalimu na ninafundisha hivohivo nilivyoambiwa
sayari na nyota kipi kikubwa??Baadhi ya nyota unazoziona si zote ni nyota zingine ni sayari,ukiamka alfajiri sana kuanzia saa 10 hadi saa 12,kuna nyota huwa zinang'aa sana na kubwa mno kuliko zingine zote,huwa hazizidi mbili,zile ni sayari,hata dunia tuliyomo nayo ni sayari,maajabu ni kwamba ukienda kwenye
kweli au masihara?????Mwanga mwingne tunaouona ni wa nyota iliokufa miaka mingi iliyopita so tunachokiona sio nyota bali ni mwanga wake ulikua ukisafiri ndio umefika sasa hivi.
kasi yav kwenda wapi????na satellites (ambazo zina kasi kama ya ndege au zaidi)
kasi yav kwenda wapi????
kwani sattellite zinamove sio kwamba zimestick sehem1????
eb ndadavulie apa,..
KLF
sayari na nyota kipi kikubwa??
Darasa zuri sana,napenda kujua kuwa kuna uwezekano wa dunia siku moja ikavamiwa na jua na kuangamia?
Eti muheshimiwa hii umbali kutoka galaxy,spidi ya mwanga ndani ya sekunde moja vinapimwaje?Mkuu najipa uhuru wa kuwaelekeza wanaotaka kujua hili dubwana liitwalo UY-Scuti kwenye constellation ya Scutum. I hope you don't mind.
UY Scuti - Wikipedia, the free encyclopedia