mpingauonevu
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 621
- 433
hili somo kali sana afadhali limenipumguzia hasira ya bunge lakatiba! mkuu hii elimu inanifumbua sana macho na kunipa mwanga zaidi tafadhali usinichoke!
1. nini kinafanya tuone mwezi mchanga, nusu na mwezi mzima
2. mgawanyo wa siku katika miezi ulizingatia nini (naongelea mwenye kalenda) na hapa naangalia dhana ya kiswahili kutumia neno mwezi na kwa nini wazungu hawaiti moon bali month!
3. kwamba mwezi kwa nini hauitwi nyota na je kuna miezi mingine ambayo sisi hatuioni?
pamona mkuu
1. nini kinafanya tuone mwezi mchanga, nusu na mwezi mzima
2. mgawanyo wa siku katika miezi ulizingatia nini (naongelea mwenye kalenda) na hapa naangalia dhana ya kiswahili kutumia neno mwezi na kwa nini wazungu hawaiti moon bali month!
3. kwamba mwezi kwa nini hauitwi nyota na je kuna miezi mingine ambayo sisi hatuioni?
pamona mkuu