Huku ukimsubiri labda nieleze Chombo kikaribia kwenye anga za chini kwa vile kinakutana gravity na air resistance basi kinachemka sana kuna mawe special wanayaweka ndani ya hicho chombo ambapo yana heat na kuwa kama mekundu but apo apo unaweza kulishika na lisikuunguze
nakumbumbuka nlisomaga haya mambo olevel,..
majibu ya swali lako la2,..sijaelewa
hivi tunavutwa na hiyo kani sijui kuelekea centre ya dunia minaona kama fix/kamba,.
mbona ndege zinaruka angani lakini haziendi moja kwa moja kwenye space inayoonekana pembeni ya dunia
alaf huwa kama bonde/shimo kubwaaaa sana mbna ndege huwa hazipotei,...
ohh mkuu,..Ndege inaelea angani kutokana na maumbile ya mabawa yake (aerodynamics) na kasi yake. Ndege nyingi zikipoteza huu uwezo zinadondoka. Ili ndege iweze kuchoropoka kwenye mvuto wa dunia lazima iende juu kwa kasi ya ile escape-velocity niliyoielezea awali.
Naomba ulirudie swali kwa ufasaha kidogo. Sijakupata.ohh mkuu,..
sawa swali lingine,..
lile/ile space ya pembeni ya dunia imeenda mpaka wapi hivi???
huwa nawaza sana hili
Jua ni nyota yetu na ndio chanzo cha energy katika sayari jua halipo mbali na sisi ivo ndo mana unaona mwangaza wake na miale yake katika hilo jua kuna sayari tisa ikiwemo dunia Jua muda wote linawakakwahiyo sisi tupo ndani ya nyota dunia??????
hapa sayansi imeongopa
mbna jua lipo mbali kabisa mkuuuuuuu
kwahiyo sisi tupo ndani ya nyota dunia??????
hapa sayansi imeongopa
mbna jua lipo mbali kabisa mkuuuuuuu
Nafikiri kwa vile speed ni constant yani ile kubadili speed high to low ndio itakupelekea kugundua uko katika motion lakini ikiwa constant huwezi kunotice labda Ndugu Kifyatu aje afafanue zaidiIv kwann waliokoo kwenye ISS hawahisi ile spidi kbs kwa mfano ISS inatembea 7km/sec lakn sidhan kama wanahis io spid
Nafikiri kwa vile speed ni constant yani ile kubadili speed high to low ndio itakupelekea kugundua uko katika motion lakini ikiwa constant huwezi kunotice labda Ndugu Kifyatu aje afafanue zaidi
sasa mkuu ok,..View attachment 318903Tazama hii sketch apa hizo ni sayari ambazo kila moja ina mzunguko wake binafsi na kila moja inazunguka jua kwa muda wake tofauti, Mchana na usiku ni matokeo ya dunia kuzunguka katika muhimili wake na mwaka ni dunia kuzunguka jua
hiyo space inayobaki(black space hiyo imeenda mpaka wapi????? ulirudie swali kwa ufasaha kidogo. Sijakupata.
hiyo space iliyobaki(dark place)imeendaa mpaka wapi????Tazama hii sketch apa hizo ni sayari ambazo kila moja
hiyo space iliyobaki(dark place)imeendaa mpaka wapi????
kwa hiyo jua,..halipo moja????Hiyo space inaendelea tu na giza lake mpaka itakapokuta jua lingine la karibu kama Alpha Centauri, halafu space inaendelea kuunganika na nyota pamoja na galaxies zote zilizopo kwenye UNIVERSE.
yapo mengine huko mbele????Hiyo space inaendelea tu na giza lake mpaka itakapokuta jua lingine la karibu kama Alpha Centauri, halafu space inaendelea kuunganika na nyota pamoja na galaxies zote zilizopo kwenye UNIVERSE.
Hahahah killednyota ni ndogo sana kuliko dunia, ni kama mwezi. zinategemea mwanga wa jua. na nyota ulizoona zinazobadilika kutoka rangi kutokea ya blue kwenda ya kijani ni kutokana na kuzibwa na miti na bahari .na ukiona nyekundu ujue hapo kuna radi na mvua inanyesha.
Kila nyota uionayo angani ni jua. Jua letu ni nyota ndogo sana kwenye hii universe yetu.yapo mengine huko mbele????