Ufahamu kuhusu nyota za angani

Maelezo mazuri!....Naonba utufafanulie hapa ya kuwa ni kitu gani kingine utafiti wa kisaysnsi umebaini kuwa huenda kikaangamiza dunia?.Kuna Sayari mojawapo siikumbuki nilisoma mahali kuwa inapigwa sana na vimondo je kwa nature ya mifumo ya sayari hili haliwezi kutokea kwa Dunia yetu?
Cc kifyatu!
 
Samahani kifyatu Uzi ni wa zamani sijui kama bado unaupitia mkuu!,Mimi nauliza tu ikiwa mwezi wetu wa hii dunia kama utapigwa na dhoruba ya vimondo na kuwa kama vumbi vumbi linaloizunguka hii dunia,Ni yapi yatakuwa mabadiliko ya matokeo hayo hapa duniani?
 
Daaa aiseee tunakosa maarifa kwa sababu ya wajinga wachache.
Wapenda anga tuandamane mpaka aje πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Mwenyewe alisema aliishia pale wengine waendeleze, ila tuseme ukweli alijitahidi mno , hakosi comment zaidi ya mia kwenye uzi huu na zote zimeshiba haswa, hata ingekuwa ni mimi ningeishia pale.
 
Mwenyewe alisema aliishia pale wengine waendeleze, ila tuseme ukweli alijitahidi mno , hakosi comment zaidi ya mia kwenye uzi huu na zote zimeshiba haswa, hata ingekuwa ni mimi ningeishia pale.
Ngoja nizipitie maana mimi nimesoma mwanzo nikarukia page ya mwisho.
Ahsante sanaaa kwa kujali kwako mkuu.
 
Ngoja nizipitie maana mimi nimesoma mwanzo nikarukia page ya mwisho.
Ahsante sanaaa kwa kujali kwako mkuu.
Mhh, mbona upo kwenye uzi huu toka 2019 huko, upitie my dear, ni uzi ambao ukisoma hauta hauta baki kama ukivyokuwa kabla, ume jaa makubwa mno .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…