Biblia imeandikwa kwa mapenzi ya watu ambao walitaka kusikia wanachokipenda, na kuona wanachokipenda.
Kabla ya kuundwa kwa biblia kulikuwako na nakala nyingi za stories mbalimbali ambazo zilielezea maisha ya watu kabla, na baada ya vizazi vilivyopita.
Baada ya kuibuka kwa hizi tawala za vizazi vya kihuni yaani kuanzia 2000 iliyopota mpaka sasa hasa hawa wazungu, walileta uhuni wa kutaka kuutawala ulimwengu mzima, huku TOOL nambari moja ya kutawala ikiwa Dini, pia tool nyingine ni Elimu, sasa katka Dini walitumia imani na mafundisho ya jamii zilizoishi ktk DOLA na Falme Kongwe duniani KutoKa Afrika,
Na stories hizi walizikusanya na kuunda kitabu kimoja ambacho walikiandika na kutunga stories kama wapendavyo wao, huku wakibadiri ramani za matukio, wahusika wa hizo stories bila kusahau majina ya wahusika, mahala pa matukio.
KItendo hiki kitafsiriwe kama uhujumu na ujambazi wa UTU wa mtu kuubadili na kuutumia kwa maslahi ya kishenzi.
Uongozi wa Rumi na baadae hao wakatolic ndio hawa walioleta version za hii biblia ambayo imejawa matukio mengi ya uongo, kuanzia kitabu cha mwanzo mpaka Ufuno ni stories zilizobadilishwa matukio, hivyo basi hakuna hata tukio moja litakalotokea.
Mtasubiri sana, mtangoja sana, hakuna litakalotokea, mjue kuwa si ninyi wa kwanza kujaribu kuelewa hayo matukio yaliyoelezewa na biblia, vizazi na vizazi walijaribu wengine kubashiri matukio ya dunia wakifananisha na biblia lkn hakuna hata moja lililotimia na hakuna litakalotimia,
Wapo wanaomsubiri Yesu kupitia hilo taifa la israel ya uongo hapo middle east, nao wajue wanapoteza muda, yesu hatorudi, mtasubiri sana, mmetega masikio na macho sehemu zisizo sahihi hivyo tegemeeni kusikia makelele tupu.
Ukisoma maandiko Original kabisa ambayo wazungu waliyabadiri na kuunda hizo biblia, yalitabiri mambo ambayo yalitokea na yanaendelea kutokea kama vile👇
👉 Kuwekwa utumwani kwa watu weusi, uzao wa watu weusi kusambaa dunia nzima, kutawaliwa kwa watu weusi kiroho more than 400years(stori waliyoCopy na kuunda story ya waisrael utumwan misri),
👉Ujio wa Mkombozi wa Pili kwa watu weusi atakayerudisha maarifa, elimu na historia ya watu weusi iliyoibwa&kubadirishwa,
👉Kutokea Vuguvugu la waafrika kuanza kuamka na kuzikana imani&dini zilizotumika kuwashikilia, kugawanywa kwa Ardhi ya Afrika kwa watu weupe,
👉Anguko la Falme kubwa zilizowai kuwepo Afrika Kusin, Afrika magharibi, Afrika mashariki, Afrika ya Kati, na Afrika kaskazini,
👉Kuibuka kwa shida za kutengenezwa dhidi ya Afrika kama vile vita, magonjwa, njaa, ukame, mifumo ya siasa,elimu& dini,
👉jaribio la kufuta Rangi nyeusi kupitia mapandikizi ya watu weupe Afrika kaskazini, mashariki, kusini na magharibi ambako kuna uvamizi wa kupandikizwa wa watu weupe uliwekwa makusudi ili usambae afrika nzima na kuleta uzao chotara nje ya Uzao Original mweusi.
👉Kuibuka kwa vita ya mwisho dhidi ya watu weusi na baadhi ya watu weupe watakao ungana na watu weusi(story ambayo dini zenu zinaita vita vya Amagedon, wengine wanaita sijui Gogu na magogu, wengine wanaita vita ya3 ya dunia) uhalisia wake ni kuwa pale Afrika siku ikiukataa huu utumwa na mifumo ya watu weupe, hao white-men watashirikiana kutaka kupambana na bara la Afrika, kwa bahat mbaya haitowezekana.
Na hayo ndio baadhi ya matukio yaliyotabiliwa na maandiko ya mababu wa kale ambayo hao Miungu wenu wazungu na waarabu waliyachakachua na kuunda story zao zao uongo.
Niprove wrong kupitia Ufunuo au utabiri wowote wa Quran/Biblia uliotabiriwa na ukatokea tuone nani muongo.