Ufanyaji kazi wa viagra

Ufanyaji kazi wa viagra

Ni mara yako ya ngapi kuvitumia?

Kama Ni Mara ya kwanza,
ilipaswa kidonge Cha gram50 ukigawe nusu/robo, Kisha umeze na maji mengi,

ila hakikisha uwe umekula umeshiba, Vingenvyo maji mengi afu una njaa, itakusabibishia kichefuchefu kikali.

Usije mtapikia binti wa watu kifuani[emoji4]
 
Ni mara yako ya ngapi kuvitumia?

Kama Ni Mara ya kwanza,
ilipaswa kidonge Cha gram50 ukigawe nusu, Kisha umeze na maji mengi,

ila hakikisha uwe umekula umeshiba, Vingenvyo maji mengi afu una njaa, itakusabibishia kichefuchefu kikali.

Usije mtapikia binti wa watu kifuani[emoji4]
Njoi gram 50,kumbe unaweza kukigawa nusu
 
Hizi Viagra kwa anaeanza,
anapaswa kuanza na Robo kidonge

Afu utaongeza nusu, mpk kizima kadri mwili unavoruhusu.

Kuna ustadhi mmoja alijua Viagra Ni Kama panado, Si kameza viwili kwa mkupuo (50g×2) afu kaenda kuonyesha uwezo.

Aisee, Alinusuriwa na first aid ya kisungura na piritoni ili presha ishuke asije kukata roho, maana binti ashajua jamaa ana kifafa kumbe hapana[emoji4]
 
Back
Top Bottom