DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Zipo ndio,ila kwa wale PRO, sio beginners [emoji4]Nasikia Kuna miligram 100 na 150??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo ndio,ila kwa wale PRO, sio beginners [emoji4]Nasikia Kuna miligram 100 na 150??
Ndo maana Basi[emoji4]Nilishiba sana,Na nilikunywa maji mengi
Ukute imesimama dede kitu hailaliKwahiyo uliemmezea viagra hajaja??? Imesimama wima tu au imekuaje....pole fundi
Sasa miaka 45 viagra za nini kijanaOK,am 45yrs
Point mkuuKile Ni kilainisha damu,
Ili damu itembee spidi ifike kila pembe ya mwili wako, hadi mishipa midogo ya uume.
Ukizidisha dozi ndo inapenya Hadi mishipa midogo ya ubongo na kuijaza damu,ndo maana kichwa kikuuma.
Suala hapo Ni kutumia dozi sahii kulingana na mwili wako ulivyo, ndo wanashaur uanze na robo uku ukiskilizia mwitikio vipi.
Iwekee barafu....pole sana kamandaKaja,nimepiga mbili anafosi anawai night shift,tumevutana mlangoni kanishinda nguvu,maana mashine ipo wima hadi mizizi,nguvu za juu zote zimehamia chini! Nasubiri ilale nikabugie maji baridi kupunguza ,hatari aisee
We acha mkuuSasa miaka 45 viagra za nini kijana
Huoni utakuja kufa umesimama kama mradi wa kigamboni
Unavyohoji kwa utulivu,ni mpyaa!Iwekee barafu....pole sana kamanda
Kwanini umemnywea? Ni mpya, kala hela zako au shida nini??!
Sasa ulihisi haitasimama? Au uliogopa kukojoa kama jogoo? Ameweza kuhimili hata robo dozi ya viagra kweli?Unavyohoji kwa utulivu,ni mpyaa!
Ingekua poa, pole iambatane na mbususu[emoji4]Iwekee barafu....pole sana kamanda
Kwanini umemnywea? Ni mpya, kala hela zako au shida nini??!
Namie naweza kutumia Erecto? nataka nitoe kama angela whiteKama ulimeza NJOI unapaswa ubalishe
,
Ni Viagra ya Bei rahisi sokoni yenye ubora hafifu mno ili kumudu soko ushindani.
Kwa beginners hata Kama uchumi hauruhusu sn, angalau uanze na ERECTO.
Hayo matakataka ya NJOI yanatenezwa hapo GONGO LA MBOTO na waswahili wenzetu Changamoto Sana.
Wengi wanalalamika
Ndio bado naangalia extent ya tatizo ili nione namsaidiaje.....Ingekua poa, pole iambatane na mbususu[emoji4]
Wacha Vijana wajaribu,Mnajiua kizembe kabisa
Ha ha ha ..Namie naweza kutumia Erecto? nataka nitoe kama angela white
Ha ha ha ...kwakweli mfanyie uzalendo[emoji4]Ndio bado naangalia extent ya tatizo ili nione namsaidiaje.....
Wakifanya masihara watakufa kwa maradhi yamoyo hata huo uzee wa kusimulia vijana wasiufikie.Wacha Vijana wajaribu,
wakizeeka wasikose Cha kusimulia[emoji4]
Niliwahi kuonja kipipi moyo ulienda mbio.....nkajisemea ntakufa nakata viunoHa ha ha ..
Nyie mna vipipi vyenu vile vya Kipemba vya pinki, NI HATARI NA NUSU NDUGU YANGU[emoji4]
Ni bahati mbaya icho kisungura mimi sikijui. Lakini moja ya side effect ya viagra ni kulower blood pressure, sasa kwa hali ya kawaida tu isingaliwezekana apewe vitu vya kupunguza zaidi presha ya damu yake akati ishashuka na ipo chini sababu ya viagra aliotumia.Kisungura (smart Gin) na piritoni Ni mmojawapo ya top depressant dunia nzima, zinashusha presha kwa Kasi ya ajabu Sana.
Ndo maana ukimgusa mtu aliekunywa visungura kuanzia 3 mwili wake Ni baridi kuliko kawaida, afu anakua na utulivu.
Ukimuongezea na piritoni ndo anachoka kabisa.
Vibaka na makahaba wanaozimisha walevi kwny mabaa, huwa changanyia piritoni kwny Pombe Kali. Utalala fofofo mpaka kesho yake mchana[emoji4]