Lion01
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 527
- 995
Hapa ndo umenitupa kabisa rafiki yangu,Ni bahati mbaya icho kisungura mimi sikijui. Lakini moja ya side effect ya viagra ni kulower blood pressure, sasa kwa hali ya kawaida tu isingaliwezekana apewe vitu vya kupunguza zaidi presha ya damu yake akati ishashuka na ipo chini sababu ya viagra aliotumia.
Afu priton inauwezo wa kuongeza blood pressure na sio kushusha
Sasa kama Ina lower ana haja Gani ya kutumia SI hata mjulusi hata simama?