Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Watu wanahangaika sanaaHilo jina silitaki
Miongozo washatoa wakali wa hizo kazi🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanahangaika sanaaHilo jina silitaki
Miongozo washatoa wakali wa hizo kazi🤣🤣
🤣🤣🤣 Mimi najulia wapi mambo ya viagraUshauri wako wowote kwa sasa kwenye haya mambo nitauzingatia[emoji23]
Wanataka kushindana na walikotokaWatu wanahangaika sanaa
Nimesoma kidogo tu nimeona huyu dogo akichukua huo ushauri anaenda kufaHilo jina silitaki
Miongozo washatoa wakali wa hizo kazi[emoji1787][emoji1787]
Wazee kumbe mnakula haya makitu kimya kimya?Kuna wengine wakitumia wanasumbuliwa na kiungulia.
Hivyo kitaalamu unatakiwa kumeza kwa kutumia maziwa.
NIsiwahukumu labda hawasimamishiWanataka kushindana na walikotoka
Mapema naona wanamsafishia njia ya kuzimuNimesoma kidogo tu nimeona huyu dogo akichukua huo ushauri anaenda kufa
😂😂😂😂 Kokoliko hamnaNIsiwahukumu labda hawasimamishi
Kwenye Viagra kuna sildenafil na tadalafil[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi najulia wapi mambo ya viagra
Mwingine anamuambia hizo kabla ya kunywa uwe umekula umeshiba[emoji23]Mapema naona wanamsafishia njia ya kuzimu
Na wewe mmoja wapo wa wahanga? 🤣🤣🤣Kwenye Viagra kuna sildenafil na tadalafil
Sildenafil huondoka ndani ya masaa 20, hivyo avumilie tu wala haichukui muda
Tadalafil huondoka baada ya siku 4
Ilipaswa aseme katumia zipi kati ya hizo
Kwa hiyo jogoo linasaidiwa na azana kuamka?😂😂😂😂 Kokoliko hamna
Wala, sisi wengine ni wafatiliaji wa kila kitu. Mm huwa nasoma vingi tu ili nijue mambo mengi.Na wewe mmoja wapo wa wahanga? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aiseeee [emoji15] hizi mbunye hizi.. [emoji23]Ni mara yako ya ngapi kuvitumia?
Kama Ni Mara ya kwanza,
ilipaswa kidonge Cha gram50 ukigawe nusu/robo, Kisha umeze na maji mengi,
ila hakikisha uwe umekula umeshiba, Vingenvyo maji mengi afu una njaa, itakusabibishia kichefuchefu kikali.
Usije mtapikia binti wa watu kifuani[emoji4]
🤣🤣🤣 HatareeeMwingine anamuambia hizo kabla ya kunywa uwe umekula umeshiba[emoji23]
Hizo hufanya kazi vizuri tumbo likiwa empty
Mwingine anasema achanganye piriton na pombe, doh
Hivyo vikao huwa hatujali, muhimu bao limetoka[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hatareee
Wanawake wenyewe mnaotusumbukia sasa kwenye vikao vyetu tunavyowasimanga!!
Ni bora mngetulia
Kisungura tena? [emoji12]Hizi Viagra kwa anaeanza,
anapaswa kuanza na Robo kidonge
Afu utaongeza nusu, mpk kizima kadri mwili unavoruhusu.
Kuna ustadhi mmoja alijua Viagra Ni Kama panado, Si kameza viwili kwa mkupuo (50g×2) afu kaenda kuonyesha uwezo.
Aisee, Alinusuriwa na first aid ya kisungura na piritoni ili presha ishuke asije kukata roho, maana binti ashajua jamaa ana kifafa kumbe hapana[emoji4]
🤣🤣🤣 Shenzy we!!Wala, sisi wengine ni wafatiliaji wa kila kitu. Mm huwa nasoma vingi tu ili nijue mambo mengi.
Ni kama wewe unavyojua jinsi ya kutumia lady pepeta, lakini hujawahi kuitumia[emoji23]
🤣🤣🤣 kwendraaaaaaHivyo vikao huwa hatujali, muhimu bao limetoka[emoji23]
Unajua banaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Shenzy we!!
Lini nilikwambia najua jinsi ya kutumia lady pepeta