Ufanyaji kazi wa viagra

Ufanyaji kazi wa viagra

Kwenye Viagra kuna sildenafil na tadalafil

Sildenafil huondoka ndani ya masaa 20, hivyo avumilie tu wala haichukui muda

Tadalafil huondoka baada ya siku 4

Ilipaswa aseme katumia zipi kati ya hizo
Na wewe mmoja wapo wa wahanga? 🤣🤣🤣
 
Ni mara yako ya ngapi kuvitumia?

Kama Ni Mara ya kwanza,
ilipaswa kidonge Cha gram50 ukigawe nusu/robo, Kisha umeze na maji mengi,

ila hakikisha uwe umekula umeshiba, Vingenvyo maji mengi afu una njaa, itakusabibishia kichefuchefu kikali.

Usije mtapikia binti wa watu kifuani[emoji4]
Aiseeee [emoji15] hizi mbunye hizi.. [emoji23]
 
Hizi Viagra kwa anaeanza,
anapaswa kuanza na Robo kidonge

Afu utaongeza nusu, mpk kizima kadri mwili unavoruhusu.

Kuna ustadhi mmoja alijua Viagra Ni Kama panado, Si kameza viwili kwa mkupuo (50g×2) afu kaenda kuonyesha uwezo.

Aisee, Alinusuriwa na first aid ya kisungura na piritoni ili presha ishuke asije kukata roho, maana binti ashajua jamaa ana kifafa kumbe hapana[emoji4]
Kisungura tena? [emoji12]
 
Wala, sisi wengine ni wafatiliaji wa kila kitu. Mm huwa nasoma vingi tu ili nijue mambo mengi.

Ni kama wewe unavyojua jinsi ya kutumia lady pepeta, lakini hujawahi kuitumia[emoji23]
🤣🤣🤣 Shenzy we!!
Lini nilikwambia najua jinsi ya kutumia lady pepeta
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Shenzy we!!
Lini nilikwambia najua jinsi ya kutumia lady pepeta
Unajua banaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Niliwahi kufatilia hii imetoka wapi na inatumiwa vipi, hadi video nilizipata[emoji23]

Kitu ingine ambayo niliwahi soma in details na kujua ni nn na inafanyaje fanyaje ni "dipe"[emoji23][emoji23], acha basi pindua hizo herufi [emoji23]
 
Back
Top Bottom