Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Mara brands, mara viatu, mara chambuu, mara vitenge. Atayeamua kukufatilia lazima apoteane hajui kipi ni kipi[emoji23]Me siuzi vijora nauza mikorogo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara brands, mara viatu, mara chambuu, mara vitenge. Atayeamua kukufatilia lazima apoteane hajui kipi ni kipi[emoji23]Me siuzi vijora nauza mikorogo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Okay [emoji23]Shem tulia huu ni ugomvi wa ndg, huenda amekukosea wewe nataka nimuonye kabla hajakukwaza[emoji28]
Kweli zitauaHivi vidonge vya viagra,ukimeza na ukataka kuviua nguvu mwilini unatumia nini, nilikuwa na mechi ya ugenini leo,sindio nikameza vya gram50, aisee ni headache na kizunguzungu,nyuchi zitatuua wallah
Nipo nyumbani tyr nimejaa. Niko sebuleni nacheck movie kwan bado hujarudi kaka?🤣🤣🤣Njoo nyumbani fambaf sana😁
Uko sahihi... [emoji116]Viagra ni ya moja ya "vasodilator" (inaifanya mirija ya damu inakuwa wazi zaidi, inaongeza upana wake, yaani uwezo wake wa ujazo unakuwa mkubwa zaidi). Kwa hali hiyo presha ya damu ni lazima ishuke.
Kumbuka Viagra inafanya kazi kwa kuongeza flow ya damu kwenywe uume, yaani inalazimisha damu nyingi zaidi ipelekwe kwenye mirija ya uume. Hivyo 1. Imepanua mirija ya uume, 2. Imeongeza flow ya damu kwenye mirija ya uume. Sasa litakuwa ni jambo la ajabu icho kimjulusi kisisimame
Sijui nimemkwaza nini bro naogopa kufukuzwa home 🤣Kakufanyaje tena? Nimuweke sawa
🤣🤣🤣🤣Shem tulia huu ni ugomvi wa ndg, huenda amekukosea wewe nataka nimuonye kabla hajakukwaza😅
Nauza spare parts Ilala haya waje sasa 🤣🤣🤣Mara brands, mara viatu, mara chambuu, mara vitenge. Atayeamua kukufatilia lazima apoteane hajui kipi ni kipi[emoji23]
Mbona ni soo cheap? Hiyo si ni sawa na bei ya ndom classic?Buku 2 hadi 3
Ulipanga unipe kipigo cha mbwa mwizi 🤣🤣🤣Okay [emoji23]
Spare used? [emoji23]Nauza spare parts Ilala haya waje sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Una bahati sana[emoji23]Ulipanga unipe kipigo cha mbwa mwizi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hatuna za spacio wala vits na ndugu zake wengine wote wenye muundo wa baby walker 🤣🤣🤣🤣Spare used? [emoji23]
Za magari gani? Kuna ki-spacio hapa kinasumbua sana, hakiwaki mpaka uweke maji kwenye rejeta
Kantri kalale si umeajiriwa wewe? Mwenzio jobless sijali 🤣🤣🤣Una bahati sana[emoji23]
[emoji23][emoji23] wenye XT mjini mnaringa sanaHatuna za spacio wala vits na ndugu zake wengine wote wenye muundo wa baby walker [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sitaki tena kazi. Bora nibet tu[emoji23]Kantri kalale si umeajiriwa wewe? Mwenzio jobless sijali [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Above 50 wanamudu game, wewe 45 unameza viagra.[emoji848][emoji848]OK,am 45yrs