Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
🤣🤣🤣🤣 na alarmKwa hiyo jogoo linasaidiwa na azana kuamka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 na alarmKwa hiyo jogoo linasaidiwa na azana kuamka?
Nikiwa secondary high school mate wangu alitumia local viagra (inaitwa MKUYATI) walikuwa wanauza wasambaa pale jirani na stend kuu ya mabus Moshi. Jamaa alipouziwa miaka hiyo akaingia pale Shangazi Hotel akaagiza chai ya rangi na kuweka vijiko 2 vya huo MKUYATI badala ya kijiko kimoja alichoambiwa. Kurudi shuleni demu akawa hakufika, aiseeee ilikuwa balaa maana hiyo erection na mishipa kukaza ilikuwa balaa. Jamaa pamoja na kumuambia apige puli mara kadhaa haikusaidia, tukaenda kumuita mwalimu wa zamu, ambaye naye wiki hiyo alikuwa mwanamke. Anatuuliza mwnzenu anaumwa nini? Tukawa tunaangaliana tuu [emoji23] [emoji23]
Muhimu bao tu, liwe la kichwa, kona, freekick, penalty [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwendraaaaaa
Huo ufukunyuku na vitu visivyokuhusu 🤣🤣🤣Unajua banaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niliwahi kufatilia hii imetoka wapi na inatumiwa vipi, hadi video nilizipata[emoji23]
Kitu ingine ambayo niliwahi soma in details na kujua ni nn na inafanyaje fanyaje ni "dipe"[emoji23][emoji23], acha basi pindua hizo herufi [emoji23]
Kumekucha 🤣🤣🤣Kuna mahala umenikwaza sana
Mm ukweli nasoma kila kitu, kuna muda huwa nasoma mambo meusi sana[emoji23][emoji23]Huo ufukunyuku na vitu visivyokuhusu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa hadi dipe unafatilia ulikuwa unableed?
Ndo ukome ufukunyuku 🤣🤣🤣Mm ukweli nasoma kila kitu, kuna muda huwa nasoma mambo meusi sana[emoji23][emoji23]
Niliwahi kutaka kujichanganya kuingia zile deep web kuona what's going on nikapata warning moja kali sana. Sirudii tena[emoji23]
Ni kwa smart gin au any Gin??Kisungura (smart Gin) na piritoni Ni mmojawapo ya top depressant dunia nzima, zinashusha presha kwa Kasi ya ajabu Sana.
Ndo maana ukimgusa mtu aliekunywa visungura kuanzia 3 mwili wake Ni baridi kuliko kawaida, afu anakua na utulivu.
Ukimuongezea na piritoni ndo anachoka kabisa.
Vibaka na makahaba wanaozimisha walevi kwny mabaa, huwa changanyia piritoni kwny Pombe Kali. Utalala fofofo mpaka kesho yake mchana[emoji4]
We jifanye mjanja ntakufukuza nyumbani kwetuKumekucha 🤣🤣🤣
Wapi tena bro?
Pole sana, angalia tu usibake ukuta.Hivi vidonge vya viagra,ukimeza na ukataka kuviua nguvu mwilini unatumia nini, nilikuwa na mechi ya ugenini leo,sindio nikameza vya gram50, aisee ni headache na kizunguzungu,nyuchi zitatuua wallah
No, ni namna tu ya kujua vingi, huwa sipendi mtu aniongopee kisa sina hiyo professionNdo ukome ufukunyuku [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mnifukuze afu nikaishi wapi? Na unajua wazazi waliwakabidhi wewe na mkeo mnitunze km mboni za macho yenu. 🤣🤣🤣We jifanye mjanja ntakufukuza nyumbani kwetu
Kifo cha kishujaa hicho kufia kifuani [emoji23] [emoji23]Niliwahi kuonja kipipi moyo ulienda mbio.....nkajisemea ntakufa nakata viuno
Me siuzi vijora nauza mikorogo🤣🤣🤣No, ni namna tu ya kujua vingi, huwa sipendi mtu aniongopee kisa sina hiyo profession
Wewe ukiuza vijora mengine huna habari nayo?? [emoji23][emoji23]
Si unanizunguka?Mnifukuze afu nikaishi wapi? Na unajua wazazi waliwakabidhi wewe na mkeo mnitunze km mboni za macho yenu. 🤣🤣🤣
Hii mambo unaweza ukafa kifala kumbe?? [emoji12] [emoji12]Ni bahati mbaya icho kisungura mimi sikijui. Lakini moja ya side effect ya viagra ni kulower blood pressure, sasa kwa hali ya kawaida tu isingaliwezekana apewe vitu vya kupunguza zaidi presha ya damu yake akati ishashuka na ipo chini sababu ya viagra aliotumia.
Afu priton inauwezo wa kuongeza blood pressure na sio kushusha
Nimekuzunguka wapi bro? Hebu sema basi tuyaongee yaishe kaka mkubwaSi unanizunguka?
Ntakutoboa masikio ujue
Kakufanyaje tena? Nimuweke sawaKuna mahala umenikwaza sana
Shem tulia huu ni ugomvi wa ndg, huenda amekukosea wewe nataka nimuonye kabla hajakukwaza😅Kakufanyaje tena? Nimuweke sawa